You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
UN: Mabadiliko ya tabia nchi ni kitisho cha afya
Kati ya mwaka 2000 na 2019 vifo vilivyosababishwa na joto vinakadiriwa vilikuwa 489,000 kwa mwaka.
Dr. Bahati, msanii mhamasishaji Tanzania
Dr. Bahati ambaye majina kamili ni Anne Christina Achterberg-Bonness, ni mwanaharakati wa masuala ya afya na mazingira anayeendesha kampeni za kuhamasisha jamii kupitia matamasha ya muziki sehemu mbali mbali Tanzania. Ahmad Juma alikutana naye na kuandaa ripoti ifuatayo.
Taarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 01.11.2023
Mzozo wa Israel na Hamas huko Gaza, Watu 17 wauawa Nigeria kufuatia shambulio la kigaidi na Rais Macron aanza ziara ya kimkakati eneo la Asia ya Kati.
Wataalam: Watetezi wa nishati ya visukuku wasishiriki COP28
Mwaka jana, mamia ya watetezi wa nishati za mafuta, gesi na maka ya mawe walikilishwa katika mkutano wa COP27 Misri.
Majiko Banifu kukabiliana na uchafuzi wa mazingira
Licha ya kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi chache ambazo sehemu kubwa ya ardhi yake imezungukwa na miti, iko katika hatari ya kutoweka, ikiwa suluhu za nishati safi na endelevu hazitapewa kipaumbele ili kuwasaidia wananchi hasa wa vijijini kuachana na matumizi ya mkaa na kuni. Tunaangazia hilo kwa undani kwenye makala ya 'Mtu na Mazingira'. Msimulizi ni Salma Mkalibala.
Kutambua mzozo wa hali ya hewa kama dharura ya kiafya
Wataalamu kutoka kote ulimwenguni wataka hatua za kutambua mzozo wa hali ya hewa kama dharura ya kiafya.
Dunia imeshindwa kufikia lengo la kusitisha ukataji miti
Ukataji miti duniani uliongezeka kwa asilimia 4 mwaka jana, na ulimwengu bado unajikongoja ili kufikia malengo hayo.
Greta Thunberg akamatwa, ashitakiwa London
Greta Tameshitakiwa kwa kosa la kuvuruga utaratibu wa umma baada ya kukamatwa kwenye maandamano jijini London.
Guterres: Watu milioni 780 wanakabiliwa na njaa duniani
Katika kuadhimisha siku ya chakula duniani leo, Umoja wa Mataifa umesema kila sekunde chache mtu mmoja anakufa njaa.
IGAD na jukumu la vijana katika utunzaji wa mazingira
Wakio Mbogho anazungumza na vijana wa nchi wanachama wa Jumuiya ya IGAD kwenye ulinzi na utunzaji mazingira.
Matangazo ya Asubuhi, Oktoba 16, 2023
UNICEF: Mamilioni ya watoto wapoteza makazi
Watoto hao walipoteza makazi kati ya mwaka 2016 hadi 2021
Mtu na Mazingira: Ijue biashara ya hewa ya Ukaa na faida kwenye misitu ya asili
Serikali ya Tanzania kupitia Wakala wa Misitu, kwa kushirikiana na taasisi binafsi na makampuni mbalimbali amenza biashara ya kununua hewa ya ukaa itakayowanufaisha wakulima wa misitu ya asili. Je unajua kuhusiana na biashara kama hii ya hewa ya ukaa? Na je inawanufaishaje wakulima hawa. Sikiliza makala ya Mtu na Mazingira kujua zaidi kuhusu hili.
Ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi wazidi kupungua
Mkutano wa kilele wa kimataifa wa hali ya hewa wa COP28 unatarajiwa kufanyika Dubai, mwishoni mwa mwezi Disemba.
Mabadiliko ya tabianchi yawahamisha Watoto milioni 43.1
Vimbunga vinakadiriwa kuwa vitawahamisha watoto milioni 10.3.
Steinmeier aahidi kuisaidia Cape Verde
Steinmeier yuko kwenye ziara ya kiserikali ya siku mbili nchini Cape Verde.
Papa Francis awataka makadinali kuweka kando siasa
Baba Mtakatifu Francis amesema siyo jukumu la kanisa kuweka vizuizi kwa kuzingatia mitizamo ya kisiasa.
Makampuni zaidi ya 20 yakubali kupunguza utoaji hewa ukaa
Makampuni ya nishati yahimizwa kuwa sehemu ya suluhu kuliko kuwa chanzo cha tatizo la ongezeko la joto duniani
Mabadiliko ya Tabianchi yanavyotishia maisha ya Wahadzabe
Makala ya Mtu na Mazingira wiki hii inamulika jinsi jamii ya Wahadzabe ilivyoathirika na mabadiliko ya Tabia nchi.
Marekani yavitambua visiwa viwili vya Pasifiki
Visiwa hivyo vinakaliwa na watu karibu 20,000 lakini vinaunda eneo kubwa la kiuchumi kusini mwa bahari ya Pasifiki.
Viongozi wahutubia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewatolea wito viongozi kuchukua hatua za pamoja kwa maslahi ya walimwengu.
Viongozi wahimiza kumalizwa mizozo na uchafuzi wa mazingira
Miito ya kumaliza mizozo na uchafuzi wa mazingira yatawala siku ya kwanza ya mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Ukosefu wa maji walazimisha Tembo kuihama Zimbabwe
Makundi makubwa ya Tembo wanaihama hifadhi kubwa ya wanyama pori nchini Zimbabwe na kuingia taifa jirani la Botswana.
Mkutano wa Baraza Kuu la UN wafunguliwa New York
Mkutano wa kila mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa umefunguliwa rasmi hii leo jijini New York.
Kenya kuwapa fidia waathirika wa mabadiliko ya tabianchi
Serikali ya Kenya itaanza mchakato wa kuwafidia wahanga wa mabadiliko ya tabianchi kwa awamu kuanzia Oktoba mwaka huu.
Mabadiliko ya tabianchi yanatishia vita dhidi ya Ukimwi
Mizozo na mabadiliko ya tabianchi yanatishia mapambano dhidi ya Ukimwi, Malaria na Kifua Kikuu.
Lengo la kutokomeza Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria hatarini
Ripoti mpya iliyochapishwa inaonesha lengo la kutokemeza Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria limo hatarini.
Maelfu waandamana kudai kusitishwa matumizi ya Petroli
Maelfu ya watu wamekusanyika mjini New York, kutoa mwito kwa kuongezwa juhudi za kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.
17.09.2023: Matangazo ya Jioni
Hapa utasikia matangazo ya jioni kauanzia taarifa ya habari za ulimwengu hadi makala nzuri kabisa kama ya Maoni Mbele ya Meza ya Duara iliyoangazia mwaka mmoja wa rais wa Kenya William Ruto madarakani.
UN: Idadi ya vifo vya mafuriko nchini Libya yafikia 11,300
Libya imekabiliwa na hali ngumu kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababisha idadi kubwa ya vifo vya raia.
Urusi yapeleka madakati wa dharura Libya
Libya imeendela kuhitaji misaada ili kuwanusuru wahanga wa mafuriko hayo yaliyoleta madhara makubwa.
Wanaharakati wa mazingira kuendeleza maandamano leo
Maandamano hayo yanalenga kuzishinikiza serikali duniani kuondokana na matumizi ya nishati ya kisukuku.
Wanaharakati wa hali ya hewa waanza maandamano makubwa
Maelfu ya wanaharakati wa mazingira, wameanza maandamano leo, wakitoa wito wa kukomesha matumizi ya mafuta ya visukuku.
Maelfu ya wanaharakati wa mazingira kuandamana kwa siku 3
Wiki iliyopita Umoja wa Mataifa ulionya mataifa bado yako nyuma kufikia lengo la kupunguza ongezeko la joto duniani.
Wanaharakati wa mazingira kuandamana nchi zaidi ya 50
Maandamano hayo yanalenga kuzishinikiza serikali za mataifa mbalimbali zisitishe uchomaji wa nishati ya visukuku.
WFP: Watu milioni 24 duniani wataingia kwenye baa la njaa
Shirika la mpango wa chakula duniani limetoa wito wa kuchukuliwa kwa hatua za haraka kunusuru watu zaidi ya milioni 20.
Colombia yaongoza kwa mauaji ya wanaharakati wa mazingira
Idadi ya waliouawa imepungua kidogo ukilinganisha na rekodi ya watu 227 waliouawa mwaka 2020
Rwanda kujenga kinu cha nyuklia kuzalisha umeme
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Rwanda anasema mradi huo unayaweka maisha ya raia wa Rwanda hatarini.
Uchafuzi wa hewa bado ni tatizo kubwa barani Ulaya
Ingawa EU ina baadhi ya sheria kali zaidi za ubora wa hewa duniani, viwango vya uchafuzi wa hewa bado viko juu.
UN: Ulimwengu unarudi nyuma kutimiza malengo ya mazingira
Umoja wa Mataifa umesema kuwa ulimwengu uko nje ya lengo lililokusudiwa la kupunguza ongezeko la joto duniani.
Afrika yazungumza kwa sauti moja kuhusu tabia nchi
Miongoni mwa yalimulikwa katika Afrika wiki hii ni mkutano wa kihistoria wa bara la Afrika kuhusu tabia nchi uliofanyika Kenya. Na mkutano wa jukwaa la chakula barani Afrika uliofanyika Dare-Salaam Tanzania ambapo viongozi wa Afrika wasema wako tayari kuulisha ulimwengu. Nchini Gabon,Jenerali Nguema aapishwa kuwa rais wa mpito. Jiunge na Saumu Mwasimba kwa hayo na mengine.
Dunia inakabiliwa na mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres hii leo ametahadharisha kuwa, dunia inakabiliwa na mgogoro wa mabadili
Hong Kong yakumbwa na mafuriko makubwa
Watu wawili wameripotiwa kufariki dunia kufuatia mafuriko hayo. Hali ambayo imelazimisha shule kufungwa mjini humo.
UN: Mabadiliko ya tabianchi yasababisha joto kali
Moshi wa mioto ya nyika huenda ukawa ishara inayoonekana zaidi ya uchafuzi wa hewa
Mkutano wa mazingira wa Nairobi umekuwa na mafanikio yapi?
Sikiliza uchambuzi wa Hussei Khalid ambaye ni mwanaharakati wa Mazingira na Mkurugenzi wa Shirika la Haki Afrika lenye makao yake nchini Kenya.
Viongozi wa Afrika wahimiza matumizi ya nishati jadidifu
Wito huo umetolewa katika siku ya mwisho ya mkutano wa kihistoria wa mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika Kenya.
Azimio la Nairobi la hali ya hewa kutiwa saini
Viongozi hao walikusanyika jijini Nairobi kuweka vipaumbele kwa mkutano wa kimataifa wa COP28 huko Dubai
Ruto alia na mabadiliko ya tabianchi, ataka kodi ya kaboni
Ruto anasema Afrika inapoteza asilimia 5-15 ya pato lake jumla la ndani kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Guterres aipigia chapuo nishati jadidifu Afrika
Mkutano wa kwanza wa kile wa Afrika kuhusu tabianchi unafanyika Nairobi, Kenya kuanzia Jumatatu hadi Jumatano.
Guterres: Dunia iisaidie Afrika kuwa na nishati jadidifu
Guterres ameyasema hayo kupitia hotuba aliyoitoa katika mkutano wa bara la Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 4 wa 19
Ukurasa unaofuatia