1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

AFCON: Hatua ya robo fainali nani mkali?

Saumu Njama Athuman29 Januari 2024

Kocha wa muda wa Ivory Coast Emerse Fae amekiri kwamba timu yake ina "jukumu la kufanya kila iwezalo" katika mechi ya kufuzu hatua ya robo fainali katika Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya mabingwa watetezi Senegal baada ya kuponea chupuchupu katika hatua ya makundi. Amri Massare akiwa nchini Ivory Coast ana tathmini zaidi.

https://p.dw.com/p/4bniV