You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
UNICEF
UNICEF ni shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto na wanawake katika mataifa yanayoendelea.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Nimonia, kuhara magonjwa hatari kwa watoto
Shirika linalohudumia Watoto la Umoja wa Mataia UNICEF limesema ugonjwa wa homa ya mapafu na kuharisha ni miongoni mwa magonjwa yanayosababisha vifo vya watoto wengi dunia hasa katika mataifa masikini.
Pakistan yahitaji msaada wa dharura: UNICEF
UNICEF imetoa taarifa yake hiyo kutokana na watu walioathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika kukwama katika maeneo yaliyozingirwa na mafuriko.
Ripoti ya UNICEF kuhusu haki za watoto
Shirika la Umoja wa mataifa la UNICEF linahimiza haki za watoto zilindwe
Shirika la UNICEF nchini Kongo limeingilia kati kuhusu kuachiwa kwa watoto 80 walioshikiliwa na waasi wa LRA
Juhudi za serikali ya DRC ya kuwasaka waasi wa FDRL wa Rwanda na wale wa LRA wa Uganda zikingali mbali kuzaa matunda mazuri kwa raia wa kongo.
Mkutano wa UNICEF na UNFPA wajadili vifo vya mama wajawazito wakati wa kujifungua
Mkutano wa kimataifa unaojadili vifo vya akina mama wakati wa kujifungua na watoto kuanzia umri wa siku moja hadi miaka mitano, unaendelea mjini Dar es Salaam,Tanzania wakishiriki watafiti na wakung kutoka sehemu mbalimbali duniani.
RIPOTI YA UNICEF JUU YA ULEZI WA WATOTO
Ripoti ya shirika la UM linalowahudumia watoto linaituhumu hasa uingereza na Marekani miongoni mwa dola za viwanda kupuuza mno kuwashughulikia watoto.
GENEVA : UNICEF yaadhimisha miaka 60
JUWAYA: UNICEF ina wasiwasi juu ya mabomu
TORONTO : UNICEF yaomba msaada kwa mayatima wa UKIMWI
Kampeni kwa ajili ya watoto nchini Guinea-Bissau
Guinea-Bissau, iliyo Magharibi mwa Afrika, ni mojawapo ya nchi 10 maskini kabisa duniani. Ili kuwasaidia watoto wa nchi hiyo, tarehe 15 mwezi huu, shirika la kuwahudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF na taasisi mbalimbali kutoka Gunie-Bissau, wataanzisha kampeni ya kulinda watoto.
BERLIN: Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limekumbusha juu ya hali...
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 4 wa 4
Ukurasa unaofuatia