You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Adhabu ya kifo
Adhabu ya kifo inamaanisha kitendo cha mataifa kumuua mtu kwa kutenda baadhi ya uhalifu.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wanafunzi wanahofia usalama wao Pakistan
Hofu ya hali ya usalama imetandanda miongoni mwa wanafunzi wa shule katika eneo la kaskazini mwa Pakistan
Mahakama yathibitisha adhabu ya kifo kwa Mursi
Kiongozi huyo amekutwa na hatia ya kuhusika na mauaji na utekaji nyara mwaka 2011, wakati wa vuguvugu la umma lililomwin
Marekani, Umoja wa Ulaya zakosoa hukumu ya kunyongwa Mursi
Marekani na Umoja wa Ulaya zimeelezea wasiwasi kuhusiana na hukumu za kifo zilizotolewa dhidi ya Rais wa Misri aliepinduliwa Mohammed Mursi na watu wengine kadhaa
Morsi ahukumiwa Kifo
Rais aliyeondolewa madarakani nchini Misri Mohammed Morsi ambaye tayari anatumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uchochezi wa ghasia dhidi ya waandamanaji,amehukumiwa kifo
Heshima zimeendelea kutolewa kwa Grass
Grass alifariki mjini Lübeck kutokana na maambukizi ya mapafu.
Singapore yaomboleza kifo cha baba wa taifa
Singapore iko kwenye maombolezo ya kifo cha kiongozi wake wa muda mrefu, Lee Kuan Yew, anayetukuzwa sana kwenye taifa hilo aliloliinua kutoka mji usio matumaini hadi ngome imara ya kiuchumi.
Melfu waandamana kuomboleza kifo cha Nemtsov
Melfu waandamana kuomboleza kifo cha Nemtsov
AFCON:Algeria yanusurika,Senegal yaanza vizuri kundi la kifo
AFCON: Algeria yanusurika, Senegal yaanza vizuri kundi la kifo
Wolfsburg yaomboleza kifo cha Malanda
Kifo cha kiungo wa timu ya Ubelgiji ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 Junior Malanda kimeiwacha klabu yake Wolfsburg katika majonzi lakini bado itaendelea na kambi yake ya mazoezi nchini Afrika Kusini
Pakistan yaombwa kusitisha adhabu ya kifo
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon ameendelea kuihimiza Pakistan kusitisha adhabu ya kifo na kurejesha tena marufuku iliowekwa dhidi ya adhabu hiyo ilioondolewa na serikali kufuatia shambulizi la Peshawar.
Kurejeshwa adhabu ya kifo Pakistan kwawapa wasiwasi Amnesty
Waziri Mkuu wa Pakistan Nawaz Sharif ametangaza kurejeshwa adhabu ya kifo kwa kunyongwa, kwa watakaokutwa na hatia ya ugaidi ingawa Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International linapinga sheria hiyo.
Marekani yathibitisha kifo cha kiongozi wa al Shabaab
Wizara ya ulinzi ya Marekani jana Ijumaa(05.09.2014)imethibitisha kuwa Ahmed Abdi Godane, kiongozi wa kundi la al-Shabaab, ameuwawa katika shambulio la anga la Marekani nchini Somalia wiki hii.
Ni wakati wa kuomboleza kifo cha 'tiki-taka'?
Baada ya kushinda mataji matatu ya mashindano yaliyopita ya kimataifa, ni muhimu kuwaza kama mabingwa watetezi Uhispania huenda wakaambulia patupu katika dimba la Kombe la Dunia nchini Brazil
Adhabu ya kifo ya Misri yalaaniwa vikali
Umoja wa Mataifa na Marekani wamelaani vikali adhabu ya kifo dhidi ya watu 683 wanaodaiwa kuwa ni waislamu wenye msimamo mkali akiiwemo kiongozi wa chama cha udugu wa Kiislamu Mohamed Badie.
Adhabu ya kifo na kunyongwa yaongezeka duniani
Shirika la Amnesty International limetoa ripoti inayosema idadi ya watu waliopewa adhabu ya kifo na kunyongwa imeongezeka duniani. Ripoti hiyo inasema watu 778 walinyongwa mwaka jana katika nchi 22.
Hukumu ya kifo kwa watu 529 nchini Misri
Mahakama ya Misri imewahukumu kifo wafuasi 528 wa rais aliyeondolewa madarakani Mohammed Mursi. Wafuasi hao walikutwa na hatia ya kuanzisha ghasia na kuvamia majengo ya polisi katika mji wa Kusini mwa Minya.
Dunia yaomboleza kifo cha mchezaji nguli Eusebio
Mashabiki wa soka duniani wanaomboleza kifo cha mchezaji nguli alietawala soka la Ureno katika miaka 1960, Eusebio da Silva, "chui mweusi," alifariki dunia siku ya Jumapili akiwa na umri wa miaka 71
Viongozi wa kiafrika wamlilia Madiba
Viongozi mbali mbali barani Afrika nao wametoa rambi rambi zao na kumwelezea Nelson Mandela kama mfano mwema kwao, wakisema pengo lake haliwezi kuzibwa kirahisi.
Dunia yaomboleza kifo cha Mandela
Viongozi mbalimbali wa dunia wakiwemo rais Barack Obama wa Marekani, katibu Mkuu wa Umoja wa Mazaifa ban Ki-Moon na waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, wametoa hisia zao juu ya kifo cha mzee Nelson Mandela.
Ajali za barabarani tishio Afrika
Benki ya Dunia imesema kuongezeka kwa makaazi ya mijini katika nchi za Kiafrika kunasababisha matatizo mbali mbali yakiwemo ya afya. Imeelezwa pia kuwa ajali za barabarani zinazidi kuwa nyingi.
Maandamano yaitishwa Tunisia kupinga kifo cha kiongozi wa upinzani
Rais wa Tunisia Moncef Marzouki ametangaza leo 26.07.2013 kuwa siku ya maombolezo baada ya watu waliojihami kwa silaha kumpiga risasi na kumuua mkuu wa upinzani hatua inayoonekana kuzua mzozo wa kisiasa.
Kenya: Uchunguzi wa kifo cha Mutula Kilonzo wafanyika leo
Serikali ya Kenya hii leo 29.04.2013 imeanza uchunguzi rasmi kujua nini kilisababisha kifo cha seneta wa eneo la Makueni nchini humo Mutula Kilonzo.
Kifo cha Chavez cha uhuzunisha ulimwengu
Washirika wa Venezuela wanamlilia Hugo Chavez wanaemtaja kuwa " Mtu wa aina pekee" na ambae kifo chake ni hasara isiyokuwa na kifani.
Venezuela yakanusha habari za kifo cha Chavez
Wasaidizi wa karibu na ndugu wa rais Hugo Chavez wa Venzuela wamekanusha habari kuwa rais huyo anaweza kuwa amefariki au anakaribia kufa kutokana na ugonjwa wa saratani, na kusema kuwa bado anapigana kuokoa maisha yake.
Zanzibar yaomboleza kifo cha Sheikh Bachu
Mchana huu Zanzibar imemzika mmoja wa wanazuoni wake maarufu wa dini ya Kiislamu, Sheikh Nassor Abdullah Bachu, ambaye alifariki dunia jana (13.02.2013) baada ya kuugua zaidi ya mwaka mmoja.
Watu 21 wahukumiwa kifo Misri
Watu 22 wameuwawa (26.01.2013) katika mapambano ya kupinga kuhukumiwa kwa adhabu ya kifo kwa watu 21 kutokana na kuhusika kwao katika ghasia za soka zilizosababisha vifo vya watu 74 wakati wa mechi ya soka mwaka jana
Gambia yashinikizwa kuacha hukumu ya kifo
Leo ni siku ya kimataifa ya kupinga hukumu ya kifo, ambapo ingawa nchi nyingi duniani zinajiepusha kutekeleza hukumu hiyo, bado kuna mataifa 57 ambayo bado yanaendelea nayo, ikiwemo Gambia inayolaumiwa vikali duniani.
Mwaka mmoja tangu kifo cha Wangari Maathai
Leo (25.09.2012) ni mwaka mmoja tangu kifo cha mwanamazingira maarufu na mshindi wa tuzo ya Nobeli, Wangari Maathai.
Makamu wa rais Iraq apinga hukumu ya kifo dhidi yake
Makamu wa rais wa Iraq Tareq al-Hashemi amepinga hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi yake na mahakama nchini humo jana kwa makosa ya kuhusika na kupanga mauaji na kujigamba kwamba hukumu hiyo ni kama medali kifuani mwake.
Mkutano wa Arab League wataka kifo cha Arafat kichunguzwe
Mkutano huo kwa kauli moja umeutaka Umoja wa Mataifa kuchunguza kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Wapalestina Yasser Arafat kufuatia tetesi kwamba aliuwawa kwa kupewa sumu.
Ufaransa kuchunguza kifo cha Arafat
Waendesha mashitaka nchini Ufaransa wamefungua uchunguzi wa tuhuma za mauwaji ya aliyekuwa Rais wa Palestina Yasser Arafat mwaka 2004.
Nini kitatokea baada ya kifo cha Zenawi?
Baada ya Ethiopia kumpoteza kiongozi wake mwenye nguvu sana, suali linaloulizwa ni nini kitatokea baada ya kifo cha Waziri Mkuu Meles Zenawi, hasa inapozingatiwa mjengeko wa taifa hilo lenye makabila mengi.
Kifo cha rais Ghana chaweza kuleta mshikamano wa kitaifa
Ghana imekuwa katika maombolezo tangu jumanne. Kwa mujibu wa katibu mkuu wa Mchakato wa amani wa nchi za magharibi (WANEP), Emmanuel Bombandey, hali hiyo inaweza kupunguza mfarakano baina ya vyama vya siasa nchini humo.
Kenya yaomboleza kifo cha Prof. Saitoti
Kenya imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kutokana na vifo vya Waziri wa Usalama, Prof. George Saitoti, na Naibu wake, Orwa Ojode, hapo jana (11 Juni 2012), huku baraza la mawaziri likifanya kikao cha dharura.
Nani atasalimika katika kundi la kifo, Kundi B
Imebakia siku moja tu kabla ya kuanza kwa patashika ya kuwania taji la ubingwa wa mataifa ya Ulaya,kombe la UEFA, Euro 2012.Timu16 zilizogawanywa katika makundi manne zitawania taji hilo nchini Poland na Ukraine.
Bado serikali haijathibitisha kifo cha Rais Mutharika
Ripoti kutoka vyanzo vya kitabibu zinasema Rais Bingu wa Mutharika wa Malawi amefariki dunia baada ya kuugua maradhi ya moyo, bali hadi sasa serikali ya nchi hiyo haijathibitisha kifo hicho huku wasiwasi ukiongezeka.
Kifo cha Khalil Ibrahim chazua hali ya wasiwasi katika jimbo la Darfur
Kundi kuu la waasi katika jimbo la Darfur, The Justice and Equality Movement – JEM- limethibitisha kuwa kiongozi wake aliuwawa na wanajeshi wa Sudan na likaapa kulipiza kisasi
Maombolezo yaendelea nchini Korea kaskazini kufuatia kifo cha kiongozi wake Kim Jong Il
Mwili wa kiongozi wa muda mrefu wa Korea Kaskazini Kim Jong IL umelazwa katika ikulu ya taifa huku waombolezaji wakimiminika katika kumbi tofauti za umma
Libya ina mustakbali upi baada ya kifo cha Gaddafi?
Maswali yanayoulizwa baada ya kifo cha Muammar Gaddafi ni mustakabali wa Libya na kwa kiasi gani nchi hiyo iko huru kweli na ikiwa ule uadui uliopelekea uasi hatimaye umeshazikwa na Gaddafi jangwani!
Viongozi watoa maoni yao kuhusu kifo cha Gaddafi
Kufuatia kuuawa kwa aliyekuwa kiongozi wa Libya Moummar Gaddafi hapo jana kumekuwa na hisia tofauti kutoka kwa viongozi mbali mbali duniani.
Kifo cha Gaddafi ni mwanzo wa kipindi kipya Libya
Kifo cha dikteta wa Libya Muammar Gaddafi kinaashiria mwanzo wa kipindi kipya cha kihistoria nchini Libya. Kwa maoni ya mwandishi wetu Rainer Sollich, nchi hiyo inakabiliwa na changamoto kali kweli.
Mahojiano na Mwanaharakati Hassan Omar Hassan kuhusu kifo cha Profesa Wangari Maathai
Marehemu Profesa Wangari Maathai atakumbukwa kwa juhudi zake za kuyasukuma mbele masuala ya haki za binadamu na ulinzi wa mazingira.
Kifo cha Rabbani ni pigo kwa amani Afghanistan
Rais wa zamani wa Afghanistan, Burhanuddin Rabbani ameuawa katika shambulio la kujitoa mhanga lililofanywa nyumbani kwake hapo jana mjini Kabul.
Taarifa zaidi kuhusu kifo cha Osama zajitokeza
Kilichomtokezea Osama bin Laden mwisho wa masiha yake, sasa kinazidi kuibuka na utawala wa Rais Barack Obama unakiri kwamba kiongozi huyo wa mtandao wa kigaidi wa Al-Qaida hakuwa amejihami kwa silaha.
Uhusiano kati ya Pakistan na Marekani waathirika,kifo cha Osama
Vyombo vya habari nchini Pakistan vimesema kuwa , kuuwawa kwa muasisi wa kundi la kigaidi la al-Qaeda Osama bin Laden kutaleta fadhaa kubwa kwa maafisa wa Pakistan.
Kifo cha Osama kimeibua hisia mbalimbali duniani kote
Kifo cha kiongozi wa wa Al-Qaeda Osama bin Laden kimeendelea kuibua hisia mbalimbali kote ulimwenguni. Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesema kuuwawa kwa kiongozi huyo ni ushindi kwa wapenda amani.
Rais Obama athibitisha kifo cha kiongozi wa al Qaeda Osama bin Laden
Kiongozi wa kundi la al Qaeda Osama bin Laden ameuwawa. Amethibitisha hayo rais wa Marekani Barack obama. Obama amesema operesheni ilifanywa siku ya Jumapili. Maiti yake imezikwa baharini.
Makamo waziri mkuu wa utawala wa Sadam Hussein,Tareq Aziz ahukumiwa adhabu ya kifo
Mahakama kuu ya Iraq yawakuta na hatia vigogo watatu wa utawala wa zamani wa Irak kwa makosa miongoni mwa mengineyo ya uhalifu dhidi ya ubinaadam-mahakama hiyo yaamuru wanyongwe
Adhabu ya kifo yatekelezwa Marekani.
Kutekelezwa kwa adhabu ya kifo katika jimbo la Virginia, nchini Marekani, kumechochea hasira kali kutoka kwa watu wanaoipinga adhabu ya kifo.
Hariri aiona Syria haina makosa juu ya kifo cha Babaake
Waziri mkuu wa Lebanon, Saad al-Hariri,amekiri kwamba muungano anaouongoza na unaoungwa mkono na nchi za Magharibi, ulifanya haraka kuituhumu Syria kwa kuuliwa baba yake, waziri mkuu wa zamani, Rafik al-Hariri.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 6 wa 10
Ukurasa unaofuatia