You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Maandamano Kenya
Kombe la EURO 2024 Ujerumani
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Rwanda yafahamu nia ya Uingereza juu ya mpango wa uhamiaji
Waziri mkuu wa Uingereza ametangaza kufutilia mbali mpango wa uhamiaji na Rwanda.
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza ziarani Ireland Kaskazini
Starmer anabeba matumaini ya kurejesha utulivu na maelewano kwa mahusiano ya Uingereza na Ireland
Starmer aanza kazi kwa kufuta mpango wa uhamiaji wa Sunak
Serikali ya Starmer inakabiliwa na changamoto chungu nzima zikiwemo za kiuchumi na kisiasa.
Keir Starmer: Mpango wa kuwapeleka wahamiaji Rwanda umekufa
Uhamiaji limekuwa suala kuu la kisiasa tangu Uingereza ilipojitoa kutoka kwa Umoja wa Ulaya mwaka 2020.
Keir Starmer aanza kazi rasmi hii leo
ama cha Labour kimejikusanyia viti 412 kwenye uchaguzi wa Alhamisi wiki hii.
Starmer aanza 'ujenzi mpya' alioahidi
Waziri mkuu mteule wa Uingereza, Keir Starmer, anaanza rasmi kazi yake mpya hivi leo.
Keir Starmer aanza majukumu kama Waziri Mkuu wa Uingereza
Starmer anakuwa Waziri Mkuu baada ya chama chake cha Labour kukishinda chama cha Conservative.
Nini kitarajiwe baada ya Labour kurudi madarakani Uingereza?
Baada ya miaka 14 ya kuiongoza Uingereza, chama cha Conservative chini ya Rishi Sunak kimepoteza mamlaka katika uchaguzi uliokipatia ushindi wa mserereko chama cha upinzani cha Labour kinachoongozwa na Keir Starmer. Kipi kilichokiibua chama hicho? Ahmed Rajab mchambuzi wa siasa za kimataifa aliyeko jijini London, alizungumza na mwenzetu Sudi Mnette.
Keir Starmer achukua wadhifa wa Waziri Mkuu wa Uingereza
Kiongozi wa chama cha Labour cha Uingereza Keir Starmer amechukua wadhifa wa Waziri Mkuu leo.
Keir Starmer wa Labour ajiandaa kuiongoza Uingereza
Chama cha Labour kimepata karibu viti 326 na kupindukia viti vinavyohitajika kupata ushindi mkubwa wa moja kwa moja.
Labour kuzowa viti 410, Conservative yaambulia 131 tu
Utabiri baada ya kura kupigwa nchini Uingereza unaonesha kuwa chama cha Labour kimeibuka na ushindi wa kishindo.
Ten Hag arefusha mkataba United
Ten Hag amesema ana furaha kufikia makubaliano na klabu ya kuendelea kuwa pamoja, na bado kuna kazi ngumu ya kufanywa.
Mamilioni ya Waingereza wapiga kura katika uchaguzi mkuu
Waingereza wanapiga kura katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kukirejesha madarakani chama cha upinzani cha Labour.
Uingereza yapiga kura huku wapinzani wakitarajia ushindi
Chama cha Labour kiko mbioni kupata idadi kubwa ya kura na kuunda serikali mpya kwa mara ya kwanza katika miaka 14.
Starmer atabiriwa kumbwaga Sunak uchaguzi Uingereza
Waingereza wanapiga kura kwenye uchaguzi mkuu huku kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour akitabiriwa ushindi.
Labour yatabiriwa kuwagaragaza Conservative uchaguzi UK
Chama cha Labour kimeongoza kwa alama 20 dhidi ya Conservative kwa muda wa miaka mwili iliyopita.
Uingereza yahofia udukuzi katika uchaguzi wake mkuu
Naibu waziri mkuu wa Uingereza Oliver Dowden ameonya kwamba uchaguzi mkuu ujao unakabiliwa na vitisho.
Viongozi wakuu wa Ulaya wateua timu ya kuiongoza EU
Kundi la vyama vya mrengo mkali wa kulia limelalamika kuachawa nje kwenye ugawaji wa nafasi za juu za Baraza la Ulaya.
Viongozi wa EU wamteuwa von der Leyen kwa muhula wa pili
Uteuzi wa Von der Leyen ulifikiwa Jumanne, lakini uamuzi rasmi ulifanywa Alhamisi katika mkutano wa Umoja wa Ulaya.
Rais Zelensky asaini makubaliano ya kiusalama na EU
Rais wa Ukraine Volodymr Zelenskiy amesaini makubaliano ya kiusalama na Umoja wa Ulaya
Brussels yaimarisha usalama kuelekea mkutano wa kilele wa EU
Usalama umeimarishwa mjini Brussels wakati viongozi wa Umoja wa Ulaya wakikusanyika kwa ajili ya mkutano wa kilele.
Sunak, Starmer wakabiliana katika mdahalo wa Uingereza
Viongozi hao wawili walishambuliana vikali kuhusu uaminifu wao na wa vyama vyao kabla ya uchaguzi wa Uingereza.
Ukraine inajiandaa na majadiliano ya kujiunga na EU
Hatua hii inafaynika ikiwa ni zaidi ya miaka miwili tangu kuanza vita vya uvamizi wa Urusi.
EU yaidhinisha msaada zaidi wa kijeshi kwa Ukraine
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wameidhinisha msaada wa kijeshi wa dola bilioni 1.4 kwa ajili ya Ukraine.
Scholz azirai EU na China kujadiliana mvutano kuhusu ushuru
Kansela wa Ujerumani amehimiza China na Umoja wa Ulaya kutumia nafasi ya majadiliano kutatua mvutano kuhusu ushuru.
Umoja wa Ulaya waridhia vikwazo vipya dhidi ya Urusi
Mataifa ya Umoja wa Ulaya yameridhia juu ya nyongeza ya vikwazo vipya dhidi ya Urusi kutokana na vita vyake Ukraine.
Urais wa Hungary utaimarisha au kuudhoofisha Umoja wa Ulaya?
Hungary itachukua urais wa kupokezana wa baraza la Umoja wa Ulaya mnamo Julai mosi. Hilo litabadili kitu gani?
EU kushirikiana kiusalama na ulinzi na Japan, Korea Kusini
Umoja wa Ulaya unatafuta ushirikiano wa sekta ya ulinzi na Japan, Korea Kusini
Nchi za EU zakubaliana kuiwekea Urusi vikwazo vipya
Urusi imejitahidi kutafuta njia ya kuvikwepa vikwazo hivyo ili kuweza kuendesha uchumi na shughuli zake za kijeshi.
Viongozi wa EU wakutana kujadili matokeo ya uchaguzi
Viongozi 27 wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wapo mjini Brussels kutathmini matokeo ya uchaguzi wa bunge la Ulaya.
Je, EU inaanzisha vita vya biashara na China
Umoja wa Ulaya umetangaza kupandisha ushuru kwa magari ya umeme ya China. Je, ni vita vya biashara?
England yapata ushindi wa tabu dhidi ya Serbia
England inateremka tena uwanjani siku ya Alhamisi kucheza dhidi ya Denmark katika uwanja wa Deutsche Bank Park.
Ufaransa, Ujerumani, Uingereza zalaani Iran kuhusu nyuklia
Washirika hao watatu wamesema hatua za Irak zinadhoofisha makubaliano ya nyuklia ya 2015 kuhusu mpango wake wa nyuklia.
Chama cha Labour chaahidi neema Uingereza
Labour inaongoza maoni ya wapigakura, ikiashiria kuwa kiongozi wake Keir Starmer ndiyo Waziri Mkuu ajae wa UK.
Chama cha Labour chazindua ilani kuelekea uchaguzi Uingereza
Chama kikuu cha upinzani nchini Uingereza cha Labour kimezindua ilani yake ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mwezi ujao.
Rwanda yaituhumu UNHCR kwa kudanganya kuhusu wahamiaji
Viongozi wa Rwanda wakanusha tuhuma kuwa waomba hifadhi wanaosubiri kupelekwa katika nchi hiyo huenda wakahamishwa tena.
Hungary yakubali kutopinga msaada wa NATO kwa Ukraine
Serikali ya Hungary imekubali kutopinga uungaji mkono wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO kwa Ukraine.
Hong Kong yafutilia mbali pasi za usafiri za wanaharakati
Serikali ya Hong Kong imesema imezifutilia mbali pasi za usafiri za wanaharakati sita wa demokrasia waliokimbia nje.
UN : Mfumo wa hifadhi ya wakimbizi wa Rwanda haujitoshelezi
Shirika la wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema mfumo wa kuwahifadhi wakimbizi wa Rwanda bado haujitoshelezi.
UN: Mfumo wa hifadhi ya wakimbizi wa Rwanda haujitoshelezi
UN: Mfumo wa hifadhi ya wakimbizi wa Rwanda haujitoshelezi
Vyama vya mrengo wa kulia kuwa na ushawishi zaidi Ulaya?
Vyama hivyo vinataka kuwa na ushawishi vikiwa ndani ya Umoja wa Ulaya na si kujitenga kama vilivyokuwa vikinadi awali.
Mafanikio ya mrengo mkali wa kulia yana maana gani Ulaya?
Ushindi wa vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia nchini Ufaransa na Ujerumani, haujaweza kuvipindua vyama vya kihafidhina vyenye wingi wa viti katika bunge la Ulaya na kumfanya Ursula von der Leyen kuwa katika mkondo wa kuendelea kuongoza Halmashauri ya Umoja huo hadi mwaka 2029. Hata hivyo ushindi wa vyama hivyo, umekuwa ni pigo. Rashid Chilumba na mwandishi nguli Abdul Mtulya walijadili hili.
Muungano wa Scholz umepata pigo uchaguzi wa bunge la Ulaya
Matokeo ya awali ya bunge la Ulaya yanaonesha muungano wa Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz umeshindwa vibaya.
Kansela Scholz asisitiza uungaji mkono kwa Ukraine
Kuelekea uchaguzi wa bunge la Ulaya wa Jumapili Ujerumani, kura za maoni zinaonesha SPD itapata asilimia 15 ya kura.
Uchaguzi wa Bunge la Ulaya kudhoofisha muungano wa Scholz?
Matokeo ya uchaguzi huo yanahofiwa kuwa na athari kubwa ndani ya Ujerumani na hata katika taasisi za EU mjini Brussels.
Raia milioni 400 wa Ulaya waendelea kupiga kura
Uchaguzi wa Bunge la Ulaya hufanyika kila baada ya miaka mitano katika jumuiya hiyo yenye wanachama 27.
Putin: Urusi bado ni mshirika mkubwa wa kibiashara duniani
Putin ameongeza kuwa karibu robo tatu ya biashara za nje sasa inafanywa na nchi ambazo ni rafiki kwa Urusi.
Ireland na Jamhuri ya Czech zapiga kura uchaguzi wa EU
Ireland na Jamhuri ya Czech zapiga kura katika uchaguzi wa bunge la Umoja wa Ulaya.
Viongozi wa dunia waadhimisha miaka 80 ya D-Day
Maadhimisho ya miaka 80 tangu kuanza kwa operesheni ya kijeshi iliyoikomboa Ulaya kutoka mikononi mwa Wanazi yamefanyika
Sunak na Starmer washiriki mdahalo wa kwnaza wa televisheni
Sunak na Starmer washiriki mdahalo wa kwnaza wa televisheni kuelekea kura Julai 4
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 43
Ukurasa unaofuatia