You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Maandamano Kenya
Kombe la EURO 2024 Ujerumani
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Picha: PantherMedia/picture alliance
Picha: PantherMedia/picture alliance
Kurunzi Afya
DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya.
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Fahamu namna ambavyo mionzi dawa inavyotengenezwa Tanzania
Fahamu namna ambavyo mionzi dawa inavyotengenezwa Tanzania
Cyclotron Kiube ni aina Mionzi dawa ambayo hutumika katika uchunguzi wa awali wa saratani kwa kupiga picha kwa kutumia PET-CT Scan ili kujua hatua ya saratani na kumsadia mtaalamu kujua ni aina gani ya dawa ambayo itakua na msaada kwa mgonjwa.
Matumizi yaliokithiri ya muguka na madhara yake kiafya
Matumizi yaliokithiri ya muguka na madhara yake kiafya
Matumizi mabaya ya muguka na dawa zingine za kulevya yamesababisha ongezeko kubwa la waraibu katika vituo vya kurekebishia tabia. Hata hivyo viongozi wa Mombasa kupiga marufuku usafirishwaji na uuzwaji wa aina hiyo ya bidhaa. Tazama video kuona madhara yake kiafya.
Mafuriko yaacha homa ya mapafu kwa watoto Kenya
Mafuriko yaacha homa ya mapafu kwa watoto Kenya
Mvua kubwa zilizoambatana na mafuriko zimeacha athari za kiafya kwa watoto wengi katika maeneo ya mabanda nchini Kenya
Kutibu majeraha yaliosababishwa na vita Ukraine
Kutibu majeraha yaliosababishwa na vita Ukraine
Zaidi ya wanajeshi elfu ishirini waliojeruhiwa walifika katika hospitali ya Mechnikov katika eneo la Dnipro, tangu Urusi ilipoivamilia kikamilifu Ukraine mnamo Februari 2022. Daktari Valentyna Lisnycha katika hospitali hiyo inayotibu wanajeshi waliojeruhiwa vitani pamoja na timu yake wamejitolea kuokoa maisha ya askari.
Unalifahamu vipi tatizo la Usonji?
Unalifahamu vipi tatizo la Usonji?
Ugonjwa wa Usonji au Autism ni tatizo la kibaiolojia ambalo kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, huathiri mtoto mmoja kati ya kila watoto 100 duniani. Dalili zake huanza kuonekana mapema sana, kuanzia umri wa miaka mitatu na kuendelea. Ni vigumu kugundua dalili zake. Lakini kwenye video hii unaweza kujifunza mengi.
Joto kali lina athari gani mwilini ?
Joto kali lina athari gani mwilini ?
Daktari Jalab Ashraf atowa maelezo zaidi jinsi ya kuhakikisha tunabakia imara kiafya katika kipindi hiki cha joto kali.
Onesha zaidi
Maudhui yote (27) kwenye mada hii
Matangazo