You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Adhabu ya kifo
Adhabu ya kifo inamaanisha kitendo cha mataifa kumuua mtu kwa kutenda baadhi ya uhalifu.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Bwana mmoja akamatwa baada ya mwili wa mtoto kutupwa mtoni
Bwana mmoja akamatwa baada ya mwili wa mtoto kutupwa mtoni
DRC: Mbunge ahukumiwa kifo kwa kosa la uhaini
Uamuzi huo umekosolewa vikali na wakili wa Mwangachuchu aliyesema umechochewa na "chuki ya kikabila".
Mwanaharakati wa Iran Narges ashinda tuzo ya Nobel 2023
Mwanaharakati wa Kiirani anaetumikia kifungo gerezani Narges Mohammadi ameshinda Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2023.
Afisa wa jeshi Mikombe ahukumiwa kifo Kongo
Mahakama ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu kifo afisa wa jeshi, Mike Mikombe, wakati maafisa wengine watatu wakihukumiwa vifungo vya miaka 10 jela kutokana na mauaji ya mwezi Agosti ya zaidi ya waandamanaji 50 katika mji wa Goma. Saumu Njama amezungumza na Jean-Baptiste Muhindo Kasekwa mbunge wa Goma na kwanza amemuuliza, je wameridhishwa na uamuzi wa mahakama?
Makundi ya Haki: Iran imezuia kumbukumbu ya kifo cha Mahsa
Mamlaka za Iran zimetuhumiwa kuizuia familia ya Mahsa Amini, kufanya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kifo cha binti wao.
Kifo cha binti wa Kiiran Mahsa Amini chatimiza mwaka mmoja
Raia nchini Iran wanaadhimisha leo mwaka mmoja tangu kilipotokea kifo cha Mahsa Amini.
Wairan wakumbuka mwaka mmoja tangu kifo cha Mahsa Amini
Raia wa Iran ndani na nje ya taifa hilo wameadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha Mahsa Amini.
Watu 6 wakamatwa katika maadhimisho ya kifo cha Mahsa Amin
Watu hao wanashukuwa kupanga kufanya vurugu katika siku zijazo
Vipimo vya DNA vyathibitisha kifo cha Prigozhin
Uchunguzi wa vipimo vya vinasaba vimethibitisha kuwa Yevgeny Prigozhin alikufa kwenye ajali ya ndege wiki iliyopita.
Yevgeny Prigozhin afariki dunia
Kamati imethibitisha kifo hicho baada ya vipimo vya kijenetiki kushabihiana na abiria 10 waliokufa kwenye ajali hiyo.
Je, kifo cha Prigozhin kitamuimarisha Putin?
Wengi walikitarajia kifo cha Yevgeny Prigozhin, lakini kile kinachowashangaza sana ni namna kilivyotokea.
Kremlin yakanusha kuhusika kifo cha Prigozhin
Kremlin imekanusha uvumi kwamba iliamrisha kuuwawa kwa mkuu wa kundi la mamluki wa Wagner, Yevgeny Prigozhin.
Putin avunja ukimya kuhusu kifo cha Prigozhin
Urusi yasema imedungua ndege 42 zilizorushwa Moscow kutoka Ukraine
Uingereza yashawishika kifo cha Prigozhin
Idara ya ujasusi nchini Uingereza inasema kuna uwezekano mkubwa kwamba Yevgeny Prigozhin kweli amefariki dunia.
Putin avunja ukimya kuhusu kifo cha Prigozhin
Putin amemtaja Prigozhin kama mtu aliyekuwa na talanta, mtu mwenye hatima ngumu na aliyefanya makosa makubwa.
Urusi yalaumiwa kwa kifo cha mkuu wa Wagner
Wachunguzi wa ajali ya ndege leo wamechukua mabaki ya ndege hiyo na wameanzisha uchunguzi wa jinai.
Ujerumani yaonya dhidi ya uvumi wa kifo cha Prighozhin
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ameonya juu uvumi unaosambaa kuhusiana na ajali ya ndege ambayo ma
Hali ya sintofahamu yagubika taarifa za kifo cha Prigozhin
Inadaiwa kuwa mkuu wa kundi la Wagner na maafisa wengine wa kundi hilo, wamekufa katika ajali ya ndege.
Kifo chaitilia kiwingu furaha ya nahodha wa Uhispania
Nahodha wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania na shujaa wao katika fainali ya Kombe la Dunia hapo Jumapili Olga Carm
Kifo cha mgombea urais, Ecuador yatangaza hali ya tahadhari
Rais wa Ecuador Guillermo Lasso ametangaza hali ya tahadhari nchini humo baada ya mgombea urais anayepinga ufisadi Ferna
IS yathibitisha kifo cha kiongozi wake huko Syria
Kundi linalojiita Dola la Kiislam IS limethibitisha kifo cha kiongozi wake Abu Hussein al-Husseini al-Quraishi.
IS yatangaza kifo cha kiongozi wake, yateua mpya
IS imesema kiongozi wake, Abu al-Hussein al-Husseini al-Qurashi, aliuawa katika makabiliano nchini Syria.
Mshukiwa wa shambulizi la Sinagogi Marekani ahukumiwa kifo
Baraza la wazee wa mahakama limesema Robert Bowers anapaswa kunyongwa.
Singapore yamnyonga mtuhumiwa wa dawa za kulevya
Singapore ina moja ya sheria kali zaidi za kupambana na dawa za kulevya duniani inayosema imeisaidia kuwa taifa salama.
Singapore yamnyonga mwanamke baada ya miongo miwili
Hukumu hiyo ya kunyonga ni ya kwanza kwa taifa hilo katika muda wa miaka 19.
Bunge la Ghana limepiga kura kufuta adhabu ya hukumu ya kifo
Bunge la Ghana limepiga kura kufuta adhabu ya hukumu ya kifo
Kenya yabadili hukumu ya kifo kuwa kifungo cha maisha
Kenya inatangaza hatua hiyo wakati imekuwa haitekelezi adhabu hiyo kwa zaidi ya miongo mitatu sasa.
Mlinzi ahojiwa kifo cha Okende
Okende,mwenye miaka 61 alikutwa amefariki katika gari lake Julai 13 huku mwili wake ukiwa na majeraha ya risasi.
Idadi ya maiti zilizofukuliwa Shaka hola yapindukia 400
Idadi ya maiti zilizofukuliwa Shaka hola nchini Kenya yapindukia 400
Maandamano ya kupinga ukatili wa polisi yafanyika Ufaransa
Takribani watu 2,000 walikusanyik mjini Paris jana na kufanya maandamano mengine ya kupinga ukatili wa polisi.
Watu wawili wanyongwa kwa kushambulia eneo takatifu Iran
Iran, limewanyonga hadharani wanaume wawili, kwa kuhusika katika shambulio dhidi ya eneo takatifu.
Hasira zatawala Tunisia baada ya kifo cha mtu mmoja
Vijana wa Tunisia wametoa miito ya kulipa kisasi kufuatia kifo cha mwanaume mmoja aliyeshambuliwa kwa kisu.
Jinsi historia ya ukoloni Ufaransa yachangia ghasia za sasa?
Suala la ubaguzi wa rangi ambalo linahusishwa na ukoloni wa zamani wa Ufaransa mara nyingi hupuuzwa.
Utulivu warejea nchini Ufaransa baada ya machafuko
Vurugu zilizozuka baada ya kuuwawa na polisi wa Trafiki kijana wa asili ya Kialgeria,zimeanza kutulia
Ghasia zimepungua Ufaransa
Wizara ya mambo ya ndani ya Ufaransa imesema Jumapili kuwa, ghasia nchini humo zimepungua katika usiku wa tano mfululizo
Ghasia zaendelea Ufaransa
Ghasia zilizoibuka dhidi ya ukatili wa polisi zimeendelea kwenye miji kadhaa ya Ufaransa kwa usiku wa nne mfululizo.
Maandamano yaendelea kuitikisa Ufaransa
Ufaransa imetawanya polisi 45,000 na magari ya kijeshi mitaani, kukabiliana na ghasia zilizoibuka hivi karibuni.
Hamkani bado si shwari Ufaransa kufuatia kifo cha Nahel
Maelfu ya waandamanaji vijana wamepambana na polisi nchini Ufaransa katika ghasia za kulaani kifo cha Nahel.
Vurugu zaiendelea Ufaransa kulaani kifo cha kijana Nahel
Maandamano makubwa yameitikisa Ufaransa kwa siku ya tatu mfulizo kufuatia kifo cha kijana aliyepigwa risasi na polisi.
Italia kufanya ibada ya kumuaga Silvio Berlusconi
Berlusconi, aliugua kwa miaka kadhaa, ijapokuwa alibakia kuwa kiongozi rasmi wa chama chake cha siasa za mrengo wa kulia
Salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Berlusconi
Tajiri huyo wa vyombo vya habari alikuwa akitibiwa ugonjwa wa saratani ya damu na anatarajiwa kuzikwa hapo Jumatano.
Silvio Berlusconi afariki dunia
Waziri mkuu wa zamani wa Italia Silvio Berlusconi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
Amnesty laishutumu Iran kwa kuwanyonga watu 173
Amnesty International limesema hatua hiyo imeonesha ukosefu wa ubinadamu nchini Iran.
Museveni atetea kutiwa saini kwa sheria dhidi ya ushoga
Museveni atetea kutiwa saini kwa sheria dhidi ya ushoga
Mbiu ya mnyonge: Idadi ya watu walionyongwa mwaka 2022 yaongezeka
Mnamo mwaka 2022, shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lilirekodi ongezeko la asilimia 53 ya adhabu ya kifo ulimwenguni ikilinganishwa na mwaka 2021. Idadi ya watu walionyongwa mwaka 2022 ilifikia kiwango chake cha juu zaidi katika kipindi cha miaka mitano. Hali ikoje, katika nchi za Afrika mashariki na kati?
Karibuni: Ulimwengu wa muziki waomboleza kifo cha Malkia wa muziki wa Rock & Roll Tina Turner
Katika Kipindi hiki utasikia namna ulimwengu wa muziki utakavyomkumbuka Tina Turner, Malkia wa Rock and roll aliyefariki hivi karibuni akiwa na miaka 83, baada ya kuugua kwa muda mrefu katika makaazi yake ya Küsnacht karibu na mji wa Zurich. Sudi Mnette ana mengi
Dunia yaomboleza kifo cha gwiji wa muziki, Tina Turner
Wanasiasa na watu mashuhuri katika fani ya burudani wameomboleza kifo cha gwiji wa Rock and Roll, Tina Turner.
Kiongozi wa mtandao wa kuwasafirisha wanawake anyongwa Iran
Iran imesema leo kuwa imemnyonga kiongozi wa mtandao uliokuwa ukiwasafirisha wanawake kwa ukahaba.
Iran yawanyonga watatu kwa mauaji ya polisi
Iran imewanyonga watu watatu waliokutwa na hatia ya kuwaua askari wa vikosi vya usalama mwaka jana.
Amnesty: Idadi ya watu walionyongwa iliongezeka mwaka 2022
Kulingana na Amnesty International, idadi ya watu waliouawa kwa kunyongwa ulimwenguni kote mwaka 2022 ilifikia 883.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 2 wa 10
Ukurasa unaofuatia