You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Lifahamu kundi la Boko Haram
Unalifahamu vipi kundi la Boko Haramu lililohusika na mashumbulizi na utekaji nchini Nigeria na mataifa jirani?
Boko Haram yakiri kuwateka nyara mamia ya wanafunzi
Boko Haram yakiri kuwateka nyara mamia ya wanafunzi
Ujerumani huenda isiondoe zuio la COVID-19 Januari 10
Mkuu wa utumishi wa ofisi ya Merkel amesema hatua ya kuzifunga shughuli za umma huenda zisiondolewe Januari 10.
Juhudi za kutambua vipaji vya soka Nigeria
Vijana wengi wana ndoto kuwa siku moja watakuwa wakandanda mahiri. Nchini Nigeria, John Solomon ambaye ni wakala na pia kocha anajaribu kutambua vipaji vya watoto kama hao katika familia masikini.
EU kimya kuhusu migogoro ya kisiasa Afrika Magharibi
Waafrika Magharibi wanatumai kupata msaada wa kigeni, lakini Umoja wa Ulaya umejiweka kando
Kutoka kuwa mhamiaji hadi kuwa nyota wa muziki: Chris Obehi
Mwimbaji wa Nigeria Chris Obehi amekuwa maarufu katika mji anakoishi sasa Palermo Italia. Alitoka mjini kwao akiwa na umri wa miaka 17 kutafuta maisha mazuri Ulaya. Lakini safari haikuwa rahisi. Kwa hivyo alianza muziki kama njia ya kujiliwaza.
Ouattara ashinda uchaguzi huku wakiuonya upinzani
Ivory Coast imekumbwa na maandamano ya kabla ya uchaguzi baada ya Ouattara kutangaza kuwania muhula wa tatu.
Watekaji nyara wa Mmarekani nchini Niger wataka fidia
Watu wenye silaha waliomteka nyara raia wa Marekani Philip Walton kusini mwa Niger, wadai fidia ili kumuachia huru
Marekani yatatiza juhudi za mchakato wa uongozi wa WTO
Mchakato wa Shirika la WTO wa kuchagua kiongozi mpya umekwama baada ya Marekani kumkataa aliyependekezwa
Mafunzo ya densi mtindo wa ‘Ballet’ Lagos Nigeria
Hii ni shule ya densi mtindo wa Ballet katika mtaa wa watu maskini kwenye mji mkubwa Lagos nchini Nigeria. Hutoa mafunzo ya densi maalum kwa watoto katika taifa hilo lenye idadi kubwa zaidi ya watu Afrika. Daniel Ajala anayependa densi ya ballet, aliifungua shule hii mwishoni mwa mwaka 2017 baada ya kusomea mbinu za densi hiyo vitabuni na mitandaoni.
Buhari ahimiza kusitishwa maandamano
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo ametaka uchunguzi kuanzishwa dhidi ya vikosi vya usalama
Amnesty: Waandamanaji 12 wameuwawa Nigeria
Shirika la Amnesty International, limesema na waandamanaji 12 wanaopinga ukatili wa polisi wameuwawa Nigeria.
Wanajeshi Nigeria wafyatua risasi dhidi ya waandamanaji
Mashuhuda wadai kwamba wananajeshi Nigeria wamewafyatulia risasi waandamanaji mjini Lagos.
Watu wenye matatizo ya akili duniani wanaishi kifungoni
Watu wenye matatizo ya akili duniani wanaishi kifungoni
Nigeria yasherehekea miaka 60 tangu ilipojipatia uhuru
Nigeria yasherehekea miaka 60 tangu ilipojipatia uhuru
Mji wangu: Abuja
Mji mkuu wa Nigeria ulio na shughuli nyingi Abuja ni miongoni mwa miji inayokua kwa haraka ulimwenguni. Pia ni kitovu cha harakati za kisiasa. Mwanablogu ambaye pia ni mwanaharakati kijana, Maryam Laushi, anatuonyesha mji wake huo.
Nigeria: Wafanyakazi na serikali wakubaliana kufuta mgomo
Mgomo wa wafanyakazi wafutwa Nigeria kufuatia makubaliana na serikali
Zaidi ya watu 200 wafariki kutokana na mafuriko Afrika
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali yamewauwa watu 200 na kuwaacha wengine zaidi ya milioni moja bila makaazi.
Viongozi wa ECOWAS wamtaka Keita kurejea uongozini
Viongozi wa ECOWAS wamesema watatuma ujumbe nchini Mali katika juhudi za kubatilisha mapinduzi ya kijeshi nchini humo
Juhudi za kutafuta upatanishi Mali zagongwa mwamba
Juhudi za viongozi kadhaa wa Afrika Magharibi kuusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini Mali zimegonga mwamba.
Wanajeshi 23 wa Nigeria wauwawa na genge la majambazi
Wanajeshi 23 wa Nigeria wauwawa na genge la majambazi
Rais Buhari kusaini muswada mpya wa bajeti kukabili corona
Rais Muhammadu Buhari kutia saini muswada wa sheria ya bajeti iliyorekebishwa ya dola za kimarekani bilioni 28.38.
Nigeria kuruhusu safari za ndege za ndani
Waziri wa Anga amesema safari za ndege nchini humo zitaanza baada ya kupunguzwa hatua za kuzuia kusambaa kwa COVID-19.
Familia za waliokuwa watumwa Nigeria zapinga ubaguzi
Kizazi cha watumwa Nigeria kinatarajia kuwa maandamano ya kutetea maisha ya watu weusiyatakomesha ubaguzi dhidi yao.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani 26.06.2020
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Kiongozi wa Ghana aiomba radhi Nigeria
Kiongozi wa Ghana aiomba radhi Nigeria
Nigeria: Kundi la Boko Haram lawaua watu 69
Watu 69 wameuwawa na wanamgambo wa Bokoharam kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Watoto katika ukanda wa Afrika Magharibi wako hatarini
Mashambulizi ya makundi ya wapiganaji yanatajwa kuathiri pakubwa elimu ya watoto
Hadithi za Afrika kupitia vibonzo vya Kiafrika
Guardian Prime, Powerboy na Commander Jade ni kati tu ya wahusika katika vitabu vya vikatuni vya Kiafrika. Wanapambana na uovu na kuokoa mji. Ni kazi ya kijana wa Nigeria anayetunga hadithi za Afrika kupitia vibonzo.
Jeshi la Niger lazuia mashambulizi ya Boko Haram
Niger yadai kumuua mmoja wa viongozi wa Boko Haram
Wapi zinakwendea fedha za kupambana na COVID-19 Afrika?
Tayari misaada ya kifedha na vifaa imeanza kumiminika barani humo kutoka kwa mataifa tajiri na mashirika ya misaada.
Flora Nwapa: Mama wa fasihi ya kisasa ya Kiafrika
Flora Nwapa ni mwandishi wa kwanza wa kike wa Kiafrika kuchapisha kitabu kwa Kiingereza.
Flora Nwapa: Mama wa fasihi ya kisasa ya Kiafrika
Mwandishi wa Kinaijeria Flora Nwapa ni mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kuchapisha kitabu kwa Kiingereza. Kazi yake ilisafisha njia kwa wanawake wengine Afrika.
Flora Nwapa: Mama wa fasihi ya kisasa ya Kiafrika
Mwandishi wa Kinaijeria Flora Nwapa ni mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kuchapisha kitabu kwa Kiingereza. Kazi yake ilisafisha njia kwa wanawake wengine Afrika.
Nigeria kuanza kulegeza vizuwizi vya kutoka nje
Zaidi ya watu milioni 25 mjini Abuja, Lagos na jimbo jirani la Ogun wamezuiwa kutoka nje tangu Machi
Wapigajai jihadi 44 wapatikana wamekufa katika jela Chad
Washukiwa 44 wa kundi la Boko Haramu wakutwa wamekufa katika chumba walimofungiwa nchini Chad
Boko Haram yaua wanajeshi 150 wa Chad na Nigeria
Rais wa Chad Idriss Deby ameyataja mashambulizi hayo kuwa mabaya zaidi dhidi ya jeshi la Chad.
Maambukizi ya virusi vya Corona Afrika yaongezeka
Mataifa ya Afrika yaimarisha hatua za kupambana na mripuko wa virusi vya Corona
Mgonjwa wa kwanza Hamburg wa Corona ni daktari
Mataifa mengi zaidi duniani yaripoti visa vya virusi vya Corona
Kisa cha kwanza cha Corona charipotiwa Lagos,Nigeria
Saudi Arabia yachukua mikakati ya kujikinga na Corona
Pompeo aishambulia China kwa kuziwekea nchi maskini madeni
Mike Pompeo, ameishambulia China kwa kutoa mikopo na kuziwekea nchi maskini mzigo mkubwa wa madeni.
Usman dan Fodio: Mwanzilishi wa Ukhalifa wa Sokoto
Usman dan Fodio alilikosoa kundi la watu wa tabaka la juu na kubadilisha mfumo wa kisiasa kaskazini mwa Nigeria ya leo.
Usman dan Fodio: Mwanzilishi wa Ukhalifa wa Sokoto
Alikuwa ni mwalimu wa dini ya Kiislam aliyegeuka kuwa mwanamapinduzi: Usman dan Fodio, alikosoa mfumo wa kisiasa wa eneo linalojulikana leo kama kaskazini mwa Nigeria na kuanzisha Ukhalifa wa Sokoto.
Usman dan Fodio: Mwanzilishi wa Ukhalifa wa Sokoto
Vita vilivyoongozwa na dan Fodio vilichochea mapinduzi yaliyozaa Ukhalifa wa Sokoto uliodumu takriban karne moja.
Amina: Malkia shujaa wa Zazzau
Katika wakati ambapo wanaume ndiyo wakitawala, Amina, malkia wa Zazzau, aliongoza jeshi kubwa lilonyakuwa maeneo mengi.
Amina: Malkia shujaa wa Zazzau
Katika wakati ambapo wanaume ndiyo wakitawala, Amina, malkia wa Zazzau, aliongoza jeshi kubwa lilonyakuwa maeneo mengi.
Amina: Malkia shujaa wa Zazzau
Katika wakati ambapo wanaume ndiyo wakitawala, Amina, malkia wa Zazzau, aliongoza jeshi kubwa lilonyakuwa maeneo mengi.
Nigeria yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri kuelekea China
Nigeria yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri kuelekea China
Magaidi wauwana wao kwa wao Nigeria
Wanamgambo wa Boko Haram na wale wa kundi lijiitalo Dola la Kiislamu la Afrika Magharibi walikabiliana kwa risasi.
Nigeria: Miaka 50 baada ya vita ya Biafra
Watu wanaendelea kuhisi athari za vita hivyo hadi hii leo, ingawa kila kitu hakipo kama inavyoonekana.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 8 wa 19
Ukurasa unaofuatia