1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika yazungumza kwa sauti moja kuhusu tabia nchi

Saumu Yusuf8 Septemba 2023

Miongoni mwa yalimulikwa katika Afrika wiki hii ni mkutano wa kihistoria wa bara la Afrika kuhusu tabia nchi uliofanyika Kenya. Na mkutano wa jukwaa la chakula barani Afrika uliofanyika Dare-Salaam Tanzania ambapo viongozi wa Afrika wasema wako tayari kuulisha ulimwengu. Nchini Gabon,Jenerali Nguema aapishwa kuwa rais wa mpito. Jiunge na Saumu Mwasimba kwa hayo na mengine.

https://p.dw.com/p/4W87I