You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Yakub Talib
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Yakub Talib
Taarifa na Yakub Talib
Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo
Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo
Wafanyabiashara wa soko la kimataifa la Kariakoo nchini Tanzania, wamegoma wakiishinikiza serikali kutatua kero zao. Baadhi ya kero hizo ni utitiri wa kodi, biashara ndogo za wazawa kufanywa na wageni. Pia wanalalamikia usumbufu wa maafisa wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).
Wasichana na wanawake wanavyotumia fursa ya teknolojia
Wasichana na wanawake wanavyotumia fursa ya teknolojia
Kuwekeza katika elimu ya teknolojia ya akili ya kubuni (AI) kwa wasichana sio tu kunafungua uwezo wao bali pia huchochea uvumbuzi na utofauti katika tasnia ya teknolojia kwa baadae. Taasisi ya LP digital kutoka Tanzania inafanya jukumu hilo la kutoa mwanga wa sayansi bunifu kwa wasichana.
Safari ya majaribio ya treni ya SGR kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma
Safari ya majaribio ya treni ya SGR kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma
Tanzania yafanya majaribio ya kwanza ya treni ya mwendo kasi inayotumia umeme kati ya jiji la Dar es Salaam na Mji Mkuu Dodoma. Mamlaka ya usafiri wa reli TRC inasema itaanza kutoa huduma hiyo kwa ukamilifu kufikia mwezi Julai. #Kurunzi
Umuhimu wa kujua kundi lako la damu
Umuhimu wa kujua kundi lako la damu
Wataalamu wanasema kuna umuhimu mkubwa wa kila mmoja wetu kufahamu kundi lake la damu kwasababu za kimatibabu. Je wewe unafahamu kundi lako la damu?
Msichana mdogo anayefanya harakati za kutunza mazingira
Msichana mdogo anayefanya harakati za kutunza mazingira
Sheila Juma ni msichana mdogo anaeendesha harakati za mwanmake kulinda mazingira kupitia taulo za kike.
Tanzania yafanya majaribio ya treni ya SGR
Tanzania yafanya majaribio ya treni ya SGR
Tanzania imefanya majaribio ya kwanza ya treni ya mwendo kasi inayotumia umeme kati ya jiji la Dar es Salaam na mkoa jirani wa Morogoro. Mamlaka ya usafiri wa reli TRC inasema itaanza kutoa huduma hiyo kwa ukamilifu kufikia mwezi Julai.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo