You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Mahamadou Issoufou
Mahamadou Issoufou anatokea kabila la Hausa na alizaliwa mwaka 1951.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
ECOWAS yapendekeza kipindi cha mpito cha miezi 9, Niger
Tinubu amesema hakutakuwa na msamaha wa kuviondoa vikwazo vya ECOWAS hadi serikali ya Niger ifanye marekebisho chanya.
Mashirika ya UN yazuiwa katika baadhi ya maeneo Niger
Haya yametangazwa siku ya Alhamisi na wizara ya mambo ya ndani
Umoja wa Ulaya kuwawekea vikwazo viongozi waasi wa Niger
Mawaziri hao wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya pia wanajadili juu ya mapinduzi ya kijeshi ya nchini Niger na Gabon.
Burkina Faso yaidhinisha muswaada wa kutuma kikosi Niger
Serikali ya kijeshi nchini BurkinaFaso yaidhinisha muswaada wa kutuma kikosi cha nchi hiyo nchini Niger.
Mawaziri wa Umoja wa Ulaya kuiwekea viongozi Niger
Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Umoja wa Ulaya wataja wasiwasi wao kuhusu mapinduzi yaliyoongezeka Afrika.
Umoja wa Ulaya kuijadili Niger katika mkutano maalum
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya kujadili Niger katika mkutano maalum Toledo Uhispania
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya kuijadili Niger
Mapinduzi Niger yamefungua enzi mpya ya kukosekana kwa utulivu katika ukanda wa Sahel ambao tayari unakumbwa na uasi.
EU yazingatia majibu yake kwa mapinduzi ya kijeshi Niger
Algeria nayo yapendekeza muda wa miezi sita kwa mpango wa serikali ya mpito nchini Niger
Algeria yapendekeza miezi sita ya mpito Niger
Kiongozi wake wa mapinduzi anataka kuwepo na muda mrefu zaidi ya huo hadi kutakaporejea utawala wa kidemokrasia.
Umoja wa Mataifa waonya kitisho cha janga la kiutu Niger
Umoja wa Mataifa unajiandaa kukabiliana na janga la kiutu Niger
Balozi wa Ufaransa angalipo Niger licha ya kuamriwa kuondoka
Macron amesema balozi wake nchini Niger bado yuko Niamey licha ya kuamriwa na utawala mpya wa kijeshi kuondoka.
Niger waunga mkono hatua ya kufukuzwa balozi wa Ufaransa
Uongozi mpya wa kijeshi ulimuamuru balozi wa Ufaransa kuondoka nchini humo katika kipindi cha masaa 48.
Niger yaliamuru jeshi kuwa kwenye tahadhari kubwa
Mkuu wa ECOWAS Omar Alieu Touray, hapo jana alisisitiza kuwa ECOWAS haijatangaza vita kwa watu wa Niger
Niger yampa balozi Sylvain Itte, saa 48 kuondoka nchini humo
Uhusiano baina ya Niger na baadhi ya mataifa ya magharibi, umedorora tangu yalipotokea mapinduzi nchini humo Julai 26.
Niger yawatimua mabalozi wa nchi 4 ikiwemo Ujerumani
Ubalozi wa Ufaransa nchini Niger umelikataa tangazo hilo ukisema kuwa Paris, hautambui mamlaka ya watawala wa kijeshi.
Niger, Burkina Faso na Mali zaunda jeshi la pamoja
Rais Macron asema ECOWAS inatelekeza majukumu yake kwa mwendo wa kinyonga.
Niger yaziidhinisha Mali, Burkina Faso kuisaidia kijeshi
Niger imeidhinisha kuingilia kati kwa majeshi ya Mali na Burkina Faso iwapo itavamiwa na vikosi vya Jumuiya ya ECOWAS.
Niger yaidhinisha wanajeshi wa Mali na Burkina Faso
Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi hizo tatu walikutana mjini Niamey jana ili kujadili ushirikiano zaidi wa kiusalama.
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu machafuko Libya
Umoja wa Mataifa umesema uthabiti wa Libya umo mashakani baada ya kuzuka mapigano kati ya makundi hasimu hivi karibuni.
Mwanadiplomasia wa Algeria ziarani Afrika Magharibi
Algeria inapinga uingiliaji wowote wa kijeshi katika mzozo wa nchi hiyo.
Umoja wa Afrika waitoa Niger katika shughuli zake zote
Jumuiya ya ECOWAS ilisema kuwa iko tayari kuwatuma wanajeshi nchini Niger, endapo juhudi za kidiplomasia zitashindikana.
Umoja wa Afrika wasimamisha shughuli zote za Niger
Umoja wa Afrika umerejelea wito wake kwa viongozi wa kijeshi kumwachia mara moja rais aliyepinduliwa Mohamed Bazoum.
ECOWAS yasema LA, kwa pendekezo la utawala wa kijeshi Niger
ECOWAS yakataa pendekezo la utawala wa kijeshi nchini Niger kuhusu serikali ya mpito na uchaguzi miaka mitatu ijayo.
ECOWAS yakataa kipindi cha mpito cha miaka mitatu Niger
ECOWAS imekataa kipindi cha mpito cha miaka mitatu Niger kilichopendekezwa na majenerali walioipindua serikali.
Maandamano ya kuliunga mkono jeshi yafanyika Niger
Mabango yalikuwa na ujumbe wa "komesha uingiliwaji kijeshi na hapana kwa vikwazo"
Papa Francis atoa wito wa upatikanaji amani Niger
Papa atoa wito wa upatikanaji wa suluhu ya amani haraka iwezekanavyo katika mzozo huo kwa manufaa ya wananchi wa Niger.
Tchiani apanga kuunda serikali ya mpito kwa miaka 3 Niger
Jenerali Tchiani aliingia madarakani mwezi uliopita baada ya mapinduzi
Kiongozi wa kijeshi Niger kuunda serikali ya mpito
Jenerali Abdourahmane Tchiani pia ameonya dhidi ya uingiliaji kijeshi wa kigeni katika mzozo wa nchi hiyo
Maafisa wa Mali, Burkina Faso na Niger wakutana Niamey
Nchi zote tatu zimekuwa chini ya utawala wa kijeshi tangu kufanyike mapinduzi na kusimamishwa uanachama wa ECOWAS.
Matangazo ya mchana Jumamosi 19.08.2023
Wakuu wa majeshi wa jumuiya ya ECOWAS wasema wako tayari kuingilia kati kijeshi nchini Niger.+++++Rais Putin akutana na makamanda wake wanaoongoza operesheni za mashambulizi ya Ukraine.++++China yazindua luteka za kijeshi karibu na Taiwan kama ishara ya kutoa onyo kali.
ECOWAS yasema jeshi lipo tayari kuingia Niger
Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, imesema iko tayari kuingilia kati kijeshi nchini Niger.
ECOWAS: Jeshi la Afrika Magharibi lipo tayari kuingia Niger.
ECOWAS imesema upo mpango wa ujumbe wake kwenda Niger Jumamosi hii kwa ajili ya kutafuta suluhu kwa njia ya amani.
Mgogoro wa Niger waendelea kuzusha khofu barani Afrika
Miongoni mwa yaliyomo katika Afrika wiki nii ni mgogoro wa Niger ambapo nchi za Jumuiya ya ECOWAS zajiandaa kupeleka jeshi kumsadia rais Mohammed Bazoum kurudi madarakani. Nchini Tanzania kanisa Katoliki lajitosa katika mvutano kuhusu mkataba wa bandari,kwa kutoa tamko la kuupinga mkataba huo. Na nchini Libya vita vya makundi yanayokinzana vyaibuka upya.Jiunge na Saumu Mwasimba
Umoja wa Ulaya kuichukulia hatua kali Niger
Michel alionya kuwepo na hatua kali ikiwa utawala wa kijeshi wa Niger utasababisha afya ya Rais Bazoum kuzorota zaidi.
Ufafanuzi:Kwanini Niger ni muhimu kwa mataifa ya magharibi?
Niger imekuwa mshirika muhimu kwa nchi za Magharibi katika kupambana na makundi ya Kiislamu na ni njia kuu ya usafiri kutoka Afrika hadi Ulaya. Kiuchumi, nchi hiyo ya barani Afrika pia ni muuzaji mkubwa wa madini ya urani.
Wakuu wa majeshi ya ECOWAS kuhitimisha mipango kuhusu Niger
Wakuu wa majeshi wa mataifa ya Afrika Magharibi kuhitimisha mkutano unaolenga kuivamia Niger kubatilisha mapinduzi.
Wanajeshi 36 wauawa Nigeria
Wanajeshi 36 wa Nigeria wameuawa katika jimbo la kaskazini ya kati la Niger.
Wakuu wa majeshi wa ECOWAS wakutana kuijadili Niger
Ni mkutano wa kwanza kufanywa tangu viongozi wa ECOWAS walipotoa amri ya kupelekwa kikosi cha dharura Niger.
Wakuu wa majeshi ECOWAS wakutana kuijadili Niger
Wakuu wa majeshi wa mataifa ya ECOWAS, wanakutana mjini Accra kujadili uwezekano wa kuingilia kijeshi nchini Niger.
Wanajeshi wa Niger wauawa katika shambulizi karibu na Mali
Waziri mkuu mpya ametahadharisha uingiliaji wowote wa kijeshi utasababisha hali mbaya zaidi katika eneo tete la Sahel.
Harakati ya 'Linda Niger' kuzinduliwa Jumamosi mjini Niamey
Wizara ya ulinzi ya Niger imesema kwenye taarifa yake kwamba wanajeshi 17 waliuawa katika shambulizi la kuvizia.
Utawala wa kijeshi wa Niger wasema upo tayari kwa mazungumzo
Wakuu wa majeshi wa Jumuiya ya Maendeleo huko Afrika Magharibi, ECOWAS wanajiandaa kukutana Alhamisi na Ijumaa.
Wakuu wa majeshi wa ECOWAS kuijadili Niger
Rais wa Urusi Vladimir Poutine na kiongozi wa kijeshi wa Mali wametoa wito wa suluhisho la amani kwa mzozo huo wa Niger.
Majenerali Niger wamrejesha nyumbani balozi wake wa Abidjan
Uamuzi huo umefikiwa kama hatua ya kuonesha upinzani kwa matamshi ya Ouattara ya kuunga mkono uamuzi wa ECOWAS
Umoja wa Afrika unakutana kujadili mgogoro wa Niger
Umoja wa Afrika unakutana kujadili mgogoro wa Niger
AU yakutana na wawakilishi wa Niger, ECOWAS
Mkutano huo wa dharura ulifanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
Utawala wa kijeshi kumfungulia mashtaka ya uhaini Bazoum
Utawala wa kijeshi umedai utamfungulia kile ulichokiita "uhaini wa kiwango cha juu'' rais waliyemuondowa Mohamed Bazoum
Waziri wa Ujerumani ametowa mwito kutafutwa njia amani Niger
Waziri wa Ujerumani maendeleo wa Ujerumani, Svenja Schulze mwito kutafutwa njia amani Niger
Jeshi kumshitaki Bazoum kwa uhaini
Utawala huo aidha umekosoa vikali vikwazo vya Jumuiya ya ECOWAS, ikivitaja kuwa ni vya kinyama na vinavyofedhehesha.
ECOWAS na juhudi za kidiplomasia kwenye mzozo wa Niger
Jumuiya ya kikanda ya ECOWAS inafanya juhudi za kutafuta njia za kidiplomasia kubatilisha mapinduzi ya kijeshi ya Niger.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 4 wa 10
Ukurasa unaofuatia