1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mitandao ya ukahaba na ulanguzi wa watu Nigeria

27 Mei 2021

Inaweza kuonekana kama tungo ya kubuniwa kuhusu uhalifu, lakini kwa hakika mwanahabari wa Nigeria Tobore Ovuorie alifanya upekuzi kufichua kadhia ya ulanguzi wa wanadamu. Kisa chake kimetengenezwa kuwa filamu kwenye kampuni ya Netflix. Lakini masaibu aliyopitia yangali yanamtatiza.

https://p.dw.com/p/3u36G