You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
UNICEF
UNICEF ni shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto na wanawake katika mataifa yanayoendelea.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ukeketaji ni nini na unafanyika wapi?
Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu watoto UNICEF linasema wasichana na wanawake wanakeketwa katika nchi karibu 30.
UNICEF: Kizazi kijacho cha Yemen kimashakani
Mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada yanaonya kuwa kizazi kijacho cha Yemen kitapotea iwapo mapigano hayatakoma.
UNICEF: Watoto wa Jamhuri ya Afrika ya kati wanateseka
Zaidi ya watoto 43,000 wa chini ya umri wa miaka mitano wanakabiliwa na kitisho kikubwa cha kufariki dunia
Watoto milioni 303 hawaendi shule kote duniani
Umoja wa Mataifa wasema jumla ya watoto 303 milioni kote duniani hawaendi shule,
Uhaba wa maji shuleni na vyoo ni changamoto kwa wanafunzi
Hali hiyo inawafanya watoto kuwa hatarini kiafya
Robo ya watoto duniani wanaishi katikati ya vita
Ripoti ya UNICEF, imesema robo ya idadi ya watoto duniani wanaishi kwenye mataifa yaliyoathiriwa na mizozo.
Watoto wa mitaani, hadi lini?
Bado kuna ongezeko la watoto wa mitaani na wanaofanya kazi nchini Tanzania na kukabiliwa na hatari kutokana na mazingira hatarishi wanayoishi. Miji mikubwa ndio hasa ina idadi kubwa ya watoto hawa. Pamoja na hatua kadhaa za kukabili tatizo hilo, bado hakuna dalili ya kupungua. Kulikoni? Sikiliza makala haya ya Mbiu ya Mnyonge.
Imani potofu, changamoto katika kuudhibiti ugonjwa wa ebola
Baadhi ya wakaazi wanakataa huduma za kiafya na badala yake wanawageukia wahubiri na maombi ili kuondoa kitisho hicho.
Wataalamu kutumwa DRC kudhibiti Ebola
Ugonjwa wa Ebola unaoshukiwa kuwaathiri zaidi ya watu 30 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
UNICEF yasema watoto zaidi ya 1,000 wametekwa nyara
UNICEF yasema watoto zaidi ya 1,000 wametekwa nyara na makundi ya itikadi kali
Unicef: Ndoa za utotoni zimepungua duniani
Mafanikio zaidi ni Kusini mwa Asia, wakati Afrika ikibaki nyuma
Watoto wanaozaliwa nchi maskini wakabiliwa na hatari ya kifo
UNICEF, inasema watoto wanaozaliwa katika nchi maskini zaidi duniani wengi kutoka Afrika wanakabiliwa na hatari ya kifo
UNICEF: Watoto walishambuliwa mno 2017
Watoto waliuawa, kujeruhiwa, kutumika kama ngao vitani, kubakwa na washambuliaji wa kujitoa muhanga.
Wasichana Uganda waozwa wanapokosa uwezo wa kununua Sodo
Hali hii pia inaathiri masomo ya wasichana wengi wanaouvunja ungo kutokana na ukosefu wa vyoo dhabiti katika shule zao.
Haki za watoto ziingizwe kwenye sheria Ujerumani
Makundi ya utetezi Ujerumani yataka serikali ijayo kuingiza haki ya watoto na vijana kwenye sheria ya msingi
UNICEF: Zaidi ya watoto 40,000 wako hatarini Raqqa
UNICEF yaonya mapigano ya kuukomboa mji wa Raqqa yanatishia kugharimu maisha ya zaidi ya watoto 40,000
Zaidi ya watoto laki tatu wahamiaji wanasafiri wenyewe
Watoto wanaosafiri bila ya kuandamana na watu wazima wanakumbwa na kitisho cha kutumika kama watumwa au makahaba
Boko Haram wapanga kuzishambulia Marekani, Uingereza
Watoto wamefanya mashambulizi 27 ndani ya miezi mitatu ya mwaka huu,walifanya mashambulizi kama hayo mara 30 mwaka jana.
Kwanini watanzania wengi hawana vyeti vya kuzaliwa?
Makala yetu leo
UNICEF yasema mamia ya watoto wameuawa Syria
UNICEF yasema mamia ya watoto wameuawa nchini Syria
Ripoti ya UNICEF: Wanawake na watoto wakimbizi wateseka
Wanawake na watoto wanapigwa, wananyimwa chakula na wanabakwa ikiwa ni baadhi ya mateso yanayowakabili
Ukweli kuhusu baa la njaa
Shirika la Chakula Duniani linasema watu zaidi ya milioni 20 wako hatarini ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo.
UNICEF: Njaa yatishia maisha ya watoto milioni 1.4
Nchini Sudan Kusini, zaidi ya watoto 270,000 wanakumbwa na utapiamlo
Waasi Syria wakabiliana vikali na serikali
Mji huo wa Aleppo bado unakabiliwa na mashambulizi makali dhidi ya jeshi na wapiganaji
Vikosi vya kulinda amani vyashambuliwa Afrika ya Kati
Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa vyashambuliwa na waasi wa kundi la Seleka Afrika ya Kati.
WFP yasema idadi inaweza ongezeka hadi 700,000 mwakani
Watu 600,000 wanakabiliwa na uhaba wa chakula Burundi
Watoto 876 waachiwa huru kutoka kambi ya jeshi ya Giwa
Miongoni mwa watoto waliokuwa wakizuiliwa jela ni pamoja na wa umri wa miaka 5 na chini ya umri huo
Watoto robo milioni wakabiliwa na utapiamlo Nigeria
Watoto Nchini Nigeria wanakabilia na Utapiamlo
Watoto milioni 28 hawana makazi duniani sababu ya vita
UNICEF yatoa ripoti inayosema watoto milioni 28 hawana makazi duniani kutoka na mizozo ya vita. Ndege za kivita za Syria zashutumiwa kuangusha mabomu yaliyo na gesi ya Chlorine. Na mamlaka za Uturuki zimeuchukua kwa nguvu mkanda wa mahojiano ya DW na waziri wa michezo na vijana wa Uturuki.
Watoto milioni 28 wang'olewa makwao na vita
UNICEF yasema watoto takriban milioni 50 duniani ni wakimbizi na wahamiaji kutokana na mizozo
Kishindo cha Brexit chapiga Afrika
Apps Yasaidia Maendeleo Afrika
Papo kwa Papo 28.06.2016
Viongozi wa Ujerumani, Ufaransa na Italia wataka ushirikiano kwenye Umoja wa Ulaya, UNICEF yasema watoto milioni 69 wako hatarini kufa na katika michuano ya Euro 2016, bingwa mtetezi Uhispania yafungasha virago.
UNICEF: Watoto 167 milioni wataishi katika umaskini 2030
Ripoti ya mwaka inaonyesha Watoto 167 milioni wataishi katika umaskini 2030
Papo kwa Papo 21.06.2016
Aliyekuwa makamu wa rais wa DRC, Jean-Pierre Bemba ahukumiwa kifungo cha miaka 18 jela na Mahakama ya ICC, Baraza la Seneti Marekani lapinga mapendekezo ya kudhibiti silaha, na katika michuano ya Euro 2016 Wales na England zafuzu hatua ya mchujo.
Maelfu ya watoto CAR wakosa masomo
Mamia kwa maelfu ya watoto hawahudhurii masomo wakati ambapo shule zinafanya jitihada za kufunguliwa upya
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili - Madaya
UNICEF yathibitisha mtoto mmoja amefariki kutokana na utapia mlo mjini Madaya
Watoto wa mitaani Bujumbura
Watoto 2,000 wanaishi mitaani Bujumbura. Maisha yao yanagubikwa na wasiwasi lakini wanapata pia muda wa kucheza.
Siku ya Watu wenye Ulemavu Duniani
Kaulimbiu ni ''Ushirikishwaji katika masuala mbalimbali: upatikanaji na uwezeshwaji kwa watu wote wenye uwezo.''
UNICEF: watoto milioni 500 wanakabiliwa na kitisho
UNICEF yasema muafaka mpya wa mabadiliko ya tabia nchi lazima uwalinde watoto
Watoto wanahitaji kusaidiwa kufikia malengo yao
UNICEF yatoa onyo kwa viongozi wa dunia
Idadi ya watu waliokufa kwa tetemeko Nepal yafikia 3,700
Idadi ya watu waliokufa kwa tetemeko Nepal yafikia 3,700
Maelfu ya watoto watumikishwa kijeshi CAR
Shirika la hisani la Save the Children limesema maelfu ya watoto walikuwa wanatumika kama wanajeshi katika kipindi cha miaka miwili iliyopita wakati wa vita vya kikabila na kidini katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Safari ya Uganda dhidi ya Ukwimi
Moja kati ya mataifa ya Afrika yaliyoathiriwa vibaya na Ukimwi, Uganda imeweza kupunguza viwango vya maambukizi ya maradhi hayo kwa kugawa dawa za bure na mipira ya kinga kwa wanaume.
UNICEF yatoa ripoti ya udhalilishaji kwa watoto
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeguandua kwamba, kando na kuwepo watoto wa kike takriban milioni 120 ulimwenguni mmoja kati ya kumi wanabakwa au kudhalilishwa kingono hadi wakati wanapofikia miaka 20.
UNICEF yasema Syria ni hatari sana kwa watoto
Katika ripoti yake ya jana shirika la UNICEF limesema maelfu ya watoto wamenasa katika maeneo yaliyozingirwa nchini Syria, huku mzozo wa nchi hiyo ukikamilisha miaka mitatu leo. (11.03.2014)
Idadi ya watoto wanaokufa kwa ukimwi yaongezeka
Idadi ya watoto walio na umri kati ya miaka 10 na 19 wanaokufa kutokana na ukimwi duniani imeongezeka kufikia asilimia 50 kati ya mwaka 2005 na 2012.
UNICEF: Vifo vya watoto vyapunguwa kwa nusu
Repoti ya Shirika la UNICEF imesema licha ya kwamba viwango vya vifo vya watoto duniani vimepunguzwa kwa nusu tokea mwaka 1990 takriban watoto 18,000 walio na umri usiozidi miaka mitano bado wanaendelea kufa kila siku.
UNICEF kupambana na ukatili dhidi ya watoto walemavu
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, limeripoti watoto wenye ulemavu ulimwenguni ni waathiriwa wakubwa wa mateso, ubakaji na wengi wao hawasajiliwi baada ya kuzaliwa ikilinganishwa na wasiokuwa na ulemavu.
UN kupambana na homa ya mapafu na magonjwa ya kuharisha.
Umoja wa mataifa umeanzisha mkakati wa kuokoa maisha ya watoto wapatao milion mbili ambao hupoteza maisha yao kila mwaka kutokana na ugonjwa wa homa ya mapafu na magonjwa ya kuharisha.
UN yaishiwa fedha kuwahudumia wakimbizi wa Syria
Umoja wa Mataifa umeonya siku ya Ijumaa juu ya upungufu mkubwa wa ufadhili kwa wakimbizi wa Syria, ukisema kuwa mashirika ya misaada yanaweza kupunguza huduma kwa ongezeko kubwa la wakimbizi.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 3 wa 4
Ukurasa unaofuatia