You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Mahamadou Issoufou
Mahamadou Issoufou anatokea kabila la Hausa na alizaliwa mwaka 1951.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Chad kuwasindikiza wanajeshi wa Ufaransa kutoka Niger
Kutoka N'Djamena wanajeshi wa Ufaransa wanaweza kuondoka kwa njia ya ndege na vifaa vyao vya kisasa.
Niger yamfukuza mratibu wa Umoja wa Mataifa
Viongozi wa kijeshi wa Niger wamemuamuru mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini humo kuondoka ndani ya masaa 72.
Mjumbe wa Umoja wa Mataifa apewa saa 72 kuondoka Niger
Watawala wa kijeshi wa Niger wanafuata nyayo za nchi jirani ya Mali na Burkina Faso.
Marekani yasitisha msaada wa dola milioni 500 kwa Niger
Marekani imesitisha msaada huo kwa Niger kufuatia mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Mohamed Bazoum.
Wanajeshi wa Ufaransa wameanza kuondoka nchini Niger
Haya yanajiri wakati Marekani ikikatiza msaada kwa Niger
Jeshi la Ufaransa laanza operesheni za kuondoka Niger
Wanajeshi wa Ufaransa wamekuwa wakiishi kwa mashaka tangu serikali mpya ilipowataka waondoke.
Blinken azungumza na Bazoum kwa njia ya simu
Antony Blinken amezungumza kwa njia ya simu na rais wa Niger aliyeondolewa mamlakani Mohamed Bazoum.
Nigeria yapongeza pendekezo la Algeria kuwa mpatanishi Niger
Algeria inapinga uingiliaji wowote wa kijeshi dhidi ya jirani yake Niger.
Vikosi vya Ufaransa vyaanza kuondoka Niger
Ufaransa imeanza kuwaondoa wanajeshi wake kutoka Niger, miezi miwili baada ya kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini humo.
Askari 29 wa Niger wauwawa kwenye shambulizi la itikadi kali
Hili ni shambulio la pili lililowalenga wanajeshi wa Niger kwa juma hili pekee.
Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 29 Niger
Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 29 Niger.
04.10.2023 Matangazo ya Asubuhi
Utawala wa kijeshi nchini Niger, imesema wanajeshi wake 29 wameuwawa kwa shambulizi la magaidi karibu na mpaka wa taifa hilo na Mali
Niger yakubali pendekezo la Algeria kuwa mpatanishi
Algeria mara kwa mara imeonya kuhusu hatua ya uingiliaji kijeshi Niger ambako jeshi lilimpindua rais Mohammed Bazoum.
Niger yapoteza wanajeshi 12 kwenye makabiliano na wanamgambo
Niger imesema wanajeshi saba wameuawa katika shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa magaidi.
Wanajeshi 10 wa Niger wauawa katika shambulio la wanamgambo
Eneo la Kandadji limekuwa kitovu cha oparesheni za waasi katika ukanda wa Sahel katika muda wa miaka michache iliyopita.
Balozi wa Ufaransa aondoka Niger
Viongozi wa kijeshi wa Niger wamesema ni hatua njema kuelekea uhuru wa taifa lao.
Mataifa ya Magharibi kuondoa vikosi vyake Afrika magharibi?
Mapinduzi kwa mataifa ya Afrika Magharibi umeyafanya mataifa ya Magharibi kuondoa vikosi vyake katika kanda hiyo.
Marekani yasitisha misaada isiyo ya kiutu nchini Gabon
Gabon ni taifa la pili kufanya mapinduzi ya kijeshi baada ya Niger. Marekani imesitisha baadhi ya misaada nchini Niger.
Nchi za Magharibi zenye vikosi Afrika Magharibi na Kati
Mapinduzi ya Niger yalikuwa pigo kwa ushawishi wa Ufaransa na operesheni ya kupambana na uasi katika eneo la Sahel.
Kuna athari ya Ufaransa kuwaondoa wanajeshi wake Niger?
Uhusiano kati ya Ufaransa na Niger unazidi kuzorota na Ufaransa imesema haiutambui utawala wa kijeshi wa Niger.
Macron abadili msimamo, sasa atamuondoa balozi wake nchini Niger
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kuwa nchi hiyo itaondoa kikosi chake cha kijeshi na kumrejesha nyumbani balozi wake nchini Niger kiasi miezi miwili baada ya majenerali kutwaa hatamu za utawala mjini Niamey. Uamuzi huo wa Macron unafuatia wiki kadhaa za mvutano. Je nini imemlazimisha kubadili msimamo wake hivi sasa? Sikiliza maoni ya mchambuzi Ahmed Rajab, akihojiwa na Rashid Chilumba.
Ufaransa kuwandoa wanajeshi wake Niger
Ufaransa kuwandoa wanajeshi wake Niger
Macron aahidi kuwaondoa wanajeshi wa Ufaransa, Niger
Uhusiano kati ya Ufaransa na mataifa ya magharibi mwa Afrika yameingia doa na yanataka iwaondoe wanajeshi wao.
Ufaransa kuwaondoa wanajeshi wake walioko Niger
Mvutano baina ya Ufaransa na koloni lake la zamani umekuwa ukiongezeka katika siku za karibuni hasa baada ya mapinduzi.
Matangazo Ya Jioni: 24.09.2023
Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Pashinyan na Rais wa Azerbaijan Ilham Aliyev kukutana katika mkutano uliopangwa kufanyika Oktoba 5 nchini Uhispania. Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell, alaani shambulio la siku ya Jumapili dhidi ya maafisa wa polisi nchini Kosovo. Mamlaka nchini Iran imesema imewakamata watu 28 wanaohusishwa na kundi la kigaidi linalojiita dola la kiislamu IS.
Mali yauonya Umoja wa Mataifa dhidi ya Uingiliaji Niger
Mali yasema ukosefu wa amani Niger kunaiathiri moja kwa moja
Viongozi wa kijeshi wa Niger wamkosoa Guterres
Viongozi wa kijeshi wa Ngier wamkosoa Guterres
Bazoum ataka mahakama ya kikanda itoe amri ya kuachiwa kwake
Bazoum alipinduliwa madarakani Julai 26 na tangu wakati huo ameshikiliwa na wanajeshi waliochukua madaraka.
Mali, Niger na Burkina Faso kuashirikiana kupambana na uasi
Mataifa hayo matatu kwa pamoja yamepitia mapinduzi ya kijeshi kuanzia mwaka 2020.
Macron asema balozi wake nchini Niger anaishi kama mateka
Macron amewashutumu watawala wa kijeshi kwa kuzuia kupelekwa chakula ndani ya ubalozi huo tangu kulipotokea mapinduzi.
Ufaransa haitakata mahusiano na Mali, Niger, Burkina Faso
Ufaransa katika siku za karibuni imekuwa ikikabiliwa na changamoto za kimahusiano na mataifa iliyoyatawala huko nyuma.
Marekani yaanza tena operesheni za kupambana na ugaidi Niger
Niger ni eneo la kimkakati kwa Marekani katika vita vyake dhidi ya vikundi vyenye itikadi kali za kiislamu.
Taarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 14.09.2023
Idadi ya vifo baada ya mafuriko Libya huenda ikafikia 20,000. Watoto takriban 100,000 wameathiriwa na tetemeko la ardhi Morocco. Polisi nchini Uganda 'wasitisha' kampeni ya uhamasishaji ya chama kikuu cha upinzani.
Umoja wa Mataifa wataka kurejeshwa demokrasia Afrika
Mataifa kadha na hususan ya Afrika Magharibi yamekumbwa na mapinduzi hivi karibuni na tawala za kijeshi kushika hatamu.
Putin afanya mazunguzo na kiongozi wa mpito wa Mali
Rais wa Urusi Vladimir Putin amefanya mazungumzo na kiongozi wa mpito wa Mali.
Niger yaituhumu Ufaransa kutaka kuishambulia
Utawala wa kijeshi wa Niger umeituhumu Ufaransa kwa kukusanya wanajeshi na vifaa katika mataifa jirani.
Watu 64 wauawa Mali kwenye mashambulizi tofauti
Shambulizi moja limeilenga boti ya abiria katika mji wa Timbuktu na jingine kwenye kambi ya kijeshi ya Bamba.
Umoja wa Ulaya wakosoa vizuizi dhidi ya balozi wake Niger
Umoja wa Ulaya haujatoa taarifa za kina kuhusu kilichotokea kwa balozi huyo siku ya Jumanne
Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo aachiwa huru
Bongo alipinduliwa na jeshi mwezi uliopita baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi ambao matokeo yake yalizozaniwa.
Taarifa ya Habari ya Asubuhi 07.09.2023
Marekani yaipa Ukraine msaada wa dola bilioni moja. Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo aachiwa huru. Na China yajitetea kuhusu mvutano wa bahari ya China Kusini katika mkutano wa jumuiya ya nchi za kusini mashariki mwa Asia.
Ufaransa yajadili kuwaondoa wanajeshi wake Niger
Waandamanaji wamekuwa wwakiandamana mjini Niamey kuishinikiza Ufaransa iwaondoe wanajeshi wote kutoka Niger.
Taarifa ya Habari ya Asubuhi 06.09.2023
Marekani yaonya Korea Kaskazini italipa gharama iwapo itaipatia silaha Urusi kwa vita vyake nchini Ukraine. Uingereza yapanga kulipiga marufuku kundi la wapiganaji mamluki la Wagner. Na Ufaransa yazungumza na watawala wa kijeshi nchini Niger kuwaondoa baadhi ya wanajeshi wake.
Niger: Tunatumaini kufikia makubaliano chanya na ECOWAS
Waziri mkuu wa Niger amesema wanaendelea na mawasiliano na ECOWAS, ambayo ilitishia kuvamia kijeshi baada ya mapinduzi.
Jumuiya ya ECCAS yaisimamisha uanachama Gabon
Viongozi wa ECCAS wana wasiwasi kuhusu hatua ya Gabon wakiitaja kuwa inatishia amani na usalama wa nchi wanachama.
Maelfu waandamana kutaka Ufaransa iondoe vikosi vyake Niger
Maelfu ya raia waliandamana kwenye mji mkuu wa Niger, Niamey Jumamosi 02.09.2023 wakiitaka Ufaransa iondoe vikosi vyake
Raia waandamana Niger kutaka Ufaransa iondoe wanajeshi wake
Maelfu ya raia wa Niger, jana waliandamana katika mji mkuu wa Niamey kushinikiza vikosi vya Ufaransa viondoke.
Maelfu waandamana Niger kutaka Ufaransa iondoe vikosi vyake
Maelfu ya watu wameandamana nchini Niger kushinikiza Ufaransa kuondoa vikosi vyake.
Niger yajiandaa na maandamano makubwa ya kuipinga Ufaransa
Umoja wa Mataifa umesema leo kuwa unatafuta mawasiliano na viongozi wa mapinduzi
Maoni: Wizi wa kura na mapinduzi ya kijeshi barani Afrika
Kipi bora kati ya kura inayoibiwa na watawala wasiotaka kuondoka madarakani na jeshi kuwapinduwa watawala waliopo madarakani, hata ikiwa ni kwa njia hiyo ya kura? Huenda likawa ni suali rahisi kujibika ama gumu kusawazishika akilini mwetu, kulingana na wapi umesimama kwenye fasili ya hiki kiitwacho demokrasia. Lakini bara la Afrika linaonekana kidogo kidogo kusaka majibu yake yenyewe.
Tinubu apendekeza miezi 9 ya mpito Niger
Rais wa Nigeria Bola Tinubu amependekeza kuwepo kwa kipindi cha mpito cha miezi 9 kwa utawala mpya wa kijeshi wa Niger.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 3 wa 10
Ukurasa unaofuatia