1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SanaaAfrika

Sanaa ya grafiti inavyobadili jiji la Dar es salaam

21 Agosti 2024

Ni kama vile msanii Mawila Khamsini amefungua lango la aina mpya ya sanaa yenye kutuma ujumbe moja kwa moja kwa hadhira kupitia kuta za majengo ya mitaa ya jiji la Dar es salaam nchini Tanzania, huku akibadili mandhari ya mitaa hasa ile ambayo ni duni. Namna sanaa hii inavyofikia jamii tazama video hii.

https://p.dw.com/p/4jiuu
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio