You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Nishati jadidifu
Iwe vyanzo vya upepo, jua au maji, sekta ya nishati jadidifu inazidi kustawi duniani kote.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Dunia yaadhimisha Siku ya Mazingira
Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yameng'oa nanga leo
Mvutano mkutano wa Lima
Katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu ongezeko la joto duniani unaofanyika Lima, Peru, upo mvutano kati ya nchi tajiri na maskini kuhusu hatua za kuchukua ili kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi.
Mkutano wa Lima wakabiliwa na shinikizo
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi nchini Peru, unakimbizana na muda kuweza kukamilisha makubaliano, ambayo yanaazimia kupunguza kiwango cha utoaji wa gesi inayoongeza joto duniani
Umoja wa Mataifa waanzisha masomo ya bure kuhusu mazingira
Kwa ushirikiano na taasisi za kitaaluma na mazingira duniani, Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) sasa linatoa mafunzo ya mtandaoni kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.
Matumaini ya Makubaliano ya Tabia Nchi Lima
Wajumbe 190 wanakutana Lima kwa wiki mbili kuzungumzia majukumu ya kila nchi katika kupambana na kuzidi hali ya ujoto, ili kupatikana njia ya kufikia makubaliano jumla mwaka mmoja kutoka sasa mjini Paris.
Viongozi wa EU kujadili hali ya hewa, Ebola
Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo Brussels kujadili sera mpya ya nishati, ambayo inaazimia kupunguza utoaji wa hewa ya ukaa inayochafua mazingira na kuongeza joto ulimwenguni.
Jeshi la Ujerumani na wakimbizi Magazetini
Madai ya waziri wa ulinzi wa serikali kuu ya Ujerumani ,malalamiko kwamba sera za Usafi wa mazingira zimepwya na kisa cha kudhalilishwa wakimbizi ni miongoni mwa mada magazetini
Mkutano wa mazingira kuanza mjini New York
Mkusanyiko mkubwa kabisa wa viongozi wa dunia katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unafunguliwa leo(23.09.) huku kukiwa na miito kuchukua hatua kuiweka sayari hii katika njia kuelekea kuzuwia ongezeko la ujoto.
Ongezeko na gharama ya mifuko ya plastiki kwa mazingira
Australia hutumia zaidi ya dola milioni 2 kwa mwaka kuokota takataka za mifuko ya plastiki, licha ya kuwa yenyewe ni moja ya nchi zilizoendelea, hii ikimaanisha kuwa hali ni mbaya zaidi kwenye mataifa masikini.
Afrika: Madini yachukuliwa, yabakia mashimo
Ingawa bara la Afrika limejaaliwa na utajiri mkubwa wa rasilimali, bara hilo limeendelea kusalia kwenye umasikini wake huku rasilimali hizo zikiwafaidisha wengine nalo likiachwa na mazingira yaliyochafuliwa.
Mkutano wa mazingira wa Warsaw wakumbwa na mivutano
Mamia ya wajumbe kutoka mashirika yasiyokuwa ya serikali walijiondowa kwenye mkutano wa mazingira ulioandaliwa na umoja wa Mataifa kupinga kujivuta kwa nchi zinazoendelea kufikia mkataba wa kimataifa kuhusu tabia nchi
Mawaziri wa mazingira wawasili Warsaw kwa mazungumzo ya tabia nchi
Nchi zinazoendelea zinataka hakikisho la misaada katika majanga ya siku za usoni yatokanayo na kuongezeka kwa joto duniani huku mazungumzo ya Warsawa yakingia awamu muhimu
Kimbunga Haiyan magazetini
Kimbunga Haiyan, mkutano wa usafi wa mazingira nchini Poland na mazungumzo ya kuunda serikali kuu ya muungano nchini Ujerumani ni miongoni mwa mada zilizohodhi magazeti ya Ujerumani.
Maoni ya wahariri juu ya wanaharakati wa mazingira
Pamoja na masuala mengine wahariri wanauzungumzia mkutano wa kilele juu ya mabadiliko ya hali ya hewa na sakata linalowakabili watetezi wa mazingira nchini Urusi.
Nishati mbadala yagubika mazungumzo Berlin
Wawakilishi wa tume ya nishati kutoka vyama ndugu vya Christian Democratic CDU na Social Democratic SPD wazungumzia mageuzi katika sekta ya nishati
Chama cha mazingira champa kisogo Merkel
Chama cha walinzi wa mazingira cha Ujerumani kimejiondoa katika mazungumzo ya serikali ya mseto na muungano wa kihafidhina unaoongozwa na kansela Angela Merkel, baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya masuala muhimu.
Uongozi mpya wa walinzi wa mazingira magazetini
Walinzi wa mazingira kujipatia uongozi mpya,kushindwa mradi wa nishati mbadala,na lawama anazotupiwa askofu mkuu wa Limburg ndizo mada zilizochambuliwa zaidi na wahariri wa magazeti ya Ujerumani.
Serikali mpya ya Italia magazetini
Serikali mpya nchini Italia,mkutano mkuu wa chama cha walinzi wa mazingira na mtindo wa kupendeleana miongoni mwa baadhi ya wanachama wa chama cha CSU ni miongoni mwa mada zilizochambuliwa
Hatari ya takataka za sumu Kenya
Umuhimu wa suala la usafi wa mazingira unatiliwa mkazo sana kwa ajili ya mwanaadamu kupata eneo salama la kuishi kwenye sayari ya dunia, lakini ongezeko la kemikali na takataka za sumu mashariki ya Afrika linatia shaka.
Misitu sehemu ya maisha inayotoweka
Kila sehemu ya Tanzania wakulima wanahangaika kuliko ilivyowahi kutokea, wakishindana na mabadiliko ya hali ya hewa ili kulinda riziki zao na usalama wa chakula, lakini huenda wasipate wasifaulu na kuidhibiti hali hiyo.
Matumaini yakoje katika kutano wa tabia nchi mjini Doha?
Mkutano wa 18 wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi umefunguliwa mjini Doha, bila ya kuwepo matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kupunguza moshi wa viwandani.
Kitisho cha wanaostaafu kuishi maisha duni
Kitisho cha watu kuangukia katika hali ya umaskini wanapostaafu,Kishindo kinachowakabili walinzi wa mazingira katika kuwateuwa watakaewaongoza katika uchaguzi mkuu mwakani ndizo mada kuu magazetini hii leo
Unyakuzi wa ardhi wajadiliwa Rio + 20
Mkutano wa kimataifa wa mazingira wa Rio + 20 unaendelea mjini Rio de Janeiro, Brazil. Miongoni mwa mada zinazozungumziwa kwa kina na wawakilishi wa nchi za Afrika na mashirika yasiyo ya kiserikali ni unyakuzi wa ardhi.
Mkutano wa Rio+20 waanza
Wanachama wa Umoja wa Mataifa katika mkesha wa Mkutano wa Kilele wa Maendeleo Endelevu unaofanyika Rio de Janeiro nchini Brazil wameunga mkono mpango wa kutunza mazingira na kujenga uchumi utakaozingatia mazingira.
Maisha ya mapambano katika viwanda vya chuma Tanzania
Viwanda vinavyotengeneza bidhaa za chuma nchini Tanzania vinavyoongoza kwa mazingira duni ya kazi, vikiwa havina vifaa vya kujikinga na majanga licha ya mazingira hatari yanayoambatana na shughuli hiyo.
Waziri wa mazingira wa Ujerumani Röttgen atimuliwa
Kansela Angela Merkel amemwachisha kazi Waziri wake wa mazingira Nobert Röttgen siku chake baada ya Waziri huyo kushindwa katika uchaguzi wa Bunge katika jimbo la Northrhine Westphalia.
Uchumi na mazingira
Unapata taswira kamili jinsi maisha ya kawaida kila siku yanavyoathiri au kuathiriwa na sehemu nyingine za ulimwengu.
Kutumia sheria kuhifadhi mazingira
Sheria ni sehemu muhimu ya ulinzi wa mazingira, maana panapokuwa na tafauti za madaraka, nguvu na ushawishi baina ya matabaka ya kijamii, ni sheria pekee ndiyo inayoweza kusimama kuyatetea mazingira.
Uchafu bado kikwazo miji ya Afrika Mashariki
Moja ya changamoto kubwa zinazoikabili miji katika kanda ya Afrika Mashariki, ni uchafuzi wa mazingira, hasa kutokana kushindwa kusimamia kwa ufanisi suala zima la usafi.
Sasa baiolojia-anwai ndiyo njia ya mazingira
Kanuni kubwa ya mazingira ni kwamba pana uhusiano wa kutegemeana kat ya mwanadaamu na viumbe vilivyomzunguka, wakiwamo wanyama na mimea na kwamba ili mwanaadamu aendelee kubakia salama, lazima hivyo navyo viwe salama.
Vijana, mazingira na dunia ya kesho
Uchafuzi wa mazingira unatishia sio tu usalama wa afya kwa wakati tulionao, bali pia mustakabali wa sayari ya dunia kwa miaka ijayo, ambapo kizazi kijacho kitajikuta kimekosa mahala salama pa kuendeshea maisha yao.
Taasisi zisizo za kiserikali zina dhima kubwa
Baada ya Durban, dunia itarajie nini?
Mwaka 2011 utakumbukwa kwa mengi, ukiwemo mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni uliofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, ingawa bado suali linabakia pale pale: nini kinafuatia?
Mkutano wa Mazingira mjini Durban wamalizika kwa mafanikio
Mkutano mrefu kabisa wa mabadiliko ya tabia nchi kuwahi kushuhudiwa umemalizika jana mjini Durban kwa kupatikana makubaliano juu ya mkataba mpya kuhusu utoaji gesi chafu zinazoharibu mazingira.
Dalili njema zaibuka kwenye mkutano wa Mazingira wa Durban
Wakati mazungumzo ya Jukwaa la Mataifa 194 juu ya Mabadiliko ya tabia nchi (UNFCC) yakiingia siku yake ya pili mjini Durban, kuna dalili ya hatua za kupunguza athari za gesi chafu kutoka sekta ya usafiri wa baharini.
Ufisadi wachangia uharibifu wa mazingira duniani
Shirika la Kimataifa la Kupiga Vita Rushwa, Transparency International, limeonya kupitia ripoti yake ya mwaka, kuwa rushwa na ufisadi unazidhoofisha juhudi za dunia za kupambana na mabadiliko ya tabianchi.
"Mazungumzo kuhusiana na mazingira hayafiki popote"
Watalaamu wa masuala ya mazingira wanaohudhuria mkutano katika mji wa Bonn, Ujerumani, wanasema hatima ya makubaliano ya kimataifa juu ya viwango vya kupunguza gesi chafu duniani inakabiliwa na mashaka.
Mazingira ya Afrika - Tishio Kwa Pepo Iliyopotea
"Learning by Ear – Noa bongo" inaangalia kwa kina uhusiano baina ya watu na mazingira barani Afrika.
Elimu Jumla – Kipindi 6 – Nishati ya Jua
Katika kipindi hiki tutazungumzia nishati ya jua. Au tuseme nishati inayotokana na mwanga. Jack na Jenny wanataka kufahamu zaidi kuhusu jua na kama jua laweza kutoa umeme. Wanashindana kuona ni nani yuko sahihi.
Mazingira Afrika – Kipindi 10 – Vyakula vya baharini
Kwa nini ni muhimu kuwafundisha wavuvi kutumia nyavu ili kuwalinda kaa? Juhudi gani zinaweza kuchukuliwa kuwalinda Papa? Sikiliza na ufahamu zaidi juu ya hilo na mengine.
Mazingira Afrika – Kipindi 9 – Uvuvi wenye madhara
Kipindi hiki kinazungumzia uvuvi wa kutumia baruti unavyoathiri matumbawe ambayo yanahitaji karne kujengeka, lakini yanaweza kuharibiwa kwa sekunde moja tu. Nini kinachowakumba wanyama na mimea ya baharini?
Mazingira Afrika – Kipindi 8 – Jangwa
Majangwa barani Afrika yamekuwa yakiongezeka. Hii ni kutokana na shughuli za kibinaadamu duniani kwa mfano ongezeko la malisho pamoja na ukataji miti. Je, ni jinsi gani wakulima wanawajibika kwa hali hiyo?
Mazingira Afrika – Kipindi 7 – Ukataji miti
Ukataji miti umesababisha madhara makubwa kwa mazingira. Bara la Afrika limepoteza misitu mingi kuliko bara lingine lolote. Fahamu kuhusiana na biashara haramu ya mbao pamoja na madhara yake.
Mazingira Afrika – Kipindi 6 –Nishati Endelevu
Mahitaji ya mafuta, mkaa na gesi bado ni makubwa. Lakini vyanzo vya nishati hii si vya kudumu, kwa hivyo tutapata wapi nishati hii? Tutaangazia nishati nyingine mbadala na inayoweza kutumika tena kama vile upepo na jua.
Mazingira Afrika – Kipindi 5 - Kuni
Afrika inategemea kuni kwa ajili ya kupikia lakini mahitaji ya mkaa yameharibu misitu barani humo. Hebu tuangalie njia mbadala kama vile kupika chakula kwa kutumia joto na mwanga wa jua.
Mazingira Afrika – Kipindi 4 – Magari na Baiskeli
Gari ni chanzo kikuu cha uchafuzi wa hali ya hewa. Hutoa hewa ya kaboni inayochangia ongezeko la ujoto duniani. Gundua faida za usafiri wa umma pamoja na baiskeli.
Mazingira Afrika – Kipindi 3 –Nyama pori
Shughuli za kibinaadamu huwa na madhara kwa maisha ya wanyamapori. Tunajua athari za biashara haramu ya nyamapori ambayo ni ya kawaida Afrika. Ni viumbe gani ambao wako katika hatari ya kutoweka?
Mazingira Afrika – Kipindi 2 – Elimu ya wadudu waharibifu
Elimu ya wadudu waharibifu inaweza kuongeza mazao yetu lakini ina madhara makubwa kwa mazingira. Tutaona jinsi sumu ya kuua wadudu inavyojipenyeza kwenye ardhi na maji. Tutajifunza jinsi ya kufanya kilimo cha zao moja.
Mazingira Afrika – Kipindi 1 - Takataka
Suala la takataka limekuwa ni tatizo sugu. Na kwa serikali za Afrika kulishughulikia suala hilo ni jukumu kubwa. Tutaelezea hatari ya mifuko ya plastiki kwa viumbe wa baharini, jinsi inavyoharibu mazingira ya majini.
Teknolojia mpya ya Habari na Mawasiliano – Kipindi 05 – Kujali na Kulinda Mazingira
Hufanya nini na simu ya zamani ya mkononi? Hutengenezwa na vifaa gani? Na husababisha athari gani kwa mazingira? Timu yetu inajaribu kujibu maswali haya.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 9 wa 11
Ukurasa unaofuatia