You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Adhabu ya kifo
Adhabu ya kifo inamaanisha kitendo cha mataifa kumuua mtu kwa kutenda baadhi ya uhalifu.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
MOGADISHU: Waziri mkuu wa mpito anusurika kifo
Adhabu ya Kifo yaongezeka Duniani
Wanaharakati nchini Iran wamepania kuufahamisha umma kuwa adhabu ya kifo haisaidii kuzuia uhalifu na yapaswa kuondoshwa,kwa sababu ni katili.
Morocco kupiga marufuku hukumu ya kifo
Morocco inaendelea kukabiliwa na hali ya wasiwasi kufuatia mauaji mengi yaliyafanywa mbali na hukumu za vifo zilizotolewa na mahakama katika miaka ya nyuma. Lakini watetezi wa haki za binadamu wanalitazama pendekezo la kupiga marufuku hukumu ya kifo kama hatua muhimu itakayowahimiza Wamorocco wengi kushuhudia wanayoyajua kuhusiana na mauaji hayo na kusaidia kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria watuhumiwa.
Kifo cha Boris Yelzin cha gonga vichwa vya habari
Kifo cha rais wa zamani wa Urusi Boris Jelzin na uchaguzi wa rais wa Ufaransa Mei 6 kati ya Sarkozy na Royal, ndio mada kuu zilizochambuliwa na wahariri wa magazeti ya leo ya Ujerumani.
Wanajeshi wawili wahukumiwa kifo Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo
Wanajeshi wawli nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuhusika na mauaji ya mwandishi wa habari wa gazeti moja mashuhuri nchini humo mwezi Novembea mwaka 2005.
Benghazi: Wauguzi wa Ki-Bulgaria nchini Libya wakata rufaa dhidi ya hukumu ya kifo
ISTANBUL : Saba wahukumuiwa kifo kwa kuripua mabomu
BEIRUT.Maadhimisho ya kifo cha Rafik Hariri kuendelea leo kama ilivyopangwa
Adhabu ya kifo inapingwa
Mkutanowa kimataifa umeanza leo katika mji huu mkuu wa Ufaransa, ambapo wajumbe zaidi ya elfu moja wanazungumzia mikakati ya kuiondoa adhabu ya kifo. Bado nchi 70 duniani zinatumia adhabu hiyo.
PARIS: Kongamano la kimatifa kupinga adhabu ya kifo
LAGOS: Kifo cha kwanza kimethibitishwa Nigeria kuhusika na H5N1
NEW YORK : Ban aisihi Iraq kusitisha hukumu za kifo
Rome. Itali wapinga hukumu ya kifo.
ROMA: Italia yataka hukumu ya kifo ipigwe marufuku duniani
AWJA: Waombolezaji wa kifo cha Saddam waapa kulipiza kisasi
JENIN: Wapalestina waandamana kufuatia kifo cha Saddam
BAGHDAD: Adhabu ya kifo kwa Saddam Hussein, Rais wa zamani wa Iraq itatekelezwa kwa vyovyote vile.
NEW YORK : Hukumu ya kifo yampa wasi wasi Annan
TRIPOLI: Wauguzi watano na daktari mmoja wahukumiwa kifo
Adhabu ya kifo yazuwiliwa angalao kwa sasa Florida na Kalifornia
Nairobi. Waliomshambulia Ngugi wahukumiwa kifo.
NAIROBI : Wahukumiwa kifo kwa kumshambulia wa Thiongo
LONDON : Kifo cha Diana sio njama ya mauaji
SANTIAGO : Ghasia zaandama kifo cha Pinochet
SANTIAGO : Maelfu washeherekea kifo cha Pinochet
LONDON : Kifo cha Diana ni ajali sio mauaji
MOSCOW : Kifo cha Litvinenko ni mauaji
MOSCOW : Kifo cha Litvinenko ni mauaji
Moscow. Shauri la upelelezi juu ya kifo cha Litvinenko lazua mzozo wa kidiplomasia.
LONDON: Tume inayochunguza kifo cha Litvinenko yapelekwa Urussi
Kuripoti ukweli kunaweza kukusababishia kifo nchini Pakistan.
Mwandishi wa habari wa mwisho kurepoti kutoka jimbo la Kusini la Waziristan mojawapo ya majimbo ya kikabila yenye vurugu nchini Pakistan linalopakana na Afghanistan ameondoka katika jimbo hilo.Dilawar Wazir Khan mwenye umri wa miaka 38 amesema ametekwa nyara na kuteswa kwa sababu tu ya kurepoti ukweli. Wenzake wengi wameacha kazi hiyo ya uandishi wa habari na wameondoka katika eneo hilo.
LONDON : Wachunguzi wa kifo cha Litvinenko kwenda Moscow
LONDON : Sakata la kifo cha Litvinenko lapamba moto
LONDON : Uingereza yakusanya ushahidi wa kifo cha Litvinenko
LONDON : Uingereza yachunguza kifo cha Latvinenko
London:Uchunguzi wa kifo cha Litvinenko waanza.
Beirut:Uchunguzi wa kifo cha Pierre Gamayel waanza.
BEIRUT.Lebanon yaomboleza kifo cha waziri wake wa viwanda Pierre Gemayel
BERLIN: Shambulio kwenye shule lasababisha kifo cha mshambuliaji na majeruhi kadhaa
WASHINGTON: Marekani yaionya Ulaya kutotoa maoni juu ya hukumu ya kifo ya Saddam Hussein
NEW-YORK:Condolezza Rice azitaka nchi za ulaya kuwaachia wenyewe wa Iraq uamuzi wa hukumu ya kifo dhidi ya Saddam
Baghdad.Jamii zatofautiana kuhusu hukumu ya kifo dhidi Sadam Husein.
BAGHDAD:Bush asifu hukumu ya kifo dhidi ya Saddam
BAGHDAD : Saddam ahukumiwa kifo kwa kunyongwa
BEIJING : China kuchambuwa upya hukumu za kifo
Siku ya kimataifa dhidi ya adhabu ya kifo
Tokea miaka mitano iliopita siku ya leo imekuwa ikuadhimishwa kuwa ni siku ya kimataifa dhidi ya adhabu ya kifo. Habari nzuri ya siku hii ni kwamba nchi 128 zimeondoa adhabu hii. Lakini habari mbaya ni kuwa bado kuna nchi 68 ambapo adhabu ya kifo inatumika.
Washinton. Mwanajeshi afungwa kwa kuhusika na kifo cha raia.
WASHINGTON : Kifo cha bin Laden bado kuthibitishwa
WASHINGTON: Hakuna ushahidi wa kifo cha Bin Laden
PARIS: Ripoti ya kifo cha Osama Bin Laden haijathibitishwa
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 8 wa 10
Ukurasa unaofuatia