You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Maandamano Kenya
Kombe la EURO 2024 Ujerumani
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Michezo
Pata habari na uchambuzi wa michezo.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wanawake wenye ulemavu wajiunga na mchezo wa mpira wa mikono
Kutana na wanawake hawa wenye ulemavu waliamua kujiingiza kwenye mchezo wa mpira wa mikono na namna wanavyosakata mchezo huo.
Leverkusen washinda taji la kwanza la Bundesliga
Leverkusen iliifunga Werder Bremen 5 - 0 na kuuwekea kikomo utawala wa Bayern Munich wa miaka 11 mfululizo wa ligi kuu.
Tuchel kuisusa mechi inayoweza kuipa taji Leverkusen
Tuchel amesema atasubiri mechi kati ya timu yake na Arsenal kuwania kombe la mabingwa barani Ulaya.
Umuhimu wa kocha na mkufunzi bora kwa mchezaji
Katika michezo, nafasi ya kwanza inamaanisha ubingwa. Mbali na talanta unahitaji washauri na wakufunzi bora watakao kuongoza kufikia ubingwa. Hawa huchangia ushindi nyuma ya pazia na kumsaidia mchezaji kuvikabili vikwazo na ukiritimba unaojitokeza katika safari ya mashindano. #vijanamubashara
Rudi Völler arefusha mkataba DFB
Rudi Völler arefusha mkataba na shirikisho la soka DFB hadi mwaka 2026.
Bundesliga: Leverkusen wakaribia ubingwa
Bayer Leverkusenyapania kubeba taji lao la kwanza la Bundesliga.
Bayern kuwakosa wachezaji muhimu dhidi ya Heidenheim
Kocha Thomas Tuchel amesema Bayern lazima washinde kama wako tayari kwa mechi ya ligi ya mabingwa wa Ulaya, Champions.
Alonso asema muda wa Bayer Leverkusen kufurahia ushindi bado
Kocha wa Bayer Leverkusen, Xabi Alonso, amesema ni mapema mno kuanza kusherehekea ushindi wa Ligi Kuu ya Ujerumani.
Florian Wirtz haondoki Leverkusen msimu ujao
Wirtz amekuwa akiwindwa na vilabu mashuhuri vilivyotaka kumsajili msimu ujao.
Dortmund yaizika nia ya Bayern kushinda ligi
Leverkusen inahitaji alama tisa kutawazwa mabingwa wa Bundesliga bila kujali matokeo watakayoyapata Bayern.
Dana Dana za soka la Ujerumani na Bundesliga
Kurejea katika kikosi cha Ujerumani kwa kiungo Tony Kroos kumesaidia kuimarisha mchezo wa timu.
Wanariadha Urusi, Belarus kutoshiriki ufunguzi wa olimpiki
IOC, imesmea wanariadha wa Urusi na Belarus walioruhusiwa kushiriki gwaride la sherehe ya ufunguzi.
Leverkusen wausogelea ubingwa wa Bundesliga
Dar Young Africans waangukia pua pambano la dabi ya Mzizima, Tanzania. Na Carlos Alcarez atetea taji la Indian Wells.
Bayer Leverkusen, wako imara kweli ama ni povu la soda?
Bayer Leverkusen imeweka rikodi ya kutofungwa mechi 36 katika mashindano yote msimu huu.
Bayern watapindua kipigo na wafuzu robo fainali Champions League?
Bayern Munich wana nafasi ya kuyaweka hai matumaini yao ya kupata angalau taji moja msimu huu watakapotembelewa na Lazio hapo Jumanne katika mechi ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya, Champions League. Katika mechi ya raundi ya kwanza iliyochezwa huko Italia, Bayern walifungwa 1-0. Msikilize Bruce Amani akitoa tathmini yake kuhusiana na iwapo Bayern wataweza kukipindua kipigo hicho na wasonge mbele.
Je, wakati umewadia wa Eliud Kipchoge kustaafu?
Nyota wa mbio za masafa marefu za marathon Eliud Kipchoge kutoka Kenya alionyeshwa kivumbi na Wakenya wenzake mwishoni mwa wiki katika mbio za Tokyo Marathon ambapo aliishia kumaliza mbio hizo katika nafasi ya kumi. Sikiliza uchambuzi wa mwandishi wa michezo kutoka Kenya Ali Hassan Kauleni alipozungumza na Jacob Safari.
Kuna mpinzani tena wa Leverkusen katika Bundesliga msimu huu?
Bayer Leverkusen taratibu yaujongelea ubingwa wa Ujerumani baada ya kufungua mwanya wa pointi kumi baina yake na timu iliyo katika nafasi ya pili Bayern Munich. Chini ya jedwali nako FC Cologne wanahaha, hali si nzuri wako katika hatari ya kushuka daraja. Sikiliza uchambuzi kati ya Jacob Safari na mchambuzi wa kandanda la Ujerumani Sekione Kitojo.
Leverkusen waongeza mwanya baina yao na Bayern
Matumaini ya mashabiki wa kandanda Ujerumani ya kuwa na bingwa mpya msimu huu yameongezeka
Florian Wirtz bado yupo yupo sana Bayer Leverkusen
Vilabu vya Bayern, Barcelona na Real Madrid vimeonesha nia ya kuitaka saini ya mchezaji huyo raia wa Ujerumani.
Dana Dana za Bundesliga na Josephat Charo na Saumu Njama
Kocha Thomas Tuchel ameshinda mechi yake ya kwanza na timu yake ya Bayern Munich tangu ilipotangazwa ataondoka mwishoni mwa msimu. Je hii ina maana gani kwa kikosi cha Bayern na muelekeo wa ligi kwa mechi zilizosalia msimu huu? Borussia Dortmund wapoteza tena nyumbani dhidi ya TSG Hoffenheim. Stuttgart wakwamishwa na Cologne nyumbani.
Bayer Leverkusen yaendelea kupepea kileleni mwa Bundesliga
Jordan Thompson wa Australia ashinda taji la kwanza la mashindano ya kimataifa ya tenisi Los Cabos Open nchini Mexico.
Dani Alves ahukumiwa miaka 4.5 jela kwa ubakaji
Mahakama ya Uhispania imemuhukumu nyota wa zamani wa kandanda Dani Alves kifungo cha miaka 4.5 jela kwa ubakaji.
Bondia Pacquiao akubali ndoto yake ya Olimpiki imekwisha
Bondia Pacquiao "amehuzunishwa na kukatishwa tamaa" katika ndoto yake ya ndondi ya Olimpiki.
Bayern waduwazwa na Bochum 3-2
Bochum waponyoka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Bayern Munich.
Ivory Coast wafalme wa kandanda barani Afrika
Ivory Coast sasa imejiunga na Nigeria kuwa timu zilizobeba ubingwa wa AFCON mara tatu.
Thomas Tuchel abeba lawama kufuatia kipigo cha 3-0
Kuna wasiwasi juu ya nafasi ya Thomas Tuchel iwapo Bayern Munich itashindwa kuchukua ubingwa msimu huu.
Emerse Fae: Safari ya ushindi wa Ivory Coast ni kama miujiza
Ivory Coast ilimfuta kazi Jean-Louis Gasset baada ya kumaliza wa tatu kwenye kundi A na kumteua Fae kama kocha wa muda.
Kenya yaomboleza kifo cha mwanariadha Kelvin Kiptum
Kpitum alipata ajali eneo la bonde la Ufa baada ya kushindwa kulidhibiti gari alilokuwa akiendesha na kuacha barabara.
Cote d'Ivoire wabeba ubingwa wa Afrika
Timu ya Cote d'Ivoire imeandika historia baada ya kujinyakulia taji la ubingwa wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON kwa kuitwanga Super Eagles ya Nigeria mabao 2-1, katika mchuano wa fainali uliopigwa katika ndimba la Olimpiki wa Ebimpe mjini Abidjan. Lakini safari yao imekuwa hadithi ya muujiza kama anavyosimulia Bruce Amani
Baver Leverkusen yapipanga kuikwaa Bayern Munich
Alonso alisema wanahitaji kuwa imara kuweza kuishinda Bayern Munich, licha ya wasiwasi kuhusu majeruhi.
Semenya ataka kugharamikia mapambano yake ya kisheria
Semenya anajiandaa na usikilizaji wa shauri lake katika Mahakama ya Haki za Binaadamu ya Ulaya (ECHR) tarehe 15 Mei.
Nigeria yakwaaa na Afrika Kusini nusu fainali AFCON
Michuano ya AFCON inaingia hatua ya nusu fainali huku mabingwa mara tatu, Nigeria, wakipambana na Afrika Kusini leo.
AFCON: Timu ya Kongo yaahidi "kuwaburudisha" mashabiki wake
Kocha wa Kongo: " Mechi hii ni maalum kwa DRC na pia ni kazi yetu kuwapa watu furaha na kuwafanya watabasamu."
Shirikisho la Soka Cameroon lapinga hatua ya Eto'o kujiuzulu
Eto'o amekuwa akikabiliwa na tuhuma za mienendo isiyofaa, upangaji matokeo na rushwa.
Misri yamfuta kazi kocha wa timu ya taifa ya kandanda
Siku ya Jumatano Februari 7,2024 ni hatua ya nusu fainali ya michuano ya AFCON
Vijana Tugutuke: Ufanisi wa soka pwani ya Kenya
Fathiya Omar anajadiliana na vijana wa pwani ya Kenya juu ya maendeleo ya soka kwenye eneo hilo.
AFCON: Hatua ya robo fainali nani mkali?
Kocha wa muda wa Ivory Coast Emerse Fae amekiri kwamba timu yake ina "jukumu la kufanya kila iwezalo" katika mechi ya kufuzu hatua ya robo fainali katika Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya mabingwa watetezi Senegal baada ya kuponea chupuchupu katika hatua ya makundi. Amri Massare akiwa nchini Ivory Coast ana tathmini zaidi.
Harry Kane aendelea kutamba Ujerumani
Harry Kane alifunga bao lake la 23 msimu huu wakati Bayern ikipata ushindi muhimu wa 3-2 dhidi ya Augsburg.
Timu za Tanzania na DR Kongo zikiwa mazoezini
Taifa Stars ina kibarua kigumu cha mwisho katika mchuano wa kundi, F ikipigania ushindi kwa nguvu kubwa.
Kameruni yatinga hatua ya mtoano baada ya kuilaza Gambia 3-2
Kameruni sasa itachuana na Super Eagles Nigeria katika uwanja wa Felix Houphouet Boigny mjini Abdijan siku ya Jumamosi.
Ivory Coast ukingoni mwa kutolewa nje ya michuano ya AFCON
Ivory Coast ilipokezwa kichapo cha 4-0 na Guinea ya Ikweta na kuiweka nafasi yake kufuzu raundi ya 16 bora kuwa finyu.
Bremen yaishangaza Bayern katika Bundesliga
Na nyota wa tenis raia wa Urusi Daniil Medvedev afuzu kwa robo fainali ya mashindano ya tenisi ya Australian Open
Taifa Stars yalazimishwa sare ya 1-1 na Zambia
Taifa Stars ilianza kampeni ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON kwa kufungwa mabao 3-0 na Morocco.
Vijana Tugutuke: Ufanisi wa soka la pwani ya Kenya
Kwenye Makala ya Vijana Tugutuke, mwenzetu Fathiya Omar alikutana na vijana akazungumza nao juu ya ufanisi wa soka la pwani ya Kenya na namna ya kuliimarusha zaidi. Walisema nini vijana hawa? Karibu sana kwenye makala haya usikilize.
PSG wafungua mwanya wa pointi 8 dhidi ya Nice
Klabu ya Nice iliyoanza vyema msimu wa ligi ya Ufaransa Ligue 1 kwa mechi 13 bila kufungwa
Vinicius aizamisha Barcelona
Winga wa Real Madrid Vinicius Junior aliisaidia Real Madrid kupata ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya Barcelona
Terzic: Tutamsaidia Sancho kurejelea makali yake
Jadon Sancho aliingia kama mchezaji wa akiba na kusaidia kuandaa goli moja Borussia Dortmund walipowalaza Darmstadt.
Leverkusen waendelea kuwaumisha kichwa Bayern
Ligi Kuu ya Ujerumani Bundesliga ilianza tena mechi zake za awamu ya pili ya msimu baada ya mapumziko.
Sancho ametameta, Leverkusen waendeleza walipoachia
Goli la sekunde za mwisho za muda wa ziada zaiweka hai ndoto ya Bayer Leverkusen ya kunyakua ubingwa wa Ujerumani, Jadon Sancho asema anajihisi yuko nyumbani katika klabu ya Borussia Dortmund licha ya kuwa hapo kwa mkopo tu na miamba wa kandanda Afrika washangazwa na timu ambazo hazikupewa nafasi katika mashindano ya kuwania ubingwa wa kandanda Afrika, AFCON. Msikilize Jacob Safari.
Je, vibonde wana nafasi AFCON?
Mashindano ya kuwania ufalme wa kandanda barani Afrika AFCON yanaendelea huko Ivory Coast na Jumatatu Cameroon watakuwa wanakwaana na Gambia kisha Algeria wacheze na Angola. Ili kuangazia jinsi mambo yalivyokwenda kufikia sasa katika michuano hii Jacob Safariu anaungana na mchambuzi wa kandanda la Afrika kutoka Dar es Salaam, Master Tindwa, sikiliza.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 2 wa 8
Ukurasa unaofuatia