You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Marekani, Uingereza zamuunga mkono Mark Rutte kuiongoza NATO
Hatua ya Marekani na Uingereza kumuunga mkono Rutte inaongeza nafasi yake ya kuwa Katibu Mkuu ajaye wa NATO.
Vurugu bungeni Uingereza kwa maazimio ya Gaza
Bunge la Uingereza lilijaribu kupitisha azimio la usitishaji mapigano ya Gaza lakini mchakato ukaishia kwa vurugu.
UN inamashaka ya mpango wa kuwapeleka wahamiaji Rwanda
Tangu kuanza kwa mwaka huu, zaidi ya wahamiaji 1,300 wamewasili Uingereza kwa kutumia mashua ndogo.
EU yazindua operesheni ya ulinzi katika Bahari ya Shamu
Operesheni hiyo ya Ulaya itapewa jina la Aspides katika kigiriki, kumaanisa ngao, na itajumuisha manowari nne.
EU yatafakari vikwazo vipya kufuatia kifo cha Navalny
Mawaziri wa Umoja wa Ulaya wameahidi kuwawajibisha waliohusika na kifo cha mkosoaji huyo maarufu wa Kremlin
Mjane wa Navalny kukutana na mawaziri wa EU
Mwanadiplomasia mkuu wa EU Josep Borrell amesema mwaliko wa Navalnaya unaonyesha uungaji mkono kwa wapigania uhuru Urusi
Bunge la Australia lataka muasisi wa WikiLeaks arejeshwe
Bunge la Australia lataka muasisi wa WikiLeaks Assange arejeshwe nyumbani na sio Marekani.
Urusi, China zapinga mashambulizi ya Marekani na UK Yemen
Urusi na China zinasema mashambulizi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Wahouthi nchini Yemen ni kinyume cha sheria.
Urusi na China zatofautiana na Marekani na Uingereza
Urusi na China zimeishutumu Marekani na Uingereza kwa kuyashambulia maeneo yanayotumiwa na waasi wa Kihouthi wa Yemen.
Urusi, China zaishutumu Marekani na Uingereza kuhusu Wahuthi
Waasi wa Kihouthi wamekuwa wakizishambulia meli za kibiashara katika Bahari ya Shamu.
Mfalme wa Uingereza Charles III ahudhuria ibada ya misa
Mfalme Charles III wa Uingereza atoa shukrani kwa salamu za kheri njema.
US, UK, EU wataka uchunguzi kuhusu uchaguzi wa Pakistan
Taarifa ya Umoja wa Ulaya imesema hakukua na usawa katika uchaguzi huo
Sunak amtakia afua Mfalme Charles III anayeugua saratani
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amesema "ameshtushwa" na taarifa za mfalme Charles III kuwa na saratani.
Mfalme Charles III agunduliwa na saratani
Mfalme Charles III amegunduliwa kuwa na saratani.
Mfalme Charles III wa Uingereza agunduliwa na saratani
Viongozi mbalimbali duniani wametuma salamu za kumtakia ahueni Mfalme huyo.
Viongozi wa Uingereza, Ireland wazuru serikali ya Belfast
Serikali mpya ya kugawana madaraka ya Ireland Kaskazini wiliteuliwa siku ya Jumamosi na bunge la jimbo hilo.
Wahouthi waapa kujibu mashambulizi ya anga ya Marekani
Waasi wa Kihouthi wameapa kujibu kwa "mashambulizi makali," baada ya mashambulizi ya anga ya Marekani na Uingereza.
EU wakubaliana juu ya msaada wa euro bil. 50 kwa Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekaribisha uamuzi huo wa pamoja na kusema utaimarisha utulivu wa kiuchumi Ukraine.
Makala ya Karibuni ya Februari 3, 2024
Mwanamke wa Thailand ameshtakiwa kwa kupatikana na mtoto wa simba kinyume cha sheria.
EU wafikia makubaliano ya kuipatia fedha zaidi Ukraine
Viongozi wa EU wameafikiana kuipa Ukraine msaada mpya wa Euro bilioni 50 ili kusaidia uchumi wake ulioharibiwa na vita.
EU kuirai Hungary kujiunga nao katika kuifadhili Ukraine
Viongozi wa Umoja wa Ulaya watajaribu kuirai Hungary Viktor Orban kujiunga na mpango wa kutoa ufadhili kwa Ukraine.
EU kuirai Hungary kuhusu msaada kwa Ukraine
Viongozi wa Umoja wa Ulaya Alhamis watajaribu kumrai Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban kujiunga na mpango wa kutoa ufa
Maandamano ya wakulima yasambaa Ulaya kabla ya mkutano wa EU
Rais wa Ufaransa amesema atalijadili suala hilo na rais wa Halmashauri Kuu ya Ulaya Ursula von der Leyen.
DUP yaridhia kurejea serikalini Ireland Kaskazini
Chama cha Ireland Kaskazini cha Democratic Union, DUP, kimesitisha uamuzi wake wa kususia kuwa sehemu ya serikali.
EU watasisitiza kuendelea kuisaidia Ukraine
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kusisitiza juu ya mwelekeo wao wa kuendelea kuisaidia Ukraine.
Scholz aitolea mwito EU waongeze msaada wa fedha kwa Ukraine
Hatua ya Hungary imekuja wakati Umoja huo unapanga kukutana kwa mkutano wa dharura wa kilele Alhamisi wiki hii.
EU yaishutumu Belarus kwa ukandamizaji
Belarus pia yashtumiwa kwa kuunga mkono vita vya Urusi nchini Ukraine
Uingereza yataka kubadilishana makombora na Ujerumani
Haya yameripotiwa jana na gazeti la Ujerumani la Handelsblatt
Uingereza na washirika washambulia waasi ya Kihouthi Yemen
Uingereza imesema nchi 24 zimeyashambulia maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa Kihouthi nchini Yemen.
Je, meli za kivita za EU zitawazuwia waasi wa Houthi?
Baada ya kusitasita awali pamoja na mgawanyiko, EU inapanga kuingilia kati mzozo wa Wahouthi, lakini hatari ni kubwa.
Bunge Uingereza lauchelewesha mpango wa wakimbizi wa Sunak
Baraza la juu la bunge la Uingereza limepiga kura kuuchelewesha mpango wa serikali wa kuwapeleka wahamiaji Rwanda
Marekani na UK zaendeleza mashambulizi dhidi ya wahouthi
Waasi wa Houthi wanaoungwa mkono na Iran wameapa kulipiza kisasi mashambulizi ya Marekani na Uingereza.
Sunak apata "pigo" katika kuwapeleka wahamiaji Rwanda
Mpango wenye utata wa serikali ya Uingereza kuwapeleka wahamiaji nchini Rwanda umepata pigo Jumatatu, baada ya Baraza la
Marekani yafanya duru mpya ya mashambulizi dhidi ya Wahouthi
Mashambulizi hayo yananuia kupunguza makali na uwezo wa Wahouthi.
Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waijadili hali ya Gaza
Mawaziri wa mambo ya nje wa EU wamekutana kwa mazungumzo na wanadiplomasia wakuu kutoka mataifa muhimu ya kiarabu.
Cameroon yazinduwa chanjo ya Malaria
Cameroon imezindua mpango wa kwanza ulimwenguni wa chanjo dhidi ya Malaria kuokoa maisha ya maelfu ya watoto.
Mawaziri wa Israel na Palestina kuhudhuria mkutano wa EU
Mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia, Misri na Jordan pia watashiriki mkutano huo.
Tawala za Kifalme zajiimarisha barani Ulaya
Kwa ujumla barani Ulaya, watawala wa kifalme huwa na majukumu yasiyo ya kimamlaka na yenye ushawishi mdogo kisiasa.
Mpango wa Sunak bado unakabiliwa na changamoto chungunzima
Hata hivyo bado Rishi Sunak anakabiliwa na vizingiti vingi kuhusiana na mpango wake huo.
Mpango wa Sunak wakuwapeleka wahamiaji Rwanda wafanikiwa
Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema nchi yake iko tayari kurejesha fedha jkwa Uingereza ikiwa mpango huo hatutofanikiwa.
Muswada wa Sunak wa kuwapeleka wahamiaji Rwanda wapita
Ni wabunge 11 kati ya 60 waliokuwa wanampinga walioamua kupiga kura dhidi ya muswada huo.
Uingereza kuijadili sheria ya kuwapeleka wakimbizi Rwanda
Mswada huo tata, hata hivyo, umesababisha mivutano ndani ya chama tawala cha Consevartives.
Waasi wa Houthi wasema wataanza kuzilenga meli za Marekani
Kundi la waasi wa Houthi wa nchini Yemen limesema linatanua operesheni zake kwenye Bahari ya Shamu.
Sunak atangaza msaada wa mabilioni ya dola kwa Ukraine
Msaada huo unajumuisha aina mbalimbali za silaha na risasi ambazo ni adimu nchini Ukraine ikiwemo makombora na droni.
Urusi: Uingereza kupeleka kikosi Ukraine ni kutangaza vita
Urusi imesema hatua ya Uingereza kupelekwa kikosi cha kijeshi Ukraine, ni tangazo la vita dhidi ya Moscow.
Marekani na Uingereza zashambulia ngome za wahouthi, Yemen
Waasi wa Houthi wamesema wapiganaji wao watano wameuawa na kuapa kulipiza kisasi
Marekani na Uingereza zashambulia waasi wa Yemen
Marekani na Uingereza zimefanya mashambulizi makubwa ya anga yaliyoyalenga maeneo yanayoshikiliwa na waasi nchini Yemen.
Waziri Mkuu wa Uingereza awasili Ukraine
Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak anaizuru Ukraine kuzindua awamu mpya ya msaada kwa ajili ya Ukraine
Marekani na Uingereza zashambulia maeneo ya Kihouthi
Mashambulizi hayo ya angani yamepiga miji kadhaa ya Yemen, ambako waasi wa Kihouthi wanadhibiti maeneo makubwa.
Marekani, UK zadungua droni na makombora ya Wahouthi
Vikosi vya Marekani na Uingereza vimezitungua droni zaidi ya 20 na makombora matatu yaliyovurumishwa na waasi wa Houthi.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 4 wa 43
Ukurasa unaofuatia