You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Nishati jadidifu
Iwe vyanzo vya upepo, jua au maji, sekta ya nishati jadidifu inazidi kustawi duniani kote.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Uwepo wa wakimbizi Tanzania waharibu mazingira
Tanzania kuboresha mazingira yaliyoharibiwa kutokana na uwepo wa kambi za Wakimbizi.
Afrobarometer: Afrika ina ufahamu mdogo kuhusu tabianchi
Afrika ndiyo inaathirika zaidi na mabadiliko ya tabianchi, lakini waafrika wengine hawana ufahamu kuhusu suala hili.
Hongkong,Uhai anuai na Uchumi wa Ujerumani Magazetini
Hongkong,Uhai anuai na Uchumi wa Ujerumani Magazetini
Afrika kuanza kutumia satalaiti kwa mazingira, tabianchi
Waziri wa Ulinzi wa Kenya Rachel Omamo anasema hatua hiyo itawafaidisha wakulima na kusaidia kutunza vyanzo vya maji.
IPCC - Kuna uhusiano kati ya matumizi ya ardhi na Tabia Nchi
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kisayansi kuhusu mabadiliko ya tabia nchi IPCC katika ripoti yake mpya linaonyesha.
Von der Leyen kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa
Ursula Von der Leyen aahidi kushughulika mabadiliko ya hali ya hewa, kuongeza makamishna wa kike na Brexit.
Maandamano Nairobi kupinga mradi wa mkaa wa mawe Lamu
Wataalamu wanaonya kuwa iwapo serikali itaendelea kutekeleza mradi huo huenda ukawa na matokeo hasi
Usafi ndiyo adui wa Kipindupindu
null
Kinyang'anyiro cha Madaraka baada ya Uchaguzi wa Ulaya
Kinyang'anyiro cha Madaraka baada ya Uchaguzi wa Ulaya
Maelfu ya wanafunzi waandamana duniani dhidi ya tabia nchi
Wanasayansi waonya dunia huenda ikawa sayari ambayo binadamu hawezi kuishi.
Guterres azindua kampeni kabambe ya utunzaji wa mazingira
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ziarani Pasifiki Kusini, kuzindua kampeni ya utunzaji wa mazingira
Kitisho cha kutoweka viumbehai Magazetini
Kitisho cha kutoweka viumbehai Magazetini
Kigoma: Zaidi ya watoto 300 wanaishi katika mazingira hatarishi
Tunaelekea magharibi mwa Tanzania, ambako tunaelezwa kuwa zaidi ya watoto 300 wanaishi katika mazingira hatarishi ikiwemo kutumikishwa kingono katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Ungana na mwandishi wetu wa huko, Prosper Kwigize kwenye ripoti hii.
Makala Zetu 17.03.2019
Sikiliza baadhi ya makala tulizokuandalia
Maandamano yanafanyika sehemu mbali mbali Ulimwenguni
Wanafunzi hao wanashinikiza viongozi kuchukua hatua za kupunguza gesi chafu
Kenyatta na Macron wafungua mkutano wa mazingira Nairobi
Ziara ya Macron Afrika Mashariki
Mzozo wa Ukuta na kumbukumbu za Holocaust Magazetini
Mzozo wa Ukuta na kumbukumbu za Holocaust Magazetini
Hatua za Kinga dhidi ya Udukuzi Magazetini
Hatua za Kinga dhidi ya Udukuzi Magazetini
Muongozo wa kutekeleza makubaliano ya Paris wafikiwa
Nchi zinazoendela bado hazijaridhika kwa kukosa ufafanuzi kuhusu ufadhili wa mipango ya kudbiti athari za tabianchi.
Mkutano wa mazingira Katowice wakaribia kufikia tamati
Mkutano wa mazingira mjini Katowice unafikia katika hatua za mwisho
Magazeti: kutano wa mazingira wa Umoja wa Mataifa waanza
Wahariri wa Magazeti ya Ujerumani wamezungumzia mkutano wa Umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi
UN:Dunia imepoteza dira kuhusu mabadiliko ya tabianchi
Nchi zinazoendelea zinazokumbwa na kitisho cha majanga zimetoa wito kwa nchi tajiri zinazochafua mazingira kuzisaidia.
Huu ndio wakati wa Afrika kufahamu ukweli
Matarajio ya Afrika katika mkutano wa COP 24 ni madogo sana, amesema Seyni Nafo, msemaji wa kikosi cha Afrika.
Mtanzania kukabidhiwa tuzo Ujerumani
Wote wawili ni wanaharakati waliojitolea kwa namna mbali mbali kuhifadhi mazingira ya nchi zao
Changamoto za mazingira ya Ziwa Victoria
Ziwa Victoria ni fahari kubwa ya Afika Mashariki hasaa ikizingatiwa kuwa ndiyo ziwa kubwa zaidi barani Afrika na la pili kwa ukubwa kote duniani. Licha ya fahari ya tangu jadi, hasaa katika sekta ya uvuvi, ziwa Victoria linashuhudia changamoto si haba. Katika makala hii ya mtu na Mazingira, Musa Naviye anaangazia changamoto zinazolikabili ziwa hilo.
Vijana wa Kombgreen watengeneza bustani Korogocho-Nairobi
Kundi la Kombgreen linaloundwa na vijana ambao zamani walikuwa wahalifu katika mtaa wa Korogocho jijini Nairobi, wameweka juhudi zao pamoja na kutengeneza bustani kwenye kingo za mto Nairobi. Bustani hiyo iliyo karibu na daraja la Korogocho, hivi sasa ni kivutio kwa watu wengi wanaotaka kujipumzisha. Sikiliza makala hii ya Mtu na Mazingira iliyotengenezwa na Thelma Mwadzaya.
WWF: Kuna kitisho kikubwa kwa viumbehai na bioanuwai duniani
Idadi ya viumbe hai na ikolojia duniani imeporomoka kwa viwango vibaya kabisa imesema ripoti ya WWF iliyotolewa leo.
Harakati za kutunza mazingira katika mji wa Nairobi
Kundi lao la Kombgreen linaendeleza harakati za kutunza mazingira katika mji wa Niarobi
Polisi wapambana na wanaharakati katika msitu wa Hambacher
Msitu huo wa Hambacher upo kwenye sehemu iliyo katika jimbo la Rheinland magharibi mwa Ujerumani.
Mkaa uliotengenezwa kwa kinyesi Nakuru
Mkaa huo unaotumiwa kupikia majumbani na kwenye shughuli za viwanda umetajwa kuwa uvumbuzi wa kipekee.
Mbinu za kuokoa mazingira zatafutwa Afrika
Zaidi ya wajumbe 800 wanafanya mkutano jijini Nairobi kwa lengo la kujadili uhifadhi wa misitu na mazingira.
Unaona nini, yavuyavu ama mfuko wa plastiki?
Mifuko ya plastiki inaharibu mazingira ya baharini. Viumbe hai vinashindwa kutafautisha kati ya yavuyavu na mifuko ya plastiki. Je wewe unaweza kuiona tofauti kati ya vitu hiyo viwili haraka haraka?
Madhara ya Mabadiliko ya Tabianchi Magazetini
Madhara ya Mabadiliko ya Tabia Nchi Magazetini
Watetezi wa mazingira zaidi ya 200 waliuawa mwaka 2017
Brazil ndiyo nchi hatari kwa wanaharakati
Mjasiriamali anayetumia vitu chakavu kutunza mazingira
Matumizi ya karatasi chakavu ni miongoni mwa vyanzo vya ajira ambavo huajiri kundi kubwa la watu. Katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira,kijana mlemavu wa ngozi Jijini Dar es Salaam Sadiq Bakari ameanzisha utengenezaji wa vifungashio rafiki wa mazingira.
Nchi zenye mazingira magumu kwa waandishi wa habari
Ghana ndio kinara
Makala zetu 22.04.2018
Msitu Kazimzumbwi kurejeshwa hali yake ya zamani
Msitu huo ni muhimu jijini Dar es Salaam, Tanzania kwani unahitajika kuvuta hewa chafu inayotokana na viwanda.
Muda unayoyoma kuokoa mimea na wanyama wa dunia
Ripoti zilozinduliwa katika mkutano wa viumbe hai zinatahadharisha dhidi ya vitisho vinvyavikabili viumbe hai duniani
Ziwa Ol Bolossat hatarini kutoweka
Wataalmu wa mazingira wanaonya kiasi cha maji katika Ziwa Ol Bolossat lililopo nchini Kenya kinapungua maji kwa kasi.
Mkutano wa Paris kukusanya fedha za mazingira
Mkutano wa Paris kukusanya fedha kuhifadhi mazingira
Uvurugaji wa mazingira asilia na athari zake
Iwe ni kuwezesha ujenzi, kilimo au shughuli yoyote ile, uvurugaji wa hali asilia ya mazingira husababisha madhara mengi. John Juma anaelezea zaidi kwenye makala ya Mtu na Mazingira
Mradi mkubwa wa kusafisha fukwe za bahari waanzishwa India
Mtu mmoja ameanzisha mradi mkubwa zaidi wa kusafisha fukwe za bahari duniani.
COP23: Hatua za dharura zahitajika kuyaokoa mazingira
Viongozi wa nchi wameahidi kuzipiga jeki juhudi za kupambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.
COP23: Viongozi wasema wakati wa kuyaokoa mazingira ni sasa
Viongozi wa nchi takriban 30 wanahudhuria mkutano wa kimataifa wa mazingira mjini Bonn, Ujerumani.
COP23: Merkel na Macron mstari wa mbele kuyalinda mazingira
Ulimwnegu unaelekeza dira kwa Ujerumani na Ufaransa baada ya Marekani kujiondoa makubaliano ya Paris
Syria yajiunga na makubaliano ya mazingira ya Paris
Rais wa Marekani Donald Trump mwezi Juni aliiondoa nchi yake kutoka makubaliano hayo ya kihistoria ya mazingira.
Upandaji misitu kwa ajili ya maendeleo Afrika Mashariki
Katika Makala ya Mtu na Mazingira Hawa Bihoga anaangazia janga la ukataji miti kwa kanda ya Afrika Mashariki, akijikita zaidi kwa nchi za Tanzania na Kenya, na mikakati ya kiserikali katika kukabailiana na ukataji holela wa misitu.
Mkutano wa kimataifa wa mazingira waanza Bonn
Mkutano wa mazingira wa Bonn unatarajiwa kuhudhuriwa na watu 25,000 kutoka zaidi ya nchi 195 kwa wiki mbili zijazo
Wanaharakati wa kulinda mazingira waandamana Bonn
Waandamanaji wanashinikiza serikali ya Ujerumani kuachana na utumiaji wa makaa ya mawe kama chanzo cha nishati.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 7 wa 11
Ukurasa unaofuatia