1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sancho ametameta, Leverkusen waendeleza walipoachia

15 Januari 2024

Goli la sekunde za mwisho za muda wa ziada zaiweka hai ndoto ya Bayer Leverkusen ya kunyakua ubingwa wa Ujerumani, Jadon Sancho asema anajihisi yuko nyumbani katika klabu ya Borussia Dortmund licha ya kuwa hapo kwa mkopo tu na miamba wa kandanda Afrika washangazwa na timu ambazo hazikupewa nafasi katika mashindano ya kuwania ubingwa wa kandanda Afrika, AFCON. Msikilize Jacob Safari.

https://p.dw.com/p/4bGOu