You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
UNICEF
UNICEF ni shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto na wanawake katika mataifa yanayoendelea.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Gambia yashikilia uamuzi wa kupiga marufuku ukeketaji
Mashirika yamesema hatua hiyo inathibitisha kwa mara nyingine ahadi za Gambia katika masuala ya haki za binadamu.
UNICEF: Ghasia za Haiti zasababisha watoto kuhama makazi
Haiti, taifa la kisiwa limekumbwa na machafuko yanayosababishwa na magenge ya uhalifu yanayozozania mamlaka.
Mahakama Israel: Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini
Mahakama ya Israel imetoa uamuzi jeshi lianze kuwaandikisha wanaume wa madhehebu ya Kiorthodox kulitumikia jeshi.
Unicef : Watoto milioni 400 wanakabiliwa na adhabu za vipigo
Shirika la UNICEF lasema watoto wapatao milioni 400 wakabiliwa na adhabu ya kupigwa pamoja na matatizo ya kisaikolojia.
UNICEF: Watoto mil 400 duniani wanapitia ukatili majumbani
UNICEF imesema karibu watoto milioni 400 wanakabiliwa na ukatili majumbani, kati yao asilimia 60 wapo chini ya miaka 5.
UNICEF: Karibu watoto milioni 400 wananyanyasika majumbani
UNICEF: Karibu watoto milioni 400 wananyanyasika kwa kisingizio cha kuwajenga kinidhamu majumbani
Robo ya watoto chini ya miaka 5 wana uhaba mkubwa wa chakula
Ripoti ya UNICEF imebainisha kuwa robo ya watoto chini ya miaka mitano wanakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula
UNICEF: Mtoto 1 kati ya 4 anakabiliwa na ukosefu wa chakula
Watoto katika kaya zenye kipato cha chini katika mataifa tajiri pia wanakabiliwa na upungufu wa lishe.
UNICEF yalaani ongezeko la ukatili dhidi ya watoto, Sahel
Mataifa hayo matatu yanakumbwa na vurugu za makundi ya itikadi kali na mengine yenye silaha.
Israel kuendeleza vita Gaza hadi mwishoni mwa mwaka 2024
Hadi sasa zaidi ya watu 36,000 wameuawa, hii ikiwa ni kulingana na mamlaka zinazodhibitiwa na Hamas.
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu hali mbaya inayoendelea Haiti
Catherine Russell amesema theluthi mbili ya watoto wa Haiti wanahitaji misaada.
UN: Vita vya Gaza vimewaathiri mno wanawake na watoto
Wanawake wengine wanaokadiriwa 8,000 wamekuwa wajane kutokana na vita hivyo kulingana na ripoti yxa Umoja wa Mataifa.
Watu milioni 55 wakabiliwa na njaa Afrika Magharibi na Kati
Changamoto za kiuchumi ikiwemo mfumuko mkubwa wa bei na kudorora kwa uzalishaji wa ndani, vimechangia hali kuwa mbaya.
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
UNICEF: Watoto wako katika hatari zaidi kuliko watu wazima kwani hawana uwezo wa kudhibiti joto la miili yao.
Utapiamlo watishia kizazi kijacho cha Afghanistan
Kupungua kwa misaada ya kimataifa na uhaba wa madaktari nchini humo kumedhoofisha mfumo mzima wa afya.
Baraza la mpito Haiti laahidi utulivu na demokrasia
Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa zaidi ya Wahaiti 360,000 wamegeuka kuwa wakimbizi wa ndani na maelfu wameuawa.
Umoja wa Mataaifa waonya juu ya hali mbaya nchini Haiti
Mkurugenzi mtendaji wa shirika la UNICEF ametoa tathmini ya kutisha kuhusu hali ya machafuko nchini Haiti.
Haiti: Polisi waendelea kukabiliana na magenge ya wahalifu
Shirika la kikanda CARICOM, Umoja wa Mataifa na Marekani wanaunga mkono kuanzishwa kwa baraza la mpito.
UN: Watu milioni 5 wakabiliwa na baa la njaa Sudan
Umoja wa Mataifa wasema watu milioni 5 wakabiliwa na baa la njaa Sudan.
UN: Vifo vya watoto vimepungua, athari bado ipo
Idadi ya watoto walioaga dunia kabla ya umri wa miaka mitano ilipungua, 2022.
UNICEF: Ukeketaji wanawake waathiri wanawake milioni 230
Ufaransa yaidhinisha uaviaji mimba.
UNICEF: Wanawake milioni 230 ni manusura wa ukeketaji
Lakini ripoti hiyo pia iliangazia maendeleo yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya ukeketaji kwenye maeneo mengine.
Umoja wa Mataifa waahidi ufadhili kukabiliana na saratani
Ufadhili huo utatumika kupanua upatikanaji wa chanjo, uchunguzi wa ugonjwa huo wa Saratani na matibabu duniani kote.
UNICEF: Watoto 68,000 wanahitaji msaada wa kiutu Nepal
Watoto 68,000 Nepal wahitaji msaada
Watoto 700,000 hatarini kupata utapiamlo hatarini - UNICEF
UNICEF imesema watoto 700,000 nchini Sudan wapo hatarini kukumbwa na utapiamlo mbaya zaidi mwaka huu,
Ufafanuzi: Hali ya ukeketaji barani Afrika
Umoja wa Mataifa una lengo la kukomesha kabisa mila ya ukeketaji mwishoni mwa muongo huu. Lakini je, Afrika inasonga mbele katika kumaliza aina hii ya ukatili, ambao unaathiri wanawake takriban milioni 200 duniani kote?
UNCEF yasema watoto 17,000 Gaza hawana ndugu wa karibu
Shirika la UNICEF lasema watoto 17,000 Gaza hawako na wazazi au ndugu zao wanaodhaniwa kuuawa, kujeruhiwa au kuhama.
Wajawazito Ukraine wahofia kujifungua kabla ya wakati
Wanawake nchini Ukraine wanahofia kujifungua watoto kabla ya wakati kutokana na matatizo ya muda mrefu.
UN: Watoto huzaliwa katika mazingira hatari huko Gaza
UNICEF: "Wanawake wajawazito huvuja damu hadi kufa wakati wakifanyiwa upasuaji wa dharura."
Mashirika ya UN yasema Gaza yahitaji msaada zaidi wa dharura
Wakuu wa mashirika ya UN wameonya kuwa Gaza inahitaji msaada la sivyo wakaazi watakumbwa na baa la njaa na magonjwa.
Zaidi ya watu 30 wauawa katika mashambulizi ya Sudan
Kundi la mawakili wa Sudan wanaounga mkono demokrasia limesema kuwa mapigano baina ya makamanda wawili hasimu.
UNICEF "Gaza eneo hatari zaidi kwa watoto"
Israel imeendeleza mashambulizi katika Ukanda wa gaza tangu shambulizi la kwanza la Hamas nchini humo, Oktoba 7, 2023.
UNICEF yaomba dola bilioni 9.3 za kusaidia watoto 2024
UNICEF limetoa ombi la ufadhili wa dola bilioni 9.3 ili wafikie watoto waliokumbwa na majanga ya kibinadamu ifikapo 2024
Jeshi la Israel laanzisha operesheni kubwa ya ardhini Gaza
Umoja wa Mataifa umeonya kwamba haiwezekani kuunda kile kinachoitwa "maeneo salama" kwa raia katika Ukanda wa Gaza
Jeshi la Israel latanua operesheni zake hadi kusini mwa Gaza
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto (UNICEF) limesema linashuhudia "maafa makubwa ya watoto."
UNICEF yasema Gaza ni hatari kwa watoto
UNICEF yasema Gaza ni hatari kwa watoto
Israel yaendesha operesheni ndani ya hospitali Gaza
Madai ya jeshi la Israel kuwasaka Hamas yamekanushwa vikali na daktari wa hospitali ya Al-Shifaa Ahmed El Mokhalalati.
Watoto wa Asia Kusini wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji
Idadi hiyo ni zaidi ya nusu ya idadi jumla ya watoto wanaoishi kwenye ukanda huo
Israel yasema inaendesha operesheni za angani, ardhini Gaza
Jeshi la Israel linasema askari wake wako wanaendelea kusonga mbele kwenye operesheni yake ya ardhini dhidi ya Hamas.
UNRWA: Bidhaa ya mafuta yahitajika haraka Gaza
Israel inakataa kuruhusu malori ya mafuta kuingia Gaza , ikisema Hamas inaweza kuyatumia katika operesheni za kijeshi.
UNICEF: Mamilioni ya watoto wapoteza makazi
Watoto hao walipoteza makazi kati ya mwaka 2016 hadi 2021
Hali mbaya ya hewa yasababisha watoto kupoteza makazi
Wataalamu watahadharisha kuwa katika miaka 30 ijayo, mafuriko yanaweza kusababisha watoto milioni 96 kuhama makaazi yao.
Taarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 06.10.2023
Shambulio la Urusi laua watu 51 Kharkiv. Watu zaidi ya 110 wauawa katika shambulio Syria. Mahakama nchini Burundi yaamuru Waziri Mkuu wa zamani Bunyoni kutoachiwa kwa dhamana.
Mabadiliko ya tabianchi yawahamisha Watoto milioni 43.1
Vimbunga vinakadiriwa kuwa vitawahamisha watoto milioni 10.3.
UN: Watoto 100,000 wameathiriwa na tetemeko la ardhi Morocco
Idadi kubwa ya familia zimekosa makazi na hulazimika kulala nje wakati huu wa baridi kali.
UNICEF: Waasi wawavisha watoto mabomu nchini DRC
Shirika la UNICEF, limesema wanamgambo wa ADF wamekuwa wakiongeza mashambulizi ya mabomu katika eneo hilo.
Watoto milioni 4 wahitaji msaada wa kitu Pakistan - UNICEF
UNICEF inakadiria watoto milioni nne bado wanahitaji msaada wa kiutu baada ya mafuriko makubwa kuikumba Pakistan.
UNICEF yatoa hadhari ya kusambaa Kipindupindu nchini Kongo
Shirika la UNICEF, limetoa tahadhari juu ya kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu Mashariki mwa Kongo.
Wiki ya unyonyeshaji: Elimu yazidi kutolewa kwa jamii?
Wiki ya unyoneshaji maziwa ya mama imeanza, tathmini ya wataalamu wa afya inaonesha uelewa juu ya dhana ya unyonyeshaji inazidi kutamalaki kwenye jamii, huku akina mama na wenza wao wakizingatia unyonyeshaji wenye tija.
Watoto 289 walikufa wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterania
UNICEF imeeleza kuwa idadi ya vifo hivyo ni mara mbili zaidi ya iliyorekodiwa katika miezi sita ya kwanza ya mwaka 2022.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 4
Ukurasa unaofuatia