1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upandaji misitu kwa ajili ya maendeleo Afrika Mashariki

7 Novemba 2017

Katika Makala ya Mtu na Mazingira Hawa Bihoga anaangazia janga la ukataji miti kwa kanda ya Afrika Mashariki, akijikita zaidi kwa nchi za Tanzania na Kenya, na mikakati ya kiserikali katika kukabailiana na ukataji holela wa misitu.

https://p.dw.com/p/2nASW