You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Adhabu ya kifo
Adhabu ya kifo inamaanisha kitendo cha mataifa kumuua mtu kwa kutenda baadhi ya uhalifu.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Uganda yashinikizwa kuchunguza kifo cha Saidi Lutaaya
Shirika la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Uganda itimize ahadi yake ya kuwashitaki maafisa wa usalama waliohusika katika visa vya ukiukaji wa haki za binadamu kwa kuteua afisa kuchunguza kifo cha Lutaaya
Dunia yaomboleza kifo cha Rais wa Poland
Rais Kaczynski amefikwa na mauti baada ya ndege yake kuanguka karibu na uwanja wa ndege wa Smolensk, Urusi.
Afrika Kusini baada ya kifo cha Terre Blanche
Inaelekea wapi ?
E.Terreblanche na kifo chake .
Afrika Kusini yaelekea wapi ?
Wahariri wa magazeti walaani adhabu ya kifo!
Katika maoni yao wahariri wa magazeti ya Ujerumani leo wanashutumu adhabu ya kifo iliyotolewa na China kwa raia wa Uingereza.
Ujerumani yaomboleza kifo cha kipa Robert Enke
Kamerun na Nigeria zakata tiketi zao za Kombe la dunia 2010.
Nini sababu za kifo cha kipa wa taifa Enke ?
Hukumu ya Muuwaji wa mama wa kimisri -kifungo cha maisha.
Miaka kumi ya kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
<p>Leo ni miaka kumi tangu kufariki dunia mwanzishaji wa taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere.
Rwanda: Mkutano kuhusu Adhabu ya Kifo
Umoja wa Afrika -AU- umeanzisha mjadala kuhusu adhabu ya kifo, kwa lengo la kuzishawishi nchi wanachama wake kufuta adhabu hiyo, ambayo umoja huo unasema inakiuka haki ya binadamu kuwa na uhai.
Al Shabab kulipiza kisasi kifo cha Nabhan
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab lililo na mafungamano na kundi la Al-Qaeda wamekiri kuwa kamanda wao mmoja aliuawa katika operesheni ya wanajeshi wa Marekani iliyofanyika mwanzoni mwa wiki hii.
Kifo cha Ted Kennedy
Huzuni za walimwengu kwa kifo cha mwanasiasa mashuhuri kabisa wa Marekani
Kifo cha Seneta Edward Kennedy chaombolezwa duniani.
Viongozi wa dunia wamkumbuka Ted Kennedy.
Kifo cha mwisho kabla ya kuondoshwa Ukuta wa Berlin
Tarehe 5 Februari 1989,ilikuwa siku ya mwisho ambapo mkazi wa Berlin ya Mashariki alipoteza maisha yake alipojaribu kukimbilia upande wa Magharibi.
Abiria 155 wanusuruka kifo kufuatia ajali ya ndege Marekani.
Katika tukio la kimiujiza ndege ya abiria ya shirika la ndege la marekani imetua katika mto Hudson mjini Newyork na abiria wote 155 wamenusurika.
Mapinduzi yafuatia kifo cha Lansana Conte
Muimla wa Guine Conacry aiaga dunia na kuiacha Guine ya Conacry katika hali ya ufukara
Miaka minne tokea kifo cha Yasser Arafat kiongozi wa Wapalestina.
Maelfu ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wamekusanyika katika kaburi la marehemu Yasser Arafat leo hii kwa kumbukumbu ya miaka minne tokea kifo cha kiongozi wao huyo shujaa.
Kukabiliwa kwa mashitaka ya Uhaini kwa Katibu Mkuu wa chama cha MDC nchini Zimbabwe, Tendai Biti, huwenda kukamfanya akabiliwe na adhabu ya kifo.
Katibu Mkuu wa chama Kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Movement for Democratic Change-MDC, Tendai Biti, anakabiliwa na mashitaka ya uhaini.
Kesi ya Guantanamo.
Watuhumiwa wa mashambulio ya kigaidi wasema wanataka kufa mashahidi.
China na Iran zapinga ripoti kuhusu hukumu ya kifo
China inaongoza katika orodha ya nchi zilizowauwa watu wengi zaidi mwaka jana kutokana na hukumu ya kifo.
Marekani yataka washukiwa wa mashambulio ya Septemba 11 wahukumiwe kifo
Maelezo juu ya kifo cha Bhutto yatatanisha
UM wapitisha azimio kusitisha hukumu ya kifo.
Azimio la Umoja wa Mataifa dhidi ya adhabu ya kifo
Hukumu ya kifo yafutwa katika jimbo la New Jersey- Marekani
Jimbo la Marekani New Jersey kuondosha adhabu ya kifo
New York. Baraza kuu la umoja wa mataifa kuidhinisha usitishaji wa adhabu ya kifo.
Hukumu ya kifo yatishia kuligawa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa lenye wanachama 192 linatarajiwa kuipigia kura hukumu ya kifo, pengine mwanzoni au katikati ya mwezi huu wa Novemba. Hukumu ya kifo inaelezwa kuwa swala tete la kisiasa linalosababisha mgawanyiko mkubwa ndani ya baraza kuu la Umoja wa Mataifa.
LISBON : Leo ni siku dhidi ya hukumu ya kifo
Siku ya Kimataifa Kupinga Adhabu ya Kifo
Maafisa wa Umoja wa Ulaya wanaokutana Lisbon nchini Ureno,wanahimiza kuimarisha juhudi za kidiplomasia ili kupiga marufuku adhabu ya kifo kila pembe ya dunia.Hii leo,kwa mara ya kwanza inaadhimishwa siku ya kupinga adhabu ya kifo duniani.
LONDON : Kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha Diana
LONDON:Familia ya kifalme yaadhimisha miaka 10 ya kifo cha Princess Diana
Washukiwa wa mauaji ya wwandishi wa Habari wahukumiwa adhabu ya kifo nchini Kongo
Washukiwa watatu akiwemo askari mmoja waliohusika na mauaji ya Mwandishi wa Habari Bapuwa Mwamba mjini Kinshasa mwaka jana, wamehukumiwa adhabu ya kifo, na serikali ya Kongo imetakiwa kulipa fidia ya dola laki tisa kwa familia ya marehemu.
BRUSSELS:Umoja wa Ulaya wapinga adhabu ya kifo Texas
THESSALONIKII:Polisi wapambana na waafrika wanaopinga kifo cha mwenzao nchini Ugiriki
Rwanda yapiga marufuku adhabu ya kifo
Uamuzi wa Rwanda kuondosha adhabu ya kifo umekaribishwa na Umoja wa Mataifa na shirika linalogombea haki za binadamu duniani-Amnesty International.
GENEVA: Rwanda yapiga marufuku adhabu ya kifo
New York. Umoja wa mataifa waukaribisha uamuzi wa Rwanda kuondoa hukumu ya kifo.
GENEVA:Rwanda yafuta adhabu kali na ya kifo
MUMBAI: Adhabu ya kifo kwa mashambulizi ya 1993
Hukumu ya kifo imebadilsihwa kuwa kifungo cha maisha kwa wauguzi wa Ki-Bulgaria nchini Libya
Jopo kuu la Mahakama ya Libya jana liliibadilisha hukumu ya kifo iliotolewa hapo kabla kwa wauguzi watano wa Ki-Bulgaria na daktari wa Kipalastina kuwa adhabu ya kifungo cha maisha gerezani.
WASHINGTON:Wauguzi wahukumiwa kifungo cha maisha sio kifo
TRIPOLI:Hukumu ya kifo kwa waliyowapa ukimwi watoto bado kitendawili
Adhabu ya kifo yathibitishwa
Eti kweli bahshishi itawaokoa wauguzi watano wa Bulgaria na daktari wa kipalastina?
Mahkama Kuu Libya yathibitisha hukumu ya kifo kwa wauguzi wa kigeni.
Mahkama Kuu ya Libya leo imeshikilia hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya wanamatibabu sita wa kigeni kwa kuwambukiza watoto wa Libya virusi vya HIV lakini imefahamika kwamba adhabu hiyo inaweza kubadilishwa.
TRIPOLI: Mahakama kuu yaidhinisha hukumu ya kifo kwa wauguzi na daktari
Adhabu ya kifo yawasubiri waganda 10 nchini China kwa madawa wa kulevya
Serikali ya China imedhamiria kuwanyonga raia 10 wa Uganda waliokamatwa na madawa ya kulevya.
Baghdad. Wahukumiwa kifo.
Kemikali Ali ahukumiwa kifo
Mahkama ya Baghdad imemhukumu kifo kwa kunyongwa Ali Hassan al –Majid ambaye maarufu kwa jina la Kemikali Ali kwa mauaji ya kimbari,uhalifu dhidi ya ubinaadamu na uhalifu wa vita.
BAGHDAD : Kemikali Ali ahakumiwa kifo
Adhabu ya kifo inakiuka haki za binadamu
Wafungwa nchini Malawi wamepata afueni baada ya majaji watatu wa mahakama kuu kupitisha kwa kauli moja sheria ya kuzuia adhabu ya kifo kwa kuzingatia kuwa amri hiyo inakiuka haki za kibinadamu.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 7 wa 10
Ukurasa unaofuatia