You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Mahamadou Issoufou
Mahamadou Issoufou anatokea kabila la Hausa na alizaliwa mwaka 1951.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wanajeshi wa mwisho wa Marekani waondoka Niger
Wanajeshi wapatao 800 waliondoka kambi ya mjini Niamey mapema mwezi Julai, na karibu 200 wakisalia kambi ya Agadez.
Wanajihadi wa Niger watoa video ya 'mateka wawili wa Urusi'
Mnamo Julai 25, Urusi iliwaonya raia wake kutosafiri kwenda mataifa ya Mali na Niger kutokana na sababu za kiusalama.
Maelfu ya raia wa Niger washerehekea mwaka 1 wa mapinduzi
Uwanja kulikodhimishwa hafla hiyo ulikuwa chini ya ulinzi mkali, yakiwemo magari ya kivita yaliyozunguka eneo hilo.
Tiani asema Niger inaelekea kupata "uhuru kamili"
Abdourahamane Tiani aliingia madarakani mnamo Julai 26, mwaka uliopita baada ya kumpindua rais Mohamed Bazoum.
Baerbock afanya ziara Ivory Coast baada ya Senegal
Baerbock ameitoa kauli hiyo wakati akiendelea na ziara yake katika mataifa ya Afrika Magharibi.
Ujerumani haiwezi tena kushirikiana na Niger kijeshi
Ujerumani mnamo Julai 6 ilitangaza kumaliza operesheni kwenye kituo chake cha anga nchini Niger
Vikosi vya Marekani vyaondoka nchini Niger
Tarehe ya kuondoka kwao iliwekwa na watawala wa kijeshi wa nchi hiyo.
Faye aombwa kuzungumza na Mali, Niger na Burkina Faso
ECOWAS inajaribu kuliunganisha tena eneo hilo ambalo utulivu wake umekabiliwa na tishio.
Vikosi vya Marekani vyaondoka katika kambi yao Niamey, Niger
Tarehe ya mwisho ya kuondoka kwa vikosi vya Marekani nchini Niger, imewekwa na watawala wa kijeshi wa nchi hiyo.
ECOWAS yatafuta njia za kutatua changamoto za kikanda
Mkutano wa ECOWAS pamoja na mambo mengine utajadili kuhusu namna ya kupambana na ugaidi, masuala ya ulinzi na biashara.
Wakuu wa ECOWAS kukutana wikendi hii kutathmini mahusiano
Mkutano wa kilele wa hapo kesho utafanyika mjini Abuja nchini Nigeria utajadii mahusiano na muungano wa nchi za Sahel.
Vikosi vya Marekani kuanza kuondoka Niger wikiendi hii
Marekani inapaswa kuviondoa vikosi vyake nchini Niger ifikapo Julai 26 mwaka huu
Watawala wa Mali, Burkina Faso na Niger kukutana kesho
Burkina Faso, Mali na Niger wanatarajiwa kuidhinisha rasimu ya mpango wa muungano hivi karibuni.
Wanajeshi 47 wauawa katika shambulio la kigaidi Niger
Makundi ya kigaidi nchini Niger yamefanya mashambulizi mabaya dhidi ya wanajeshi.
Jeshi la Niger ladai kumuua mwanachama muhimu wa kundi la IS
Niger imekuwa kwa miaka mingi ikikabiliwa na mashambulizi ya makundi ya kigaidi.
Rais wa Mauritania ataka nguvu ya pamoja kuushinda ugaidi
Rais wa Mauritania anatoa wito kwa mataifa ya Afrika Magharibi kushirikiana dhidi ya itikadi kali
Wanajeshi 6 wa Nigeria waliokuwa katika doria Benin wauwawa
Jeshi la Niger limesema wanajeshi sita waliokuwa wanalinda bomba la mafuta kwa nchi jirani ya Benin wameuwawa.
Mahakama ya Niger yaondoka kinga ya kushtakiwa kwa Bazoum
Mahakama ya juu ya Niger imeondoa kinga ya rais aliyepinduliwa Mohamed Bazoum,
Bazoum afutiwa kinga ya rais na utawala Niger
Mahakama ya Niger yaondoa kinga ya rais aliyepinduliwa Mohamed Bazoum, na kutoa fursa ya uwezekano wa kufunguliwa kesi.
Mvutano kati ya Benin na Niger wazidi kutokota
Uhusiano kati ya majirani hao wa Afrika Magharibi umeingia doa tangu Benin ilipozuia usafirishaji wa bidhaa ghafi.
IMF kutoa dola milioni 70 za ufadhili kwa Niger
Makubaliano baina ya shirika la IMF na nchi ya Niger yanahusu pia miradi ya kushughulikia mabadiliko ya tabia nchi.
Mataifa ya Sahel yatekeleza luteka ya kwanza ya kijeshi
Wizara ya ulinzi ya Niger imesema mataifa matano ya kanda ya Sahel yamefanya luteka ya kijeshi magharibi mwa Niger
Mataifa matano ya Sahel yafanya luteka
Nchi hizo zilianzisha muungano wao wa ulinzi waliouita Muungano wa Mataifa ya Sahel na mwezi Februari.
Mataifa ya Sahel yafanya luteka ya kijeshi Niger
Eneo la Sahel limegubikwa kwa miaka mingi na waasi wenye mafungamano na makundi ya Al-Qaeda na Dola la Kiislamu.
Marekani yaanza kuondoa wanajeshi wake nchini Niger
Marekani imeanza kuondoa wanajeshi wake kutoka Niger baada ya kuombwa kufanya hivyo na watawala wa kijeshi wa nchi hiyo.
Burkina Faso Mali na Niger zakamilisha mpango wa ushirikiano
Eneo la Sahel limekuwa likikabiliwa na mashambulizi ya wapiganaji walio na itikadi kali kwa miaka kadhaa sasa
Ghana: Senegal isaidie kutatua mizozo ndani ya ECOWAS
ECOWAS ina mizozo na mataifa ya Niger, Burkina Faso na Mali.
Ujumbe wa Marekani wajadili kuondoka kwa wanajeshi Niger
Takriban wanajeshi 650 wa Marekani, na wafanyakazi kadhaa wa kandarasi, wako katika taifa hilo.
IRC: Mamilioni wakabiliwa na uhaba wa chakula Sahel
Idadi ya watu wanaokabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika ukanda wa Sahel imeongezeka.
IRC: Mamilioni hawana chakula mataifa matatu kanda ya Sahel
Shirika la kimataifa la International Rescue Committee limesema mamilioni hawana chakula mataifa matatu kanda ya Sahel.
Washauri wapya wa kijeshi wa Urusi wawasili Niger
Washauri wapya wa kijeshi wa Urusi wamewasili nchini Niger pamoja na zana za kijeshi.
Wanajeshi wa Urusi waingia kwenye kambi ya Marekani ya Niger
Hatua ya Niger ya kuwatimua wanajeshi wa Marekani ilikuja baada ya mkutano mjini Niamey mwezi Machi mwaka huu.
Niger yajadiliana na Marekani juu ya kuondoa wanajeshi wake
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Kurt Campbell na utawala wa Niger tayari walikubaliana kuwaondoa wanajeshi
Watu wenye silaha wawaua wanajeshi sita wa Nigeria
Hiki ni kisa cha karibuni zaidi ambapo wanajeshi wanauliwa na magenge ya uhalifu.
Mamia wapinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini Niger
Hayo yanajiri wakati ujumbe kutoka Washington ukitarajiwa kuwasili nchini humo siku chache zijazo.
Raia wa Niger washinikiza kuondoka kwa vikosi vya Marekani
Mwezi uliopita, Jeshi la Niger lilitangaza kuvunja makubaliano ya ulinzi na Marekani.
Ujumbe wa Marekani kuzungumza na utawala wa kijeshi Niger
Ujumbe wa Marekani wa maafisa wa ngazi za juu unatarajiwa kuitembelea Niger kwa mazungumzo na utawala wa kijeshi.
Niger kuipatia Mali mafuta ili kuboresha usambazaji wa umeme
Lita milioni 150 za dizeli kutolewa kwa Mali, nchi ambayo inakabiliwa na hitilafu za mara kwa mara za umeme.
Vifaa vya kisasa vya kijeshi vya Urusi vyawasili Niger
Marekani ina takriban wanajeshi 1,000 nchini Niger ingawa kwa sasa harakati zao zimekuwa ndogo
Ufaransa kujenga "ushirika sawa" na Afrika
Uhusiano kati ya Ufaransa na mataifa kadhaa ya Afrika yaliyowahi kuwa makoloni yake umedorora siku za karibuni.
Serikali ya kijeshi ya Niger yavunja mabaraza ya miji
Jenerali Tiani amevunja mabaraza yote ya miji nchini Niger na amemuweka afisa wa jeshi kusimamia mji mkuu, Niamey.
Niger yaitaka Algeria kuelezea mateso kwa wahamiaji
Utawala wa kijeshi wa Niger umemtaka balozi wa Algeria atoe maelezo kwa vitendo vya kikatili kwa wahamiaji wa Kiafrika.
Nini kitarajiwe wakati Urusi ikisaka washirika wapya Afrika?
Rais wa Urusi Vladimir Putin amefanya mazungumzo na viongozi wa kijeshi wa Mali na Niger, sambamba na rais wa Jamhuri ya Kongo na kukubaliana kuimarisha ushirikiano. Je kipi kinachomsukuma Putin kutafuta ushirika mpya na mataifa hayo ya kiafrika ambayo kwa kiasi kikubwa yamekuwa chini ya ushawishi wa Ufaransa? Ahmed Rajab mchambuzi wa siasa za kimataifa kutoka London Uingereza, alifafanua.
Kiongozi wa Niger azungumza na Putin
Jenerali Abdourahmane Tiani ameiongoza Niger tangu mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Julai.
Watoto milioni 1.8 wamekimbia makaazi yao ukanda wa Sahel
Save the Children imejumuisha idadi ya watoto waliokimbia makaazi yao katika nchi tatu za eneo la Sahel.
Marekani: Ushirikiano na Niger ni wa manufaa kwa pande zote
Marekani imeuelezea uhusiano wake wa kijeshi na Niger ni wa manufaa kwa pande zote.
Marekani yatathmini mustakabali wa operesheni zake Sahel.
Hatua hiyo inafuatia tangazo la Niger kuwa inasitisha ushirikiano wake wa kijeshi wa miaka mingi na Washington.
Harakati za kijeshi za Marekani hatarini eneo la Sahel
Uamuzi wa Niger unafuatia ziara ya maafisa wa vyeo vya juu wa Marekani mjini Niamey.
Nigeria yaagiza kufunguliwa kwa mpaka wake na Niger
Mwezi uliopita ECOWAS iliamua kuuondoa vikwazo hivyo, ila mpaka huo ukawa bado umefungwa.
Mataifa masikini bado yanayumba baada ya UVIKO 19
Baadhi ya mataifa hayo yenye viwango vya chini zaidi kuanzia mwaka 2022 ni Burundi, Mali, Sudan Kusini and Somalia.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 10
Ukurasa unaofuatia