1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

Matangazo Ya Jioni: 24.09.2023

SK2 / S02S24 Septemba 2023

Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Pashinyan na Rais wa Azerbaijan Ilham Aliyev kukutana katika mkutano uliopangwa kufanyika Oktoba 5 nchini Uhispania. Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell, alaani shambulio la siku ya Jumapili dhidi ya maafisa wa polisi nchini Kosovo. Mamlaka nchini Iran imesema imewakamata watu 28 wanaohusishwa na kundi la kigaidi linalojiita dola la kiislamu IS.

https://p.dw.com/p/4Wke2