You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Maandamano Kenya
Kombe la EURO 2024 Ujerumani
Mzozo wa Israel na Hamas
Fathiya Omar
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Fathiya Omar
Taarifa na Fathiya Omar
Haytham Isse kijana anaetoa elimu kwa vijana wenzake
Haytham Isse kijana anaetoa elimu kwa vijana wenzake
Elimu ni nguzo inayoongoza kuelekea mafanikio. Haytam kupitia shirika lake la Kijamii la Future Pillars akishirikiana na wenzake anahakikisha kila kijana anapata fursa ya kusonga mbele kielimu. Fathiya Omar amezungumza nae kwa kirefu katika Makala hii ya vijana na uongozi.
Matumizi yaliokithiri ya muguka na madhara yake kiafya
Matumizi yaliokithiri ya muguka na madhara yake kiafya
Matumizi mabaya ya muguka na dawa zingine za kulevya yamesababisha ongezeko kubwa la waraibu katika vituo vya kurekebishia tabia. Hata hivyo viongozi wa Mombasa kupiga marufuku usafirishwaji na uuzwaji wa aina hiyo ya bidhaa. Tazama video kuona madhara yake kiafya.
Kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili ?
Kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili ?
Katika mwezi huu wa kuhamasisha jamii kuhusu afya ya akili, swali linalozidi kuibuka ni: kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili? Kulingana na wataalamu wa saikolojia, inaonekana kuwa wanawake wengi wanagunduliwa na matatizo ya afya ya akili ikilinganishwa na wanaume. Lakini, ni nini hasa kinachosababisha tofauti hii ?
Mgomo wa madaktari waumiza wagonjwa Kenya
Mgomo wa madaktari waumiza wagonjwa Kenya
Baadhi ya familia zinaomboleza vifo vya wapendwa wao kutokana na kukosa huduma za matibabu katika hospitali za umma.
Umaarufu wa mitindo ya rasta za Wamasaai
Umaarufu wa mitindo ya rasta za Wamasaai
Mitindo ya Rasta kama vile dreadlocks na twists ni maarufu sana miongoni mwa wanawake katika maeneo mengi ya Afrika Mashariki. Hata hivyo, kusuka kwa ustadi na wanaume wa Kimasaai kumekuwa na mvuto wa pekee kwa baadhi ya wanawake hao. Hii imepelekea baadhi yao kuacha saluni za kawaida mtaani kwao na badala yake kwenda kwa wanaume wa Kimasaai kutafuta huduma hizo.
Fahamu zaidi kuhusu sarafu za kidijitali
Fahamu zaidi kuhusu sarafu za kidijitali
Kuna msisimko mkubwa miongoni mwa vijana kuhusu fursa za kazi mtandaoni, zinazojumuisha sarafu za kidijitali, zikiahidi tija ya haraka na malipo makubwa, lakini nyuma ya pazia hili la kuvutia, kuna changamoto kubwa zinazowosubiri. Fathiya Omar anasema kazi za mtandaoni zina faida kubwa lakini pia zina athari zake. Zaidi sikiliza Makala hii ya vijana tugutuke.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo