You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Iheanacho awafunika Salah, Mahrez katika AFCON
Nigeria ilipata ushindi dhidi ya mabingwa wa kihistoria Misri, wakati Algeria ikibanwa kwa sare tasa na Sierra Leone
Kuyageuza makonteina kuwa nyumba
Nigeria inakabiliwa na upungufu wa nyumba milioni 22. Kwa hivyo kupata nyumba ya bei nafuu si rahisi. Lakini mtaalamu wa ujenzi Pius Dare anaamini kuyageuza makonteina ya mizigo melini kuwa nyumba maridadi yaweza kuwa suluhisho nafuu. #VijanaMubashara #77Asilimia
Wavamizi wachoma basi na kuwauwa abiria 30 nchini Nigeria
Takriban abiria 30 wameungua moto hadi kufa ndani ya basi katika jimbo la Sokoto nchini Nigeria kufuatia shambulizi.
Utumwa Afrika bado haujatokomezwa
Shirika la kazi ulimwenguni ILO linasema idadi ya ajira ya watoto imeongozeka katika kipindi cha miaka 20
Jeshi liliwauwa waandamanaji Nigeria
Wanajeshi waliwapiga risasi na kuwaua waandamanaji ambao walikuwa hawana silaha wakati wa msako mkali.
Waliokufa baada ya ghorofa kuporomoka Nigeria waongezeka
Jengo hilo lilokuwa na ghorofa 21 liliporomoka siku ya Jumatatu wakati wajenzi wake wakiwa bado katika eneo hilo.
Nigeria: Mwaka mmoja baada ya maandamo ya #EndSARS
Mwaka mmoja baada ya maandamano makubwa kupinga ukatili wa polisi Nigeria, polisi imeonya dhidi ya kurudi mitaani.
Seneti Nigeria yabadili sheria ya matokeo ya uchaguzi
Baraza la Seneti Nigeria yabadili sheria kuhusu uhamishaji matokeo ya uchaguzi kielektroniki.
HRW: Misaada ya Covid-19 Afrika haikuwafikia walengwa
HRW: Misaada ya Covid-19 Afrika haikuwafikia walengwa
Madaktari Nigeria warejea kazini baada ya mgomo wa miezi 2
Madaktari wa hospitali za serikali nchini Nigeria wanarejea kazini baada ya miezi miwili ya mgomo mkubwa kabisa.
Boko Haram watwaa udhibiti jimbo la Niger
Kundi la kigaidi la Boko Haram limechukuwa udhibiti wa jamii kadhaa katika eneo la kaskazini kati mwa Nigeria.
Nigeria na Ghana zashindana kuanzisha sarafu za kidijitali
Nigeria na Ghana zashindana juu ya kuanzisha sarafu ya kidijitali katika benki kuu.
Watu 9 wauawa kwenye shambulizi Chad
Watu tisa wameuawa katika shambulizi lililotokea kwenye kijiji kilicho karibu na Ziwa Chad,
Inspekta wa polisi auawa Nigeria
Watu wenye silaha wamemuua inspekta wa polisi kusini mashariki mwa Nigeria.
Nigeria yakabiliwa na mripuko wa kutisha wa Kipindupindu
Jumla ya visa 69,925 vya ugonjwa wa kipindupindu vimerekodiwa kufikia tarehe 5 ya mwezi wa Septemba katika majimbo 25.
Watu wenye silaha wavamia gereza Nigeria, wawaachia wafungwa
Watu wenye silaha za kivita wamelivamia gereza moja katikati mwa Nigeria na kuwaachia huru wafungwa kadhaa.
Wanafunzi wengine 73 watekwa nyara nchini Nigeria
Ni baada ya siku chache tangu kuachiwa huru makundi matatu ya watoto waliotekwa baada ya kutolewa fidia.
Wabeba silaha waua 3, wawateka 20 chuoni Nigeria
Wabeba silaha wamewauwa watu watatu na limewateka wengine ishirini wakiwemo wanafunzi huko jimboni Zamfara, Nigeria
Oba Ewuare: Mfalme wa shaba wa mji wa Benin
Oba Ewuare wa Benin anakumbukwa kwa kuendeleza sanaa nchini humo, utamaduni na uchongaji wa masanamu maarufu ya shaba.
Wanafunzi 120 hawajulikani walipo baada ya shambulio Nigeria
Zaidi ya Wanafunzi 120 bado hawajulikani walipo baada ya shambulio la shule Nigeria.
Watoto 150 wa shule watekwa nyara Nigeria
Watu wenye silaha wamewateka nyara wanafunzi wapatao 150 kutoka kwenye shule ya bweni katika jimbo la Kaduna, Nigeria
Rwanda kujenga kiwanda cha kutengeneza chanjo ya Covid-19
WTO imethibitisha kwamba Rwanda, Senegal na Afrika Kusini zimechaguliwa kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vya chanjo.
Inspekta wa polisi awauwa watu watano mjini Enugu
Inspekta wa polisi awauwa watu watano katika mji wa Enugu
Tobore Ovuorie: Sikuchulii hapana kuwa jibu
Tobore Ovuorie anajadili uchunguzi wake dhidi ya ulanguzi wa binadamu, marufu ya Twitter nchini kwake Nigeria na mengine
11.06.2021 Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Nigeria yataka mitandao ya kijamii iwe na leseni za ndani
Nigeria imeitaka mitandao ya kijamii ijisajilii na kupata leseni ili iweze kufanya kazi kwenye taifa hilo
Magaidi wauwa raia 100 Burkina Faso
Zaidi ya watu 1,300 wameshauawa na wengine milioni moja kulazimika kuwa wakimbizi wa ndani.
Nigeria yathibitisha watoto 136 kutekwa nyara
Nigeria imethibitisha kutekwa nyara watoto 136 wa skuli moja ya Kiislamu katika jimbo la kati la Niger.
Watoto kadhaa watekwa Nigeria
Takriba watoto 200 wametekwa Nigeria
Mitandao ya ukahaba na ulanguzi wa watu Nigeria
Inaweza kuonekana kama tungo ya kubuniwa kuhusu uhalifu, lakini kwa hakika mwanahabari wa Nigeria Tobore Ovuorie alifanya upekuzi kufichua kadhia ya ulanguzi wa wanadamu. Kisa chake kimetengenezwa kuwa filamu kwenye kampuni ya Netflix. Lakini masaibu aliyopitia yangali yanamtatiza.
Rais Buhari kikaangoni
Changamoto za kiusalama zinazoikabili Nigeria zimeibua hasira na wito wa kumtaka Rais Muhammadu Buhari aachie madaraka.
Jeshi la Nigeria lakataa kutwaa madaraka
Nigeria inazidi kukabiliwa na mashambulizi ya wanamgambo wa itikadi kali pamoja na visa vya utakaji nyara na mauaji
Tuzo ya Uhuru wa Kujieleza ya DW 2021 yamuendelea mwandishi wa upekuzi wa Nigeria Tobore Ovuorie
Mwandishi wa habari wa upekuzi wa Nigeria Tobore Ovurie ashinda tuzo ya Uhuru wa Habari ya DW mwaka 2021.
Rais Buhari akabiliwa na shinikizo la ukosefu wa usalama
Rais Buhari akabiliwa na shinikizo la ukosefu wa usalama
Tobore Ovuorie atunukiwa tuzo ya DW ya Uhuru wa kujieleza
Mkurugenzi Mkuu wa DW, Peter Limbourg, asema ujasiri wa Ovuorie kuripoti mambo yaliyojificha ndio uliompa tuzo hiyo
Kutumia roboti kupambana na COVID-19 Nigeria
Kundi la wanafunzi hawa nchini Nigeria lilipoona maambbukizi ya virusi vya corona yanaongezeka hasa miongoni mwa wahudumu wa afya, waliwaza kuhusu namna ya kukabili hatari hiyo. Ndipo wakaamua kutengeneza roboti inayopeleka dawa kwa wagonjwa na kuchukua vipimo vya viwango vya wagonjwa, bila ya wahudumu wa afya kuwasogelea wagonjwa. Mengi zaidi ni kwenye video hii ya Kurunzi ya Afya.
Zaidi ya wanajeshi 30 wauwawa na wanamgambo Nigeria
Zaidi ya wanajeshi 30 wauwawa na wanamgambo Nigeria
Maelfu wakimbia mashambulizi wabeba silaha Nigeria
Maelfu ya raia wa Nigeria wanayakimbia mashambulizi ya wabeba katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria
Taarifa ya Habari ya Asubuhi Afrika Mashariki
Wakaazi wa vitongoji vya mji mkuu wa Myanmar, Yangon, wayakimbia makazi yao/ Umoja wa Mataifa waonya mzozo wa Yemen waendelea kushika kasi huku taifa hilo likitumbukia katika baa la njaa/ Na Niger leo yaanza maombolezo ya kitaifa kufuatia mauaji ya watu 58.
Utekaji Nigeria wafikia kiwango cha mzozo
Utekaji nyara huo wa wanafunzi kwa wingi kawaida huipelekea jamii ya kimataifa kulaani na kuiwekea shinikizo serikali.
Wanafunzi 279 waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru
Mamia ya wanafunzi wa kike waliokuwa wametekwa nyara Nigeria na makundi ya wahalifu wiki iiyopita, wameachiwa huru.
Uingereza yawachanja zaidi ya watu milioni ishirini
Uingereza imesema itaanza kutoa chanjo kwa watu wenye umri wa zaidi ya miaka 40.UJerumani idadi ya vifo yafikia 70 elfu.
Wanafunzi watekwa tena Nigeria
Serikali ya Nigeria imesema watu waliojihami kwa bunduki wanaoaminika kuwa miongoni mwa genge la majambazi, wameivamia s
WTO kuongozwa na mchumi kutoka Afrika
Shirika la Biashara Ulimwenguni linatarajiwa kwa mara ya kwanza kuongozwa na mtu kutoka barani Afrika.
Maelfu ya wachungaji watoroka kusini mwa Nigeria
Takriban wafugaji elfu 4 wa kabila la Fulani wametoroka Kusini mwa Nigeria wiki moja iliyopita kufuatia mashambulizi
Open Doors: Mateso ya Wakritu yaongezeka duniani
Ripoti hiyo inayozingatia data za kuanzia Oktoba 2019 hadi Septemba 2020, inasema maelfu ya Kikristu wameuawa Nigeria.
Biden kumteua Merrick Garland kuwa mwanasheria mkuu
Joe Biden ametangaza rasmi kwamba atamteua Jaji Merrick Garland kuwa mwanasheria mkuu wa Marekani.
Wavulana waliokolewa Nigeria wakutana na famila zao
Wavulana waliotekwa nyara tangu majuzi kaskazini magharibi mwa Nigeria wamerudishwa nyumbani leo Ijumaa.
Wavulana wa shule waliotekwa Nigeria waachiwa
Gavana wa jimbo la Katsina Aminu Bello Masari amesema jumla ya wavulana 344 wameachiwa na kuwakabidhiwa kwa familia zao
Boko Haram iliwaagiza wahalifu kuwateka wanafunzi
Boko Haram iliyaagiza magenge ya kihalifu kuwateka wanafunzi
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 7 wa 19
Ukurasa unaofuatia