1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
US-Midterms 2022 I Symbolbild Demokratie
Picha: Mary F. Calvert/REUTERSPicha: Mary F. Calvert/REUTERS

Uchaguzi wa Marekani 2024

Uchaguzi Mkuu wa Marekani 2024 unatarajiwa kufanyika Jumanne, Novemba 5, 2024. Katika mwaka huu wa uchaguzi wa rais, rais na makamu wa rais watachaguliwa. Makamu wa sasa rais Kamala Harris atachuana na Donald Trump.