You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Maandamano Kenya
Kombe la EURO 2024 Ujerumani
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Usawa wa kijinsia
Usawa wa Kijinsia ni hali ya uapatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali jinsia.
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
09.07.2024
9 Julai 2024
Wabunge nchini Gambia waunga mkono ripoti dhidi ya ukeketaji
29.06.2024
29 Juni 2024
Taliban: Haki za wanawake wa Afghanistan ni suala la ndani
28.06.2024
28 Juni 2024
Taliban yakosolewa kuwatenga wanawake katika mazungumzo UN
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Jenerali jeshi la Ujerumani ataka wanawake watumikie jeshi
Jenerali jeshi la Ujerumani ataka wanawake watumikie jeshi
Inspekta mkuu wa majeshi ya Ujerumani amependekeza wanawake kujumuishwa kwenye sheria ya kutumikia jeshi kwa lazima.
Mahakama Israel: Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini
Mahakama Israel: Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini
Mahakama ya Israel imetoa uamuzi jeshi lianze kuwaandikisha wanaume wa madhehebu ya Kiorthodox kulitumikia jeshi.
Dalili za tatizo la PCOS kwa wanawake
Dalili za tatizo la PCOS kwa wanawake
Wanawake wengi wenye ndevu ama nywele za usoni wanakabiliwa na matatizo ya kiafya ya PCOS yanayohusiana na homoni. Dalili nyingine za PCOS ni kuongezeka uzito, uso wenye mafuta na ugumu wa kubeba ujauzito. #kurunziafya #wanawake #pcos #afya
Monica Pereira ni DJ na mwalimu kutoka Cape Verde
Monica Pereira ni DJ na mwalimu kutoka Cape Verde
Monica Pereira amevutia hisia za watu wa Cape Verde kwa kuwa maarufu kama DJ na mwalimu. Mapenzi yake ya muziki na hitaji la kupata pesa ndio sababu zilizomfanya aingie kwenye vilabu vya usiku, eneo ambalo bado linatawaliwa na wanaume nchini humo. Ebu tazama vidio na umpe neno mpambanaji huyu.
Kituo cha kuwalea watoto bila malipo Nairobi
Kituo cha kuwalea watoto bila malipo Nairobi
Huwa ni changamoto kubwa kwa mzazi aliye na mtoto mdogo kwenda kuchakarika kutafuta riziki. Lakini kuna mama mmoja Nairobi aliyeanzisha kituo kinachotoa suluhisho: kuwalea watoto saa za mchana bila malipo.
Wanaume ruksa kuwasindikiza wanawake leba Tanzania
Wanaume ruksa kuwasindikiza wanawake leba Tanzania
Hospitali ya KCMC Tanzania imezindiua wodi maalum zinazoruhusu mwanamke kujifungua huku akiwa na mwenza wake.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Ukeketaji wa kitabibu watishia mafanikio yaliofikiwa Afrika
Wakati vitendo vya "ukeketaji" vikiharamishwa nchini Kenya, sasa vimekuwa vikifanyika katika vyumba vya siri.
Tanzania: Mauaji dhidi ya wanawake yaongezeka
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania LHRC kimesema idadi ya wanawake wanauwawa imeongezeka.
Washindi wa tuzo ya Ujerumani kwa Afrika kutunukiwa Berlin
Muungano wa kwanza wa kitaifa wa amani nchini Cameroon kupokea tuzo ya Ujerumani kwa Afrika mjini Berlin.
Maudhui yote (794) kwenye mada hii