You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Nishati jadidifu
Iwe vyanzo vya upepo, jua au maji, sekta ya nishati jadidifu inazidi kustawi duniani kote.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
041210 Cancun Klimafonds
Mjini Cancun wajumbe wanajadili kuhusu mfuko wa mazingira utakaokuwa na kiasi cha dola bilioni 100.
Mazingira yanapochangaya siasa na uchumi
Mwangwi wa kufeli kwa mkutano wa Tabia Nchi wa Copenhagen ulihanikiza Ulaya nzima na sasa mkutano kama huo unafanyika mjini Cancun na tena patakuwa na mabishano baina ya siasa, uchumi na hatima ya sayari ya dunia.
Marekani yatafuta masikillizano na dunia kupitia mazingira?
Ukiwa umedhoofishwa na hali mbaya ya kisiasa, utawala wa Rais Barack Obama unajaribu kutafuta mapatano na ulimwengu kuhusiana na suala tete la uchafuzi wa mazingira.
Ufahamu Jumla – Kipindi 5 – Nishati ya Jua
Katika kipindi hiki, tutazungumzia juu ya nishati ya jua. Jack na Jenny wanajaribu kuchunguza jinsi jua linavyofanyakazi na iwapo linaweza kutoa umeme.Na wamewekeana dau kwa yoyote atakayekuwa sahihi.
Ecosia yapambana na uchafuzi wa mazingira
Harakati za maisha yetu zinachangia kwa kiasi kikubwa kuchafua mazingira, si kupitia vyombo vya usaifri tu, bali hata mitandao ya kompyuta. Lakini sasa wataalamu wamevumbua njia ya kutunza mazingira mtandaoni, Ecosia
Wanaharakati walinzi wa mazingira - Greenpeace Watimiza miaka 30 Ujerumani
Katika mwaka 1997 wanaharakati wanaopigania amani walianzisha rasmi shirika la Greenpeace nchini Canada. Miaka 9 baadaye mwaka 1990, kundi la Ujerumani lilichukua uongozi.
Majadiliano ya Mazingira Bonn
Baada ya serikali ya Marekani kutofanikiwa kupitisha sheria ya ulinzi wa mazingira kuna wasiwasi kuwa majadiliano ya Umoja wa Mataifa yanayofanywa Bonn,Ujerumani yatakabiliwa na vikwazo.
Umuhimu wa China na Marekani katika ulinzi wa mazingira
China na Marekani ni wazalishaji wakubwa kabisa wa gesi zinazochafua mazingira.Ikiwa nchi hizo hazitokuwa tayari kutoa ahadi sahihi basi hata nchi nyingi zingine vile vile zitakuwa na msimamo kama huo.
Nishati ya jua barani Afrika
Zimesalia siku tano kabla ya mkutano wa kilele wa hali ya hewa kuanza Copenhagen,Denmark.
Nishati mbadala barani Afrika
Zimesalia siku tano kabla ya mkutano wa kilele wa hali ya hewa kuanza Copenhagen,Denmark.Moja ya mada muhimu itakayojadiliwa Copenhagen katika kikao cha kilele ni hatua za kuvipunguza viwango vya gesi ya Carbon
Dola bilioni 50 zahitajika kuhifadhi mazingira
Kwa mujibu wa ripoti ya Stern iliyochapishwa mwaka 2006 ulimwengu utalazimika kutumia asilimia moja ya pato lote endapo mataifa yataamua kupambana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa haraka iwezekanavyo.
Marekani yaitaka China ipunguze utoaji gesi inayoharibu mazingira
Wakati dunia ikijiandaa kwa mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa wa hali ya hewa baadaye mwezi ujao huko Copenhagen Denmark, Marekani imetoa msimamo wake kuhusiana na upunguzaji wa gesi inayoharibu mazingira.
Mkutano wa Mazingira-Bonn
Kama wajumbe 2,000 kutoka takriban nchi 190 wanakutana mjini Bonn Ujerumani kuendelea na majadiliano yanayohusika na hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuweza kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
Ushawishi wa Obama katika mkutano wa mazingira bonn.
Kwa kadiri gani kurejea kwa Marekani katika mjadala wa kulinda mazingira kutachangia mapatano Copenhagen ?
Vita vya Gaza vimeathiri mazingira
Ili kuweza kukadiria uharibifu wa mazingira uliosababishwa na operesheni za kijeshi za Israel kwenye Ukanda wa Gaza,shirika la kimataifa-UNEP- linaloshughulikia miradi ya mazingira,limeombwa kutayarisha ripoti ya kwanza.
EU yajadili mkataba wa kulinda mazingira
Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya umeingia siku yake ya pili na ya mwisho mjini Brussels nchini Ubelgiji.Viongozi hao wanajadili mikakati mbadala ya kupambana na athari za mabadiliko ya hali ya anga
Ushirikiano baina ya wanaharakati wa mazingira wa Ujerumani na Tanzania
Ushirikiano baina ya wanaharakati wa mazingira wa Ujerumani na Tanzania
Mkutano wa Mazingira na Maji wa bonde la mto Nile
Kumefunguliwa mjini Kinshasa mkutano wa mawaziri wa mazingira na maji wa mataifa wanachama wa bonde la mto NILE.
Wajumbe wa mazingira wajadiliana juu ya makubaliano ya Basel
Takataka za sumu zahatarisha maisha ya watu kwenye nchi maskini
Waziri S.Gabriel afungua mkutano
Mkutano wa nne wa Umoja wa Mataifa juu ya kulinda viumbe na mazingira yaliyomo katika hatari ya kutoeka umefunguliwa leo mjini Bonn na waziri wa mazingira wa Ujerumani bwana Sigmar Gabriel.
Sera ya mazingira ya Ujerumani
Ujerumani kinyume na nchi nyengine za kiviwanda ina mradi wa kuachana kabisa na vinu vya nishati ya nuklia.
Walinzi mazingira waandamana
---
Mataifa yatakiwa kuchukua juhudi zaidi kupunguza gesi zinazoharibu mazingira.
Wanaharakati wafanya maandamano kusisitiza ulinzi wa mazingira.
China kupunguza gesi zinazochafua mazingira
Mkutano wa mazingira waanza.
Mkutano wa mazingira waanza.
Ujerumani kuifundisha dunia jinsi ya kutunza mazingira
Shirika la UNEP latoa taarifa kuhusu hali ya mazingira duniani
Shirika la mazingira la umoja wa mataifa UNEP, leo limetoa taarifa yake ya kila baada ya miaka 20 kuhusu hali ya mazingira duniani kote.
Mkutano wa mazingira wa rais Bush ni kiini macho
Baada ya miaka kadha ya kukanusha , mkutano uliodhaminiwa na Ikulu ya Marekani kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa, umemalizika siku ya Ijumaa huku rais George W. Bush akikiri kuwa ongezeko la ujoto duniani ni suala ambalo halikaniki na binadamu wanahusika na amewataka viongozi wa mataifa kuungana nae mwaka ujao katika mkutano mwingine.
Washington. Marekani yakataa kuweka ulazima wa kila nchi kuweka viwango vya kupunguza gesi zinazochafua mazingira.
FRANKFURT:Kansela Merkel asisitiza kutunza mazingira
FRANKFURT: Magari mapya kupunguza uchafuzi wa mazingira
BERLIN: Merkel atetea ajenda ya kuhifadhi mazingira
COPENHAGEN: Juhudi za kulinda mazingira ziimarishwe
Maoni yetu juu ya tumbuizo la muziki,kuhamasisha ulinzi wa mazingira
Wanamuziki mashahuri duniani kote walipanda majukwaani na kutumbuiza kwa lengo la kuwahamasisha watu juu ya ulazima wa kupambana na ongezeko la joto duniani.
NEW YORK : Nyota wa muziki wapigia debe mazingira
London.Tamasha la muziki kupambana na uharibifu wa mazingira lafana.
COLOGNE: Jamii na mazingira yapaswa kuheshimiwa
BERLIN:Bush aahidi kushirikiana na wenzake katika masuala ya mazingira
Mkakati wa Bush kuhusu mazingira
Rais George W.Bush wa Marekani,amependekeza mkakati mpya wa kushirikiana na mataifa mengine kwa azma ya kuanzisha mfumo mpya kuhusu njia za kupunguza gesi zinazoathiri mazingira.
Hamburg. Mawaziri wasigana juu ya upunguzaji wa gesi zinazoharibu mazingira.
BERLIN: Msimamo wa Marekani kuhusu mazingira wasikitisha
Berlin. Pelosi azunguzia mazingira.
BERLIN : Merkel ataka kupunguzwa gesi zinazoathiri mazingira
Bremen. SPD kuunda serikali na chama cha walinzi wa mazingira Greens.
Haki ya mazingira kuanzishwa
Mada mpya iitwayo ´haki ya mazingira´ inaukabili mjadala juu ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani. Mwandishi wetu Monika Hoegen anaripoti juu ya mjadala wa mazingira unaondelea.
NEW YORK : Makubaliano ya mazingira yamekwenda kombo
Umoja wa Ulaya na mazingira
Moshi unaochafua mazingira kutoka nchi zanachama wa Umoja wa Ulaya utaongezeka zaidi kuliko zinavyodai nchi hizo.;Kikundi ,kinachotetea mazingira-Friends of the Earth-kimegundua hayo.
Waziri wa mazingira wa Ujerumani aridhika na matokeo ya mkutano wa Postdam
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 10 wa 11
Ukurasa unaofuatia