1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 14.09.2023

14 Septemba 2023

Idadi ya vifo baada ya mafuriko Libya huenda ikafikia 20,000. Watoto takriban 100,000 wameathiriwa na tetemeko la ardhi Morocco. Polisi nchini Uganda 'wasitisha' kampeni ya uhamasishaji ya chama kikuu cha upinzani.

https://p.dw.com/p/4WJHA