1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana Tugutuke: Ufanisi wa soka la pwani ya Kenya

19 Januari 2024

Kwenye Makala ya Vijana Tugutuke, mwenzetu Fathiya Omar alikutana na vijana akazungumza nao juu ya ufanisi wa soka la pwani ya Kenya na namna ya kuliimarusha zaidi. Walisema nini vijana hawa? Karibu sana kwenye makala haya usikilize.

https://p.dw.com/p/4bTYo