You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Nishati jadidifu
Iwe vyanzo vya upepo, jua au maji, sekta ya nishati jadidifu inazidi kustawi duniani kote.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
POTSDAM: Ushirikiano muhimu kuhifadhi mazingira
Juhudi za kuhifadhi mazingira
Mkutano wa mawaziri wa mazingira wa nchi 8 tajiri kwa viwanda na wenzao wa nchi 5 zinazoinukia
BERLIN: Merkel amesifu mradi wa Blair kuhusu mazingira
Umoja wa mataifa, New York. Katibu mkuu afisu makubaliano ya umoja wa Ulaya kuhusu mazingira
HAMBURG: Kansela Merkel asifu juhudi za kulinda mazingira
BERLIN: Nchi za viwanda zipunguze zaidi uchafuzi wa mazingira
OSLO: Mazungumzo kuhusu mazingira yakwama
Nishati mbadala yadhihirisha umuhimu wake.
Makampuni makubwa sasa yatambua umuhimu wa kushughulikia hifadhi ya mazingira, kuinusuru dunia.
New York:Makampuni yatetea hifadhi ya mazingira
BRUSSELS : Mawaziri wa mazingira wa Ulaya wakutana
Berlin: Mkuu wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa ataka kuweko kodi ya ziyada kwa tiketi za ndege
Beijing. Mazingira mada kuu katika mkutano na kati ya Wajerumani na Wachina.
BRUSSELS: Ulaya ipunguze uchafuzi wa mazingira
PARIS: Mpango wa ujenzi wa kinu cha kinyuklia cha nishati ya jua
Mkutano wa mazingira mjini Nairobi
Juhudi za kupunguza uchafuzi wa mazingira
Kampeni inayoongozwa na Umoja wa Mataifa kupambana na kuongezeka kwa ujoto duniani,huenda ikawa na mabadiliko yatakayoweza kuzivutia nchi zaidi kama vile Marekani na China,baada ya mwaka 2012.
LONDON: Wito wa kuchukua hatua zaidi kulinda mazingira
Helsinki. Viongozi wajadili kuhusu uchafuzi wa mazingira.
Watoto wanasaidia kusafisha mazingira
Miradi ya maendeleo daima huchukuliwa kuwa imefanikiwa,pale malengo mengi iwezekanavyo yanapotimizwa bila ya kuwa na gharama nyingi.
Beijing: Matatizo ya Mazingira katika Uchina yamekithiri.
Mkutano wa Mazingira waendelea Kanada
Marafiki wakubwa wa Marekani wameonyesha matumaini yao kuwa wanaweza kuishawishi nchi hiyo yenye wasiwasi kuhusu mbinu mpya za kupambana na kuongezeka kwa ujoto duniani katika mkutano wa Mazingira unaohudhuriwa na Wajumbe kutoka nchi 189 mjini Montreal, Kanada.
Mazingira yasababisha aina mpya ya wakimbizi
Warsha juu ya mazingira na amani ilimalizika jana katika eneo la Wesseling hapa mjini Bonn. Mada kuu iliyojadiliwa ni tatizo kubwa la wakimbizi wa mazingira.
STOCKHOLM : Tuzo Mbadala ya Nobel kwa wanaharakati wa haki za binaadamu na mazingira
BERLIN:Madhamana wa CDU/CDU na walinzi wa Mazingira-Grüne kukutana
Noumea, New Caledonia. Uchafuzi wa mazingira wasababisha vifo vya mamilioni ya watu.
Oslo. Kiongozi wa mpango wa mazingira kujiuzulu.
Waziri wa mazingira Irak anusurika kuuwawa.
New York. Leo ni siku ya mazingira. Miji yatakiwa kupanda miti zaidi.
Uchafuzi wa mazingira waharibu mfumo wa dunia kujiendesha.
Mkutano wa mwaka wa Shirika la Mazingira la Umoja wa mataifa wapokea ripoti kuhusu janga la Tsunami.
Yasema hatua za kimaumbile hazina budi kuchukuliwa kuzuwia majanga ya aina hiyo siku za usoni.
Mkutano wa mwaka wa Shirika la Mazingira la Umoja wa mataifa wapokea ripoti kuhusu janga la Tsunami.
Ripoti inapendekeza hatua za kimaumbile za vizuizi katika kingo za pwani,kuzuwia majanga ya aina hiyo siku za usoni.
TOKYO: Mkataba wa mazingira waanza kutumika.
SURA YA UJERUMANI NA MIAKA 25 TANGU KUASISIWA CHAMA CHA KIJANI-WALINZI WA USAFI WA MAZINGIRA:
SHIRIKA LA MAZINGIRA LA UMOJA WA MATAIFA NA TSUNAMI
Athari za zilzala iliyoshambulia katika eneo la Bahari ya Hindi imelifanya Shirika la Umoja wa Mataifa lizipe umbele harakati za kuunda mfumo wa kuonya mapema katika eneo hilo. Habari hiyo ilitangazwa na Klaus Töfper, Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa wakati akihudhuria Mkutano wa Kimataifa mjini London kuhusu mustakabali wa mataifa ya visiwa katika maeneo yenye kuhitaji maendeleo. Kwanza watu wa eneo hilo watahitaji kupatiwa misaada ya kuikarabati hasara ya kiuchumi iliyosababishwa na Tsunami. Kisha hapo patakuweko mahitaji ya kukichunguza kiwango cha hasara kilichotiwa katika mazingira na maafa ya mafuriko ya maji, alisema Bwana Töpfer.
Berlin: Mkuu wa shirika la umoja wa mataifa la usafi wa mazingira,
LONDON: Tetesi zapamba moto nchini Uingereza, kuhusu mazingira ilimotokea ajali ya gari iliyosababisha kifo cha Diana
RIPOTI YA MAZINGIRA 2003
Mtu na Mazingira
Vita Vinachochea Hali Mbaya ya Mataifa Masikini, Unasema Umoja wa Mataifa
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 11 wa 11
Ukurasa unaofuatia