You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Mamilioni ya dola kutolewa ili kukabiliana na hewa ukaa
Ahadi za mamilioni ya dola kukabiliana na uzalishaji hewa ukaa zatolewa katika mkutano wa mazingira Nairobi Kenya.
Pembe ya Afrika yakumbwa na ukame mbaya zaidi
Afrika inachangia takriban asilimia nne tu ya hewa chafu duniani lakini inabeba mzigo mkubwa wa athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Mamilioni ya watu wanakufa njaa kutokana na ukame unaoendelea katika Pembe ya Afrika.
Viongozi wa Afrika wakutana kujadili mazingira Nairobi
Mkutano wa kilele wa kihistoria wa mazingira wa viongozi wa kisiasa kutoka barani Afrika umefunguliwa leo mjini Nairobi.
Taka za Plastiki zinalipa zinavyolipa ada za shule
Tazama mpango wa taka za plastiki huko Lagos Nigeria, unavyotumiwa kulipa ada za watoto shule, huku wakitunza mazingira.
Viongozi wa Afrika wakutana kujadili masuala ya mazingira
Viongozi wa kisiasa wa bara la Afrika wakutana katika mkutano wa kihistoria wa mazingira jijini Nairobi Kenya.
Papa aionya Mongolia kuhusu rushwa na uharibifu wa mazingira
Papa Francis amesifu busara za watu wa Mongolia kwa kudumisha amani na ustahimilivu wa kidini.
Umoja wa Ulaya kushinikiza kukomesha nishati za visukuku.
Nishati hizo za visukuku ni pamoja na gesi asilia na bidhaa nyingine za petroli.
Japan yashuhudia viwango vya juu vya joto
Joto kali zaidi kwa mwaka huu limevunja rekodi katika kipindi cha miaka 125 iliyopita.
IMF: Mabadiliko ya tabia nchi huenda yakaongeza vifo
Shirika la Fedha Duniani limesema mabadiliko ya tabia nchi yanazidisha mizozo katika mataifa yaliyo na hali tete duniani
Kimbunga Idalia chatarajiwa kuikumba Florida nchini Marekani
Watabiri wa hewa Marekani wanatarajia dhoruba kali itageuka kuwa kimbunga kikubwa kitakacholikumba jimbo la Florida
TOKYO: Maji ya bahari karibu na kinu cha Fukushima ni salama
Japan ilikosolewa kwa kutirirsha maji kutoka kwenye kinu cha Fukushima kilichoharibiwa na Tsunami mnamo mwaka 2011.
Neema Lugangila Mbunge Kinara
Katika kipindi cha “Karibuni“ msikilize mwakilisha wa hamasa ya matumizi bora ya Tanzania, Mbunge Neema Lugangila alitembelea DW Bonn na kufanya mazungumzo na Sudi Mnette.
Nchi 185 zazindua mfuko wa ufadhili wa kulinda asili
Canada iliyokuwa mwenyeji wa mkutano huo imeahidi kutoa dola milioni 147 na Uingereza dola milioni 12 za Kimarekani.
Wadau wajadili kilimo cha kulinda mazingira mjini Kampala
Mkutano huo umeandaliwa na Mtandao wa Fair Trade ulio na mataifa 29 wanachama kanda ya Afrika na Mashariki ya kati.
Raia waondolewa kisiwani Tenerife kufuatia moto wa nyika
Moto huo ulizuka siku ya Jumatano katika hifadhi ya taifa karibu na kilele cha Mlima wa Volkanao wa Teide.
Mtetezi wa sokwe Tanzania
Mfahamu mwanamama au shoshi au kikongwe mwanaharakati wa kumtetea sokwe na mazingira aliejikita kumtafiti sokwe na kuleta ustawi wa mnyama huyo aliehatarini na maradhi na kuvamiwa na shighuli za binadamu huko katika msitu wa gombe kigoma.
Kijana unachangiaje kuhifadhi mazingira?
Kama kijana unachangiaje katika kuhifadhi mazingira?
Mtu na Mazingira: Mapambano dhidi ya Mabadiliko ya Tabianchi
Makala ya Mtu na Mzingira wiki hii inaangazia juhudi za wanaharakati na ulimwengu kupunguza viwango vya joto duniani.
Tanzania yafanya tamasha la kwanza la muziki wa Jazz
Ni tamasha la Kwanza la muziki wa Afro Jazz Tanzania lililopewa jina Evergreen Afro Jazz ambalo limewakusanya wasanii vijana wanaowika katika muziki huu, dhamira ikiwa kuuhuisha baada ya muziki huu kuonekana kana kwamba unatoweka. Tizama muziki mtamu kabisa wenye mahadhi ya Kiafrika. #kurunzi
Wanasayansi wajadili zaidi juu ya mabadiliko ya hali ya hewa
Mjadala wa wanasayansi unafanyika wakati mwezi Julai umeripotiwa kuongezeka kwa joto zaidi ikilinganishwa na zamani.
Ripoti: Mwezi Julai ulivunja rekodi ya kuwa na joto kali
Ripoti imeeleza kwamba ongezeko la joto la 0.33,liilipindukia kiwango cha mwezi Julai, mwaka 2019 cha wastani wa 0.72.
Ulaya yakumbwa na matokeo mabaya ya hali ya hewa
Vifo 6 vimeripotiwa huku waokoaji wakiendelea kupambana na matukio hayo katika mataifa ya Slovenia, Austria na Croatia.
Uzalishaji wa nishati ya upepo Kenya
Kenya inaendelea kupiga hatua katika uzalishaji wa nishati safi.
Beijing yarekodi mvua kubwa katika kipindi cha miaka 140
Beijing yarekodi mvua kubwa katika kipindi cha miaka 140
Iran yatoa mapumziko ya siku mbili kutokana na joto kali
Joto lalazimisha Iran kuzifunga ofisi muhimu
Papa asema ahofia matukio ya moto nchini Ugiriki
Mioto iliwaka katika visiwa vya Ugiriki kwa zaidi ya wiki na mataifa ya Italia, Croatia, Ureno na Algeria.
Fahamu namna ya kuhifadhi wa Mikoko
Leo hii katika makala ya Mtu na Mazingira utasikia namna wakaazi wa Malindi huko nchini Kenya wanavzohifadhi Mikoko. Je kuna umuhimu gadi wa kuihifadhi na wanatumia mbinu gani hasa? Ungana na Halima Gongo kutokea huko pwania ya Kenya kujua kwa kina.
Guterres ataka hatua za haraka kuinusuru sayari ya dunia
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa hatua za haraka kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
Ugiriki yapambana na mioto mikubwa ya msituni
Hali za joto kali ndio imechochea kuibuka kwa moto kwenye baadhi ya maeneo ya Mediterania.
Je, kiongozi mpya wa IPCC atakuwa mwanamke?
Wanachama wa IPCC, watakutana jijini Nairobi kuanzia Julai 25 hadi 28 ili kumchagua mwenyekiti mpya kati ya wagombea 4.
Joto kali lasababisha maafa ya moto kwenye nchi kadhaa Ulaya
Makao makuu ya zima moto mjini Athens imesema hatari ya moto ni kubwa karibu katika kila mkoa nchini Ugiriki.
Waziri mkuu wa Ugiriki aunda kikosi maalum kukabili moto
Waziri Mkuu wa Ugiriki Kyriakos Mitsotakis, ametetea hatua za kikosi cha kukabili moto wa nyika unaowaka kwa wiki moja.
Kenya yatangaza mpango wa kuanza kuwadifia wafugaji
Serikali ya Kenya imetangaza mpango wa kuanza kuwadifia wafugaji waliopoteza mifugo yao wakati wa ukame.
Tathmini ya serikali ya Ujerumani juu ya kazi yake
Tathmini ya serikali ya Ujerumani juu ya kazi yake katika muktadha wa malumbano ndani ya serikali hiyo
UN: Dunia inapaswa kujiandaa kwa joto linaloongezeka
Umoja wa Mataifa unasema dunia inapaswa kujiandaa kwa mawimbi yanayoongezeka ya joto
Ulaya na mataifa mengine yakabiliwa na wimbi la joto kali
Shirika la WMO limesema ulimwengu unapaswa kujiandaa kwa mawimbi yanayoongezeka ya joto kali.
Mkutano wa G20 kumalizika India bila tamko la pamoja
Tofauti zilizopo kati ya mataifa tajiri na maskini zinahatarisha kuzidisha umaskini ulimwenguni.
Kerry kuhimiza kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi China
Mjumbe Maalum wa Marekani wa Mabadiliko ya Tabianchi anaitembelea China kuhimiza kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi
John Kerry afanya mazungumzo na mwenzake wa China
Diplomasia kati ya mataifa hayo makubwa mawili kwa hivi karibuni imekuwa ikizorota.
Idadi ya waliofariki kwa mvua Korea Kusini yafikia watu 40
Makaazi ya watu na magari yameonekana kufunikwa na maji katika miji uliokumbwa na dhuruba mbaya zaidi.
Wanaharakati waandamana viwanja vya ndege Ujerumani
Kundi la "Letzte Generation" liliandamana kwenye viwanja vya ndege vya Dusseldorf na Hamburg mapema siku ya Alhamis.
Yellen airai China kupambana na mabadiliko ya tabianchi
Waziri wa Fedha wa Marekani amerai China kushiriki mapambano ya kukabiliana na janga la Mabadiliko ya Tabianchi.
Soko la kimataifa la samaki Feri na nishati mbadala
Soko la kimataifa la samaki Dar es salaam limekuwa mfano wa kuigwa kwa kutumia nishati ya gesi, hatua inayotajwa na wataalamu wa mazingira kuwa inazingazia utunzani wa mazingira. Hata hivyo kuna changamoto chini ya mpango huo.
Ruto atangaza kuondoa marufuku ya biashara ya magogo
amesema ili kufidia ukataji wa magogo, serikali yake inalenga kupanda miti bilioni 15 katika muda miaka 10 inayokuja.
UN yatoa tahadhari juu ya athari za Mabadiliko ya Tabianchi
Turk amearifu kuwa mwaka 2021 pekee, zaidi ya watu milioni 828 duniani walikabiliwa na baa la njaa
Rais wa Kenya aondoa marufuku ya ukataji miti kwenye misitu
Wanamazingira wanahofia hatua hii ya Ruto itakwenda kinyume na mpango wake wa upandaji miti bilioni 15 kufikia 2032.
Sheria mpya dhidi ya migomo yaanza kutumika Uingereza
Sheria mpya inayowapa polisi mamlaka zaidi katika hatua dhidi ya migomo yaana kutumika leo Uingereza
Miito yatolewa juu ya mageuzi ya mfumo wa fedha wa kimataifa
Benki ya Dunia yazindua mpango wa kusitisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi zilizokumbwa na maafa.
Macron ahimiza mageuzi katika taasisi za fedha za kimataifa
Mkutano wa Paris unafanyika wakati dunia inakabiliwa na mabadiliko ya hali ya hewa na changamoto nyingine za maendeleo.
Mkutano wa kilele wa Paris kujadili ufadhili wa kimataifa
Mkutano huo unafanyika wakati msururu wa migogoro ukizikumba nchi zilizolemewa na madeni duniani
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 5 wa 19
Ukurasa unaofuatia