1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Pembe ya Afrika yakumbwa na ukame mbaya zaidi

4 Septemba 2023

Afrika inachangia takriban asilimia nne tu ya hewa chafu duniani lakini inabeba mzigo mkubwa wa athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Mamilioni ya watu wanakufa njaa kutokana na ukame unaoendelea katika Pembe ya Afrika.

https://p.dw.com/p/4VwQg