You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ufaransa yaiunga mkono Ukraine mpango wa kukomesha vita
Ufaransa inasema inauunga mkono mpango wa Ukraine wa kuvimaliza vita vya miaka miwili na nusu kati yake na Urusi.
Urusi na Ukraine zabadilishana wafungwa wapya wa kivita
Urusi na Ukraine zimebadilishana wafungwa wapya wa kivita katika makubaliano mapya yaliyoratibiwa na UAE.
Biden yuko Berlin kwa mazungumzo ya Ukraine na M. Kati
Na kukiwa na uchaguzi wa rais wa Marekani ambao unazua wasiwasi kuhusu nguvu yake katika utatuzi wa vita hivyo baadae.
Biden: Ni lazima tuendeleze msaada wetu kwa Ukraine
Ziara ya Biden ni ya kwanza nchini ya Ujerumani inafanyika ikiwa imesalia miezi michache kuondoka madarakani.
UN: Ulimwengu upo katika wakati hatari zaidi katika historia
Türk ameeleza kwamba migogoro inazidi kuenea huku sheria na haki za binadamu zikizidi kukanyagwa.
Je, Marekani itaendeleza ushirika na Ulaya baada ya Biden?
Rais Joe Biden atakuwa rais wa kwanza wa Marekani tangu George H. W. Bush kutunukiwa Tuzo ya Federal Cross of Merit.
Zelensky adai Korea Kaskazini yaandaliwa kwa vita
Zelenskiy adai jeshi Korea Kaskazini laandaliwa kujiunga na Urusi vita vya Ukraine.
Zelensky awasilisha "Mpango wa Amani" kwenye Umoja wa Ulaya
Zelensky anasisitiza haja ya upatikanaji wa dola bilioni 35 zinazotokana na mali ya Urusi ili kuimarisha ulinzi.
Umoja wa Ulaya na Ghuba wakutana kujadili Gaza na Ukraine
Kusanyiko hili ni la kwanza na la kipekee baina ya pande hizo kwa matumaini ya kupunguza kitisho huko Mashariki ya Kati.
Zelensky kuwasilisha "mpango wa ushindi" kwa EU na NATO
Zelensky pia atawasilisha ombi la uanachama wa NATO na ongezeko la msaada wa kijeshi katika kampeni yake dhidi ya Urusi.
Zelensky awasilisha "mpango wake wa ushindi" bungeni
Zelensky awasilisha "mpango wake wa ushindi" kwa bunge la Ukraine.
Urusi yaongeza shinikizo kwa kushambulia zaidi Donestk
Mamlaka za kijeshi nchini Ukraine zasema wanajeshi wa Urusi wanazidisha shinikizo kwenye kijiji cha Kurakhivka Donetsk.
EU na mataifa ya Ghuba zazungumzia migogoro na ushirikiano
Ushirikiano wa kimkakati sio tu kuhusu usalama. Unahusu pia biashara, misaada ya maendeleo na mabadiliko ya kidigitali
16.10.2024: Taarifa ya habari za asubuhi
Sikiliza taarifa ya habari za asubuhi ya idhaa ya Kiswahili ya DW
Wakazi wa mji wa Kupiansk, Ukraine waagizwa kuhama eneo hilo
Maafisa nchini Ukraine wakikabiliwa na changamoto za kutoa huduma wakati wa majira ya baridi.
Iran yalaani vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi yake
Iran imelaani vikwazo vipya vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya na imekanusha kuipatia Urusi makombora.
Ukraine yakanusha kusambaza droni kwa waasi nchini Mali
Mali inakabiliwa na tatizo la makundi ya wapiganaji wa itikadi kali
Zelensky aishutumu Korea Kaskazini kuipa Urusi silaha
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameishutumu Korea Kaskazini kutuma wanajeshi wake kupigana pande wa Urusi.
Zelensky: K.Kaskazini imepeleka makombora na wanajeshi Urusi
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameituhumu Korea Kaskazini kwa kupeleka wanajeshi na silaha Urusi.
Urusi yadaiwa kuwauwa wafungwa wa kivita wa Ukraine
Ofisi ya mwendesha mashitaka Ukraine yasema inahafamu kuhusu zaidi ya visa 90 vya mauaji ya wafungwa wa kivita.
Kremlin: Putin yuko tayari kwa mazungumzo na Kansela Scholz
Kauli ya Peskov ilikuwa ikijibu taarifa ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani.
Rais Biden kufanya ziara fupi nchini Ujerumani wiki ijayo
Ziara ya awali ya Biden nchini Ujerumani ilikuwa ifanyike kati ya Oktoba 10 na 12, 2024.
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa droni na makombora
Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema pia kuwa imeharibu droni 13 za Ukraine.
Matangazo ya mchana: 12.10.2024
Ukraine na Urusi zashambuliana kwa droni usiku kucha. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya bunge la Ujerumani asema Ujerumani inahitaji jeshi kubwa zaidi. China yatishia kuweka vikwazo vya kiuchumi kwa Taiwan.
Ukraine na Urusi zashambuliana kwa droni usiku kucha
Vikosi vya Urusi vimepiga hatua katika uwanja wa mapambano upande wa mashariki mwa Ukraine.
EU yajiandaa kuiwekea vikwazo Iran
Umoja wa Ulaya unajiandaa kuiwekea vikwazo vipya Iran kutokana na hatua yake ya kuipelekea Urusi makombora ya kuisadia k
Ujerumani yaahidi msaada zaidi wa silaha kwa Ukraine
Zelensky amekutana mapema Ijumaa na kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis huko Vatican.
Urusi yafanya mashambulizi 114 Ukraine ndani ya masaa 24
Vikosi vya jeshi la Urusi vimefanya mashambulizi 114 kwenye eneo la mashariki mwa Ukraine ndani ya masaa 24 yaliyopita.
Zelensky awasilisha ''mpango wa ushindi'' kwa washirika
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amewasilisha ''mpango wake wa ushindi'' kwa Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer.
Zelenskiy atoa mpango wa ushindi wa vita na Urusi
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Alhamis aliwasilisha kile alichokitaja kama "mpango wa ushindi" kwa Waziri Mkuu wa Ui
Urusi yawasajili Waafrika kutengeza droni za vita Ukraine
Takriban wanawake 200 wenye miaka 18 hadi 22 kutoka barani Afrika, wamekuwa wakisajiliwa kwenda kufanya kazi Urusi.
Urusi yatumia wanawake wa Kiafrika kutengeneza droni
Karibu wanawake 200 kutoka barani Afrika, wanatumiwa na Urusi kuunda droni zinazotumika kuishambulia Ukraine.
Makombora ya Urusi yauwa 6 Odessa
Watu sita wameuawa kwa mashambulizi ya anga ya Urusi kwenye mji wa bandari ya kusini mwa Ukraine, Odessa.
Mkutano wa kilele kuhusu Ukraine huko Ramstein waahirishwa
Mkutano wa ngazi ya juu kuhusu Ukraine uliopangwa kufanyika katika mji wa Ramstein nchini Ujerumani waahirishwa.
Mkutano wa kuujadili usalama wa Ukraine waahirishwa
Mkutano wa usalama wa Ukraine uliopangwa kufanyika katika kambi ya jeshi ya Ramstein nchini Ujerumani umeahirishwa
Jeshi la Ukraine limedungua droni 21 za Urusi
Jeshi la Ukraine limesema Urusi ilirusha makombora matatu na droni 22 katika shambulizi la usiku wa kuamkia Jumatano.
Ukraine haitarajii kutafanyika mkutano wa pili wa amani
Viongozi 100 wa dunia walihudhuria kongamano la kwanza la amani lililofanyika nchini Uswisi mwezi Juni.
Uingereza yaiadhibu Urusi,kutumia silaha za kemikali Ukraine
Uingereza yaiadhibu Urusi kwa kutumia silaha za kemikali nchini Ukraine
Rais Zelensky asema hali ni mbaya Donetsk
Rais wa Ukraine Volodymry Zelensky ameieleza hali kuwa bado ni mbaya huko Donetsk.
Seoul:Huenda wanajeshi wa Korea Kaskazini wanapigana Ukraine
Seoul: Huenda wanajeshi wa Korea Kaskazini wanapigana Ukraine
Watu 11 wajeruhiwa Kharkiv kufuatia shambulio la Urusi
Watu 11 wajeruhiwa Kharkiv kufuatia shambulio la Urusi
Harris hatokutana na Putin iwapo Ukraine haitowakilishwa
Utawala wa Rais Joe Biden ulikataa kufanya mazungumzo yoyote na Putin.
Ukraine yashambulia kituo cha mafuta katika eneo la Crimea
Ukraine imesema mashambulizi hayo ni ya kisasi baada ya miundombinu yake ya nishati kushambuliwa na Urusi.
Mwanaharakati wa upinzani Urusi auawa katika uwanja wa vita
Mwanaharakati huyo mwenye umri wa miaka 42 alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na nusu gerezani mnamo mwaka 2015.
Urusi yashambulia kwa droni Kyiv na mji wa bandari Odesa
Urusi yashambulia kwa droni Kyiv na miundombinu ya mji wa bandari Odesa.
Zelensky na Biden kuhudhuria mazungumzo ya ulinzi wa Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atahudhuria mkutano wa kimataifa kujadili msaada wa kijeshi kwa Ukraine.
Ukraine kuwasilisha 'mpango wa ushindi' kwa Washirika wake
Zelensky asema kwamba nchi yake itawasilisha ´mpango wa ushindi wa vita´ katika mkutano wa kawaida wa washirika wake.
Kremlin yaonya Ukraine "inacheza na moto"
Kremlin yaonya kwamba Ukraine "inacheza na moto" baada ya kuuwawa kwa Andriy Korotky.
Ukraine yashambulia bohari ya mafuta ya Urusi
Ukraine imesema imeishambulia bohari ya mafuta ya Urusi kwa kutumia droni kwenye mkoa wa mpakani wa Voronezh.
Ukraine yaimarisha ulinzi mashariki mwa Donetsk
Jenerali Oleksandr Syrskyi, ameamrisha kuimarishwa kwa ulinzi katika eneo la mashariki mwa Donetsk.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 65
Ukurasa unaofuatia