You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Flora Nwapa: Mama wa fasihi ya kisasa ya Kiafrika
Mwandishi wa Kinaijeria Flora Nwapa ni mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kuchapisha kitabu kwa Kiingereza. Kazi yake ilisafisha njia kwa wanawake wengine Afrika.
Flora Nwapa: Mama wa fasihi ya kisasa ya Kiafrika
Mwandishi wa Kinaijeria Flora Nwapa ni mwanamke wa kwanza wa Kiafrika kuchapisha kitabu kwa Kiingereza. Kazi yake ilisafisha njia kwa wanawake wengine Afrika.
Mkopo wa Tanzania unapaswa kukuza elimu ya wasichana wote
Benki ya Dunia inapaswa kushirikiana na Tanzania kuhakikisha elimu sawa kwa wasichana wajawazito na wenye watoto.
Ubunifu wamtoa mama mstaafu
Kurunzi wanawake leo tunammulika Mama Kanakoko ambaye ni mstaafu aliyeamua kutumia njiti za viberiti zilizotumika kutengeneza mapambo ya mezani. Unadhani ni malighafi zipi nyingine zinaweza kutumika kubuni mapambo? #Kurunziwanawake
Ukatili wa kijinsia waongezeka nchini Kenya
Visa vya dhulma za kijinsia vimeongezeka mara tatu zaidi mnamo miezi ya hivi karibuni nchini Kenya.
Wanawake 2 wenye Corona wajifungua bila kuwaambukiza watoto
Awali madaktari kutoka Wuhan China walikuwa na wasiwasi wajawazito hao huenda wakawaambukiza watoto watakaojifungua
Wanawake zaidi watakiwa kulindwa katika janga la corona
Guterres ataka serikali duniani ziwalinde wanawake zaidi katika janga la corona
Wasichana India wajihami dhidi ya wabakaji
Wasichana kadhaa mjini Delhi, India wanashirika madarasa ya kujifunza jinsi ya kujihami katika taifa ambalo lina rekodi mbaya ya visa vya dhuluma dhidi ya wanawake. Madarasa hayo yamepata umaarufu kufuatia kisa cha ubakaji 2012.
Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya wasichana Libya
Wito watolewa kwa pande zinazohasimiana kusimamisha mapigano na kuelekeza juhudi katika kujilinda dhidi ya Corona
"Siku bila Wanawake" Mexico
Tarehe 8 Machi ulimwengu huadhimisha Siku ya Wanawake. Mwaka 2020 maadhimisho haya yamekwenda sambamba na miaka 25 ya maazimio ya Beijing pamoja na mkakati maalumu kuelekea haki na usawa wa kijinsia. Pamoja na harakati hizo, bado pengo ni kubwa kuanzia nafasi ya mwanamke nyumbani hadi ofisini. Lilian Mtono anakufahamisha jinsi wanawake wa Mexiko walivyoweka mgomo kuonyesha umuhimu wao.
Maoni: Siku ya wanawake duniani wanawake wanapaswa kujiamini
Wanawake wanajaribu kuonesha nguvu na uwezo wao nje ya utaratibu wa kisiasa wa bunge
Wanawake Sudan bado walilia haki baada ya Bashir kuanguka
Wanawake wa Sudan walichangia pakubwa kumuondoa Bashir madarakani lakini wanasema msuala yao hayazingatiwi vya kutosha.
Mimi ni kizazi cha Usawa #GenerationEquality
Kampeni inalenga kuleta usawa kati ya vizazi na inaadhimisha miaka 25 tangu tangazo la Beijing 1995.
Haki za wanawake kiuchumi na kisheria
Makala ya Wanawake na Maendeleo inaangazia haki za wanawake wakiwa makazini na kwenye biashara.
Nafasi ya wanaume kuwezesha wanawake
Nani mwenye jukumu la kuwezesha wanawake? Sikiliza Wanawake na Maendeleo ufahamu zaidi.
Jukumu la wanaume kuwajengea uwezo wanawake
Katika kipindi cha Wanawake na Maendeleo Saumu Njama anaangazia umuhimu wa kuwashirikisha wanaume katika mchakato wa kuwajengea wanawake uwezo katika jamii.
Wanawake hufanya kazi bila malipo, matajiri wafaidika
Ripoti ya Oxfam imesema Wanawake hupunjwa kiasi cha dola trilioni 11 kutokana na kufanyishwa kazi bila malipo
Kesi ya kwanza ya ubakaji wa ndani ya ndoa Eswatini
Mtu wa kwanza Eswatini akamatwa kwa kumbaka mkewe.
'Vikombe maalum' vya hedhi kuwasaidia kina mama Kenya
Vikombe hivyo vinasaidia kukabiliana na maradhi pamoja na kupunguza gharama
Wanawake wanaojitolea kuleta mapatano Wajir
Wanawake wanaojitolea kuleta mapatano Wajir katika jamii za wafugaji.
Zoezi la kumng'owa madarakani Donald Trump Magazetini
Zoezi la kumng'owa madarakani Donald Trump Magazetini
Pengo la usawa wa uchumi kijinsia kuzibwa baada ya miaka 257
Itachukua zaidi ya miaka 257 ili kusawazisha usawa wa kijinsia katika uchumi.
Wanawake Saudia Arabia sasa kutengamana na wanaume
Wanaume na wanawake wasio na uhusiano wa damu wanaruhusiwa kutengamana migahawani
Mhanga wa ubakaji aunguzwa moto India
Inaelezwa kwamba alivamiwa na kundi hilo la wanaume na kuteswa kabla ya kumwagiwa mafuta ya petroli na kutiwa moto.
Wasichana wacheza soka Zanzibar
Licha ya mtizamo wa jadi kisiwani Zanzibar kuwa mtoto wa kike hapaswi kujihusisha na mchezo wa soka, wasichana hawa wenye talanta wanajaribu kuubadilisha mtizamo huo kwa kucheza soka kisiwani humo. Tazama vidio.
Chama tawala cha zamani NCP chapigwa marufuku Sudan
Chama tawala cha zamani NCP chapigwa marufuku Sudan
Amnesty: Wanaharakati wanawake wanashambuliwa na kuuawa
Wanadhulumiwa kingono
Wanawake bado wakabiliwa na unyayasaji usioripotiwa
Katibu Mkuu Antonio Guterres ametaka pia kuondolewa aina zozote za unyanyasaji dhidi ya wanawake
Michael Bloomberg kupiganaia kiti cha rais wa Marekani
Michael Bloomberg kupiganaia kiti cha rais wa Marekani
Ujerumani kuwarejesha wanawake wa IS kutoka Syria
Wanawake waliojiunga na kundi linalojiita "Dola la Kiislamu", raia wa Ujerumani kurejeshwa nyumbani
Pope ahimiza huruma kwa wanawake na watoto wanaonyanyasika
Amehimiza kutowapuuzia wanawake na watoto wanaosafirishwa kwa ajili ya biashara ya ngono ama wahamiaji wanaotumikishwa.
Brigid Kosgei avunja rekodi ya wanawake ya Marathon
Rekodi hiyo iliwekwa na Muingereza Paula Radicliffe miaka 16 iliyopita
Wanawake wa Iran sasa kuhudhuria mechi za soka za wanaume
Shirikisho la soka ulimwenguni limesifu hatua hiyo na ushujaa waliouonyesha wanawake hao wa kupigania haki zao.
Wanawake waandamana kudai maji Goma
Watoto, wanawake na albino wanaathirika zaidi Tanzania
Haki za watoto, wanawake na albino bado zinakiukwa zaidi Tanzania, kulingana na ripoti mpya.
Changamoto ya maji kwa wanawake Singida
Wanawake wa Singida, nchini Tanzania, wanajizatiti kila siku katika kuendesha shughuli za kimaendeleo. Na kilimo, ni mojawapo ya shughuli wanazozipa kipaumbele katika kujikimu kimaisha. Lakini sasa kuna changamoto kubwa: Maji.
Mabadiliko yanachangia katika haki za wanawake nchini humo
Wanawake nchini Saudia Arabia wataweza kupata paspoti bila ya idhini kutoka kwa walezi wao wa kiume .
Marekani watetea ubingwa wao
Marekani wameweka rekodi kwa kushinda Kombe la Dunia la wanawake kwa mara ya nne kwa kuwashinda Uholanzi mbili bila k.
England kuvaana na Marekani nusu fainali
Kombe la Dunia kwa wanawake limefikia hatua ya nusu fainali. Baada ya kuwalaza Ufaransa katika robo fainali.
Wanawake wapambana katika biashara ya kutengeneza vyondo Kenya
Wanawake ni nguzo kuu ya jamii bila wao ulimwengu ungekosa maana. Mchango wa wanaawake kwa masuala ya kijamii hauna mfano. katika jimbo la Machakos eneo la Tala nchini Kenya kina mama wanahalisisha ukweli huo kwamba wanatekeleza majukumu yao ipasavyo licha ya umri wao mkubwa.
England yatinga robo fainali licha ya utata wa VAR
Kocha wa England Phil Neville asema kilichohudiwa uwanjani sio kandanda kabisa
Italia na Brazil kuumana katika dimba la wanawake
Italia yawania kuwa kinara wa kundi lao baada ya kuibuka kiongozi wa kundi hilo, kabla ya kupambana na Brazil
Orodha ya timu 16 za mwisho kukamilishwa
Mechi za mwisho za hatua ya makundi kukamilishwa huku timu zikijitafutia nafasi ya kutinga hatua ya mtoano
Ujerumani, Ufaransa zatinga 16 bora kombe la dunia
Nchi za kiafrika zina matumaini kidogo
England yaibwaga Scotland kombe la dunia wanawake
Michuano wa kombe la dunia kwa wanawake nchini Ufaransa
Kombe la dunia kwa wanawake Ufaransa yaanza vizuri
Wanawake wa Ufaransa wamechukua hatua ya kwanza kufuata nyayo za kombe la dunia kwa wanaume wa nchi hiyo.
Je wenyeji Ufaransa watafurukuta mbele ya Wakorea?
Kombe la dunia la wanawake 2019
Mapambano ya ukeketaji yanafanane na ya Ukimwi
Wanaharakati hao wamesema, mapambano ya ukeketaji hayachukuliwi kwa uzito kama ilivyo kwa Ukimwi
HRW: Wasichana walikuwa wahanga wa unyanyasaji kingono Kasai
Mgogoro wa Kasai DRC
Wanawake wa Korea Kaskazini wageuzwa watumwa wa ngono China
Ripoti yasema Wakorea wengi wa Kaskazini ni watumwa katika madanguro katika wilaya za kaskazini mashariki mwa China.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 12 wa 20
Ukurasa unaofuatia