You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Edward Snowden
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Viongozi wa EU waionya China kuhusu uhusiano wake na Urusi
Wiki ijayo, Von der Leyen ataambatana na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron hadi mjini Beijing, China.
Mahusiano kati ya Tanzania na Marekani yajadiliwa
Makamu wa Rais wa Marekanil Kamala Harris anaanza ziara ya siku tatu nchini Tanzania. Kamala anatarajiwa kuwasili nchini humo saa nne usiku na kulakiwa na viongozi wa serikali. Saidi Msonga, Mchambuzi wa masuala ya Diplomasia na siasa za kimataifa akiwa mjini Dar es Salaam alizungumza na Bruce Amani wa DW juu ya uhusiano baina ya Marekani na Tanzania.
China yapinga Taiwan kukutana na viongozi wa Marekani
China yapnga Rais wa Taiwan kukutana na viongozi wa Marekani.
Serikali ya Israel yaponea kura ya imani
Muungano wa wafanyakazi nchini Israel umeitisha mgomo mkuu leo kupinga mpango wa serikali ya waziri mkuu Benjamin Netany
Makamu wa Rais wa Marekani awasili nchini Ghana
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris, amewasili Ghana ambako amesema ana matumaini na mustakabali wa Afrika.
Ukraine: Urusi inaishikilia Belarus kama mateka wa nyuklia
Putin alisema kuwa Urusi ilifikia makubaliano na jirani yake Belarus ili kupeleka silaha za kimkakati za nyuklia.
Iran na Syria zalaani mashambulizi ya Marekani nchini Syria
Serikali za Tehran na Damascus zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani katika eneo la Deir Al-Zor nchini Syria
China yaionya Marekani kuhusu kupeleka meli ya kivita
Marekani inazidi kuchukuwa hatua ya kudhibiti kujitanua kwa China katika eneo la bahari ya Kusini mwa China.
Makamu wa Rais wa Marekani kuanza ziara yake barani Afrika
Kamala Harris atakwenda pia Ghana na Tanzania.
Jeshi la Marekani lashambulia nchini Syria na kuua watu 10
Wizara ya ulinzi imesema shambulizi hilo lilifanywa dhidi ya kituo cha shughuli za ukarabati
Biden afanya ziara nchini Canada
Kwenye ziara hiyo wakuu hao wamefikia makubaliano yanayolenga kuwazuia waomba hifadhi kuingia kwenye mataifa hayo
UN: 26% ya watu duniani hawana maji safi
Mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu maji unaanza Jumatano huko New York, Marekani, huku ripoti ya Umoja wa Mataifa i
Usalama waimarishwa mjini New York
Polisi mjini New York wameimarisha usalama kuelekea uwezekano wa kukamatwa kwa rais wa zamani Donald Trump
Mmarekani mwenye asili ya Kisaudi aachiwa huru Riyadh
Almadi ameachiwa huru ghafla hii leo kwa mujibu wa mwanawe Ibrahim aliyezungumza na shirika la habari la AFP
Marekani: Uhalifu wa kivita ulifanywa katika vita vya Tigray
Ripoti hiyo inaweka uzito kwa tuhuma za awali kuhusiana na uhalifu uliofanywa.
Kumbukumbu ya miaka 20 tangu mwanzo wa vita vya Iraq
Iraq yafanya kumbukumbu ya miaka 20 tangu mwanzo wa vita vilivyouangusha utawala wa dikteta Saddam Hussein.
Droni ya Marekani yaanguka baharini, Urusi yaombwa maelezo
Droni ya kijasusi ya Marekani yaanguka katika Bahari Nyeusi, Marekani na Urusi zashutumiana kufanya uchokozi
Biashara ya silaha yapungua duniani, yaongezeka Ulaya
Vita vya Ukraine vyasababisha ongezeko la bishara ya silaha duniani huku Marekani ikishikilia nafasi ya juu kwa uuzaji
Korea Kaskazini yafanya majaribio ya makombora ya kimkakati
Majaribio hayo ya Korea Kaskazini yanajiri saa chache kabla ya Korea Kusini na Marekani kuanza luteka kubwa ya kijeshi.
Von der Leyen afanya ziara nchini Marekani
Marekani na Umoja wa Ulaya kuwa na makubaliano ili kupunguza mivutano.
Hofu ya udikteta yawapelekea Wageorgia kuandamana
Polisi ya Georgia imewafyatulia mabomu ya kutoa machozi maelfu ya waandamanaji, ikiwaamrisha watawanyike wakati walipoku
Ukraine:Hatuhusiki na hujuma dhidi ya mabomba ya gesi
Hata hivyo Urusi imepuuza ripoti hiyo iliyoitaja kama kampeni makhsusi ya kuficha ukweli, huku Ujerumani ikitahadharisha
Marekani: Mripuko wa mabomba ya Nord Stream ilikua hujuma
Taarifa za kijasusi zilizotolewa na maafisa wa Marekani zinaonyesha kwamba kundi moja linaloiunga mkono Ukraine, ndilo l
Rais wa China Xi Jinping ailaani Marekani
Rais wa China Xi Jinping ameishtumu Marekani kwa kile alikchokitaja kuwa ukandamizaji dhidi yake
Tutaijibu Marekani kwa nyuklia - Pyongyang
Pyongayang inapingana vikali na mazoezi ya kijeshi kati ya Marekani na Korea Kusini inayoyachukulia kuwa uchokozi.
Scholz, Biden waapa kuendelea kuisaidia Ukraine
Kansela wa Ujerumani na Rais wa Marekani wameapa kuendeleza ushirikiano wao wa pamoja kuisaidia Ukraine.
Marekani na Korea Kusini kufanya luteka
Marekani na Korea Kusini zitafanya luteka ya pamoja ya kijeshi ya siku 10, kuanzia Machi 13 hadi 23.
Kansela Scholz awasili Marekani
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amewasili mjini Washington jana usiku, ambapo anapanga kukutana na Rais wa Marekani Joe
Marekani na Korea Kusini kufanya luteka kubwa ya kijeshi
Marekani na Korea Kusini zitafanya mazoezi makubwa ya kijeshi licha ya vitisho vya Korea Kaskazini kupinga mazoezi hayo.
Blinken uso kwa uso na Lavrov pembezoni mwa mkutano wa G20
Mkutano wa mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi za G20, washindwa kuafikiana juu ya tamko la pamoja
Marekani kuidhinisha mpango wa uuzaji wa silaha kwa Taiwan
Marekani imeidhinisha mpango wa uuzaji wa silaha mpya kwa Taiwan wenye thamani ya dola milioni 619.
Marekani yazindua luteka ya kijeshi na Mataifa ya Afrika
Marekani imeanzisha hapo jana nchini Ghana mpango wake wa kila mwaka wa kutoa mafunzo ya kukabiliana na ugaidi kwa vikos
Iran yakanusha urutubishaji wa vinu vyake
Televisheni ya kitaifa ya Iran Ijumaa imeitetea serikali ya nchi hiyo kuhusu madai yaliyotolewa na wachunguzi wa kimatai
Marekani yawatuhumu mawaziri wa Urusi kwa unyama Ukraine
Waziri wa fedha wa Marekani Janet Yellen amewatuhumu maafisa wa Urusi wanaohudhuria mkutano wa kilele wa nchi 20 zilizos
China yaonya kuhusu ongezeko la mzozo wa Ukraine
Waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Qin amezitolea wito nchi fulani kuacha kuwasha moto huku akiielenga hasa Marekani.
Biden kukutana na rais wa Poland mjini Warsaw
Ziara hiyo inayonuwia kutoa mwito kwa washirika wa magharibi kuendelea kuiunga mkono Ukraine bila ya kuchoka.
Blinken akutana na Rais Erdogan katika ziara yake Uturuki
Blinken amefanya mazungumzo na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ambapo waligusia vita vya Ukraine
Mwenyekiti MSC aitaka Ujerumani kuongeza matumizi ya kijeshi
Mwenyekiti wa MSC Christoph Heusgen atoa wito kwa Ulaya na Ujerumani kuongeza matumizi ya kijeshi.
Ahadi ya Biden kwa Ukraine: Tutasimana nanyi hadi mwisho
Zelenskiy amemshukuru Biden kwa ziara hiyo katika wakati huu mgumu, huku akiitambia Urusi kwamba haitoshinda vita.
Biden kuzungumza na Rais Xi kuhusu puto la ujasusi
Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kuzungumza na Rais wa China Xi Jinping juu ya sakata la puto la ujasusi
Rais wa Iran akamilisha ziara yake China
China na Iran wametoa pia wito wa kusitishwa vikwazo dhidi ya Iran.
Blinken kuzuru Ulaya katikati mwa fukuto la mzozo na China
Wizara ya Mambo ya Nje haijathibitisha iwapo Blinken atafanya mkutano na maafisa wa China.
Marekani yakamata wanne kuhusiana na mauaji ya rais wa Haiti
Mauaji hayo ya Julai 7, 2021, yalifanywa na kundi la Wakolombia waliofunzwa kijeshi waliokodiwa na Wahaiti walio Florida
Marekani yadungua kifaa kingine katika anga yake
Hicho ni kifaa cha nne kudunguliwa na ndege za kivita za Marekani ndani ya siku nane.
Marekani yauwa wapiganaji 12 wa Al-Shabaab Somalia
Serikali ya Somalia yatoa idadi kubwa ya vifo kuliko iliyotangazwa na Marekani.
Bolsonaro apanga kurejea Brazil katika wiki zijazo
Bolsonaro bado anachunguzwa nchini Brazil kufuatia tukio la uvamizi wa majengo ya serikali.
Marekani na Canada wadungua kifaa kinachotia mashaka
Uhusiano wa Marekani na China umeingia dosari baada ya Puto la China kukiuka anga ya Marekani
Rais Lula wa Brazil ziarani nchini Marekani
Hata hivyo Lula na Biden wanatofautiana katika masuala kadhaa ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine.
China: Marekani yakiuka kanuni za uchumi wa soko na sheria
China imesema Marekani inakiuka kanuni za soko kwa kuwazuia Wachina kununua mali zisizohamishika.
Nicaragua yawachia huru wapinzani 222 na kuwapeleka Marekani
Serikali ya Nicaragua imewaachia huru zaidi ya wanasiasa 200 wa upinzani na kisha kuwapeleka nchini Marekani.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 12 wa 66
Ukurasa unaofuatia