You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Edward Snowden
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wamarekani zaidi wenye asili ya Asia wanunua silaha
Wamarekaini zaidi wenye asili ya Asia wanakimblia kununua silaha kutokana na kupungua kwa imani katika mfumo wa sheria.
Mkutano wa Biden na Xi, Je! Ujerumani iko mahala gani?
Mwanazuoni Hanns Maull amesema hakuna uhakika iwapo mazungumzo hayo yataleta ufumbuzi.
China na Marekani kuanza tena mazungumzo ya kijeshi
Maelezo hayo ni kwa mujibu wa shirika la habari la China, Xinhua.
Marekani na Qatar kufanikisha mpango wa makubaliano Gaza?
Mpango huo utawezesha uwasilishwaji zaidi wa misaada, usitishwaji mapigano kwa siku 3 na kuachiliwa mateka 50 wa Israel.
Marekani: Hamas walitumia hospitali kutekeleza operesheni
Kauli hiyo inatolewa wakati shinikizo likiongezeka kwa Israel kutokana na kuizingira hospitali ya Al-Shifa huko Gaza.
Xi yuko safarini kuelekea Marekani kwa mkutano na rais Biden
Rais Xi Jinping wa China ameondoka mjini Beijing Jumanne mchana kuelekea San Francisco kukutana na Rais Joe Biden.
Biden kukutana na Xi katika mkutano wa APEC
Mkutano huo unatarajiwa kujikita zaidi katika vita vya Israel na kundi la wanamgambo la Hamas
Marekani na Urusi zafanya mashambulizi Syria
Wanamgambo waliolengwa ni wale wanaoungwa mkono na Iran na makundi mengine yenye silaha huko Syria.
Antony Blinken akutana na Subrahmanyam Jaishankar
Mawaziri wa mambo ya nje na wale wa ulinzi wa India na Marekani wamekutana kujadili mambo kadhaa ikiwemo ushirikiano wao
Blinken azungumza na Kagame na Tshisekedi kuhusu M23
Wakati huohuo, mawaziri wa mambo ya nje wa Kongo na Rwanda wametupiana lawama kuhusu machafuko yanayoendelea huko Kivu.
Blinken ataka msimamo wa G7 kuhusu vita vya Israel na Hamas
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amesema ni muhimu kuwepo tamko la wazi kuhusu vita kati ya Israel na k
Mawaziri wa mambo ya nje wa G7 wakutana Tokyo
Mawaziri wa mambo ya Nje wa Kundi la mataifa ya Magharibi yaliyoendelea kiviwanda G7, wanakutana Jumanne mjini Tokyo nch
Japan, US, Ufilipino zajiimarisha Bahari ya Kusini mwa China
Japan , Marekani China na Ufilipino zinaimarisha ushirikiano ili kulinda uhuru wa Bahari Kusini mwa China.
Bunge la Marekani lagawika juu ya usaidizi kwa Ukraine
Marekani imekuwa nchi inayotoa msaada wa kiasi kikubwa kwa Ukraine tangu Urusi kuivamia Februari mwaka jana 2022.
Putin: Silaha za msaada za Ukraine zinauzwa kwa Taliban
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema silaha za msaada zinazotolewa kwa Ukraine zinauzwa katika soko haramu la silaha.
Blinken : Israel haina haki tu bali pia wajibu wa kujilinda
Umoja wa Mataifa umesema kumekuwa na maendeleo katika mazungumzo ya kuruhusu mafuta kuingia katika ukanda wa Gaza.
Blinken awasili Israel wakati vita vikiendelea huko Gaza
Antony Blinken amewasili Israel ili kushinikiza kuwasilishwa kwa misaada zaidi ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza.
Bunge la Marekani laidhinisha msaada wa kijeshi kwa Israel
Bunge la Marekani limeidhinisha msaada wa kijeshi wa karibu dola bilioni 14.5 kwa Israel
Mapigano yaendelea kati ya jeshi la Sudan na RSF
Mapigano makali yameendelea katika mji wa El Geneina, jimbo la Darfur kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF.
Bunge la Marekani lagawika kuipa msaada Israel na Ukraine
Kura inafanyika wakati bunge la Marekani Congress likiwa linavutana kuhusu msaada mpya kwa Israel na Ukraine.
Guterres: Kuna hatari ya kutanuka mzozo wa Gaza
Hadi sasa, wizara ya afya huko Gaza imesema watu 8,525 wameuawa Gaza huku 3,500 miongoni mwa hao wakiwa ni watoto.
Sudan: RSF yadai kuchukua udhibiti wa uwanja wa ndege
Katika kipindi cha miezi mitatu sasa RSF imelidhibiti eneo la mpakani la Om Dafouq.
Vikao vya kusikiliza kesi za kumzuia Trump asigombee vyaanza
Kampeni ya kujaribu kumzuia rais wa zamani Donald Trump kugombea urais kwa mara nyengine, inaingia awamu mpya wiki hii.
Iran yasema Marekani yashambuliwa kufuatia sera zake mbaya
Iran imesema mashambulizi dhidi ya vikosi vya Marekani nchini Iran na kwengineko ni kufuatia sera mbaya za nchi hiyo.
Mapigano yaendelea Sudan licha ya kurejea kwa mazungumzo
Wakuu wa kijeshi wanaohasimiana nchini Sudan wameanza tena kufanya mazungumzo nchini Saudi Arabia.
China na Urusi waikosoa Marekani katika mkutano wa kijeshi
Wakuu wa jeshi wa China na Urusi wameikosoa Marekani siku ya Jumatatu katika mkutano wa usalama mjini Beijing.
Wakuu wa kijeshi wa China na Urusi wakutana Beijing
Wawakilishi wa kijeshi wa nchi kadhaa ikiwemo Marekani na Urusi wanahudhuria jukwaa la kijeshi la China la Xiangshan.
Marekani: Netanyahu apaswa kuwadhibiti walowezi
Hamas, zaidi ya Wapalestina 8,000 wameuawa tangu kuanza kwa vita hivyo Oktoba 7 mwaka huu.
Mshukiwa wa shambulizi la bunduki Marekani akutwa amekufa
Robert Card anayetuhumiwa kuwauwa watu 18 kwa bunduki katika jimbo la Maine nchini Marekani amekutwa amekufa.
Marekani yavishambulia vituo vya silaha Syria
Marekani imevishambulia vituo vya silaha nchini Syria kwa kile kinacholezwa kuwa ni hatua ya kuyajibu mashambulizi.
UN: Israel na Hamas wanatenda uhalifu wa kivita
Ofisi hiyo imeamuru uhalifu huo wa kivita wa pande zote mbili kukomeshwa mara moja.
Mike Johnson Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Marekani
Baada ya mkwamo wa muda mrefu, baraza la wawakilishi la Marekani limemchagua Mike Johnson kuwa spika mpya.
Waziri wa mambo ya nje wa Iran ziarani Marekani
Ziara za maafisa wa ngazi ya juu wa Iran nchini Marekani ni nadra mno kwa kuwa nchi mbili hizi zinauhasama mkubwa.
Korea Kusini, Marekani na Japan wailaani Korea Kaskazini
Nchi hizo zinasema hatua ya Korea Kaskazini kuipa silaha Urusi inahatarisha maisha ya raia nchini Ukraine.
Bunge la Marekani laidhinisha azimio la mshikamano na Israel
Hatua hiyo ilipata uungwaji mkono wa karibu wabunge wote wa Republican na Democrats.
Republican wamteuwa Johnson kuwania uspika wa Wawakilishi
Msuguano mkali unaoendelea umelifanya Baraza hilo kushindwa kufanya kazi zake kwa zaidi ya wiki tatu sasa.
Marekani yasimamisha msaada kwa Gabon kufuatia mapinduzi
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani Mathew Miller, amesema Marekani ilikuwa tayari imesitisha misaada Gabon.
Wang Yi kuzuru Washington kuanzia Alhamisi
Ziara ya rais Xi Jinping inayolenga kupunguza msuguano kati ya dola hizo mbili zenye nguvu kubwa duniani.
Korea Kusini, Marekani, Japan wafanya luteka la pamoja
Korea Kusini, Marekani na Japan zimefanya luteka ya pamoja ya kijeshi leo Jumapili, kwa mujibu wa jeshi la Seoul.
Iran yafunga waandishi wawili miaka 7 jela
Mahakama ya Iran imewahukumu kifungo cha miaka saba jela waandishi habari wawili wa kike kwa kushirikiana na Marekani.
Israel yathibitisha mateka walioachiliwa na Hamas
Hamas ilisema kuwa mateka hao, wote raia wa Marekani, wameachiwa kwa sababu za kibinadamu na kutuma ujumbe kwa Biden.
Urusi yalaani Putin kufananishwa na Hamas
Kremlin imesema kauli ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kumlinganisha Rais Vladimir Putin na kundi la Hamas haikubaliki.
Ushindi wa Ukraine na Israel ni muhimu kwa Marekani
Biden anajiandaa kuomba msaada wa kijeshi wa mabilioni ya dola kwa mataifa hayo mawili
Biden aifananisha Hamas na Putin katika hotuba yake
Katika hotoba yake, Biden ameifananisha Hamas na Putin akisema kuwa wanawakilisha vitisho tofauti lakini wana azma moja.
Israel, Misri zaafiki misaada ya kiutu kuingia Gaza
Ofisi ya misaada ya Umoja wa Mataifa inadhamiria kupeleka hadi malori 100 kwa siku ya misaada huko Gaza.
Marekani yatowa dola $5M kumpata kiongozi wa al-Shabaab
Marekani imetoa ahadi ya zawadi ya dola milioni 5 kwa taarifa kuhusu kiongozi wa kundi la Al Shabaab nchini Somalia.
Marekani, Korea Kusini, Japan kufanya mazoezi ya kijeshi
Korea Kusini, Marekani na Japan zitafanya luteka za pamoja za kijeshi Jumapili ijayo.
Baraza la Usalama kupiga kura juu ya mzozo wa Israel-Gaza
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapiga kura Jumatano juu ya Azimio lililoandaliwa na Brazil .
Rais Biden kuzuru Israel kwa mazungumzo na Netanyahu
Rais Joe Biden anatarajiwa kuzuru Israel Jumatano kuthibitisha "kujitolea kwa Marekani" kwa usalama wa Israel.
Steve Scalise atoka kwenye kinyang'anyiro cha Spika wa Bunge
Ni siku ya kumi sasa kiti cha Spika wa Bunge la Wawakilishi kimekaa wazi nchini Marekani.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 7 wa 66
Ukurasa unaofuatia