You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
UN:yapitisha azimio muhimu kuhusu Tabianchi
Azimio hilo limepitishwa baada ya vuguvugu lililoendeshwa na Jamhuri ya Vanuati kisiwa kidogo katika bahari ya Pasifiki.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakutana na wamualika Guterres
Viongozi hao wa Umoja wa Ulaya walitarajiwa pia kuidhinisha mpango wa kuipatia Ukraine silaha na makombora zaidi.
UN: Uhaba wa maji watishia mzozo wa kimataifa
Asilimia 46 ya watu ulimwenguni kote hukosa huduma za uhakika za usafi.
Tofali zitokanazo na plastiki
Akiwa na umri wa miaka thelasini, Elie Mapenzi Matabaro ni mmoja kati ya vijana walioanziasha kampuni ndogo inayoitwa Full Development Agency Group, kwakifupi FDA Group, iliyobobea katika ukusanyaji na usindikaji wa taka na kuzigeuza kuwa matofali ya kupamba ua na barabara za miji ya Bukavu na Goma nahivyo kuchangia katika ulinzi wa mazingira.
Blue Earth inavyotunza mazingira Mombasa
Wasiwasi wao kuhusu mabadiliko ya Tabianchi uliwasukuma kuchukua hatua ili kutoa mchango kupambana na changamoto hiyo, hivi sasa shirika la Blue Earth lililoasisiwa na wanawake watatu mjini Mombasa, linafanya zaidi ya kupanda mikoko katika harakati zake za uhifadhi wa mazingira. Ni #kurunziwanawake iliyoandaliwa na Ripota wetu wa Mombasa Fathiya Omar.
Afrika kufikiria kuwekeza katika mipango ya mazingira
Hatua hiyo itazifanya nchi masikini kupunguziwa madeni yake
UN kutoa ripoti ya kupambana na mabadiliko ya tabianchi
Ripoti hiyo ilitengenezwa na mamia ya wanasayansi wakuu ulimwenguni kwa wiki nzima katika mji wa Uswisi wa Interlaken
Ujerumani itashirikiana na Tanzania kutunza mazingira.
Ujerumani: Itashirikiana na Tanzania katika utunzaji wa mazingira.
Waokoaji waendelea kupambana kuwafikia manusura wa kimbunga
Waokoaji wameendelea kupambana kuwafikia manusura mjini Blantyre Malawi baada ya kimbunga Freddy kupiga.
Mabadiliko ya tabianchi yachochea upungufu wa maji Kenya
Kenya inalenga kuboresha miundo mbinu ya maji, wakati uhaba wa raslimali hiyo ukiripotiwa kuyakumba mataifa ya pembe ya Afrika, ikiwemo Kenya yenyewe, na majirani zake Somalia na Ethiopia. Kwa mujibu wa shirika kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, ni asilimia 29 tu ya Wakenya wanapata maji safi, hali inayotajwa kuchochewa na mabadadiliko ya tabianchi. Wakio Mbogho alituarifu zaidi.
Serikali kujadili tafiti za mabadiliko ya tabianchi
Ripoti hiyo ya kimataifa itakayotolewa Machi 20 iliwakutanisha wawakilishi kutoka serikali mbalimbali ulimwenguni.
Jasiri anaeamini juu ya elimu ya mazingira kwa jamii
Si kila mmoja anaweza kuthubutu kuhusu kuyatunza mazingira lakini kwa jasiri Upendo amethubutu zaidi kwa kuamini elimu pekee ndio suluhisho la kudumu katika kuyatunza mazingira na si elimu tu, bali kuwaelimisha watoto na wanawake kuhusu mazingira bora na ustawi wake.
Mtu na mazingira: UN wataka mtama uwe mbadala wa nafaka zengine
Changamoto za usalama na kimazingira zimechangia pakubwa kwa ukosefu wa chakula katika baadhi ya sehemu duniani. Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa limeutaja mwaka huu kuwa mwaka wa mtama kutokana na kuwa ni mmea unaoweza kuvumilia ukame. Sikiliza makala ya Mtu na Mazingira iliyoandaliwa na Saumu Njama.
Kesi dhidi ya kampuni ya Total Energies yatupiliwa mbali
Mahakama ya Ufaransa imepuulizia mbali kesi dhidi ya kampuni ya mafuta TotalEnergies baada ya kesi dhidi yake
Pembe ya Afrika ipo hatarini kufuatia uhaba wa mvua
ICPAC inahofia kuwa hali itakuwa mbaya zaidi kuliko miaka 10 iliopita, ambapo watu 260,000 walikufa nchini Somalia pekee
Mtu na Mazingira: Mapambano ya Wakulima na Wanyamapori
Alex Mchomvu anamulika jinsi jamii mbalimbali nchini Tanzania zinavyopambana na wanyama pori wanaoharibu mazao.
Ubunifu wa kupambana na uchafuzi wa mazingira
Baadhi ya vijana kutoka Tanzania wanabuni njia mbadala ya kuhifadhi mazingira kwa ujenzi wa nyumba kupitia mabaki ya chupa za plastiki. #Kurunzi.
Nguo za msaada zinazidisha uchafuzi wa plastiki Kenya
Shirika la Changing Markets Foundation la Uholanzi limesema nguo za msaada zinazidisha uchafuzi wa plastiki nchini Kenya
India na Pakistan kwanini zinazozana juu ya mkataba wa IWT?
Kwanini India inazozana na Pakistan juu ya mkataba wa kihistoria?
RSF yakosoa mazingira ya kifo cha mwanahabari Rwanda
RSF imesema kuwa mchakato huo wa kisheria pamoja na sababu za kifo chake havikuwa wazi.
Rais Lula wa Brazil ziarani nchini Marekani
Hata hivyo Lula na Biden wanatofautiana katika masuala kadhaa ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Kimbunga cha kitropiki kimesababisha mafuriko na maporomoko
Kimbunga cha kitropiki kimesababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi
IMF yatahadharisha kuhusu ruzuku za mabadiliko ya tabianchi
Huenda ruzuku hizo zinaweza kusababisha teknolojia na uzalishaji kutoka nchi zinazoendelea kuhamishiwa nchi tajiri.
Guterres:Tuwajibike ili kuwa na dunia salama
Umoja wa Mataifa umetolea mwito viongozi hao ili kuchukua hatua za haraka katika kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa
Mifugo yaathirika na Plastiki mjini Marsabit
Makali ya kiangazi yameendelea kuwaathiri wafugaji katika eneo la Marsabit nchini Kenya wanaolazimika kulisha mifugo mifuko ya plastiki na makaratasi kutokana na kukosekana kwa majani. Mwandishi wa DW Michael Kwena ameandaa vidio hii fupi.
Makabiliano yatokea Lüzerath, Ujerumani
Makabiliano yametokea katika kijiji cha Lüzerath wakati maafisa wa polisi wa Ujerumani walipoingia kuwaondoa wanaharakat
Kobe wapo katika hatari ya kuwa kitoweo
Kobe wapo katika hatari ya kuwa kitoweo
Lützerath: Wanaharakati wa mazingira wapambana na polisi
Wanaharakati wa mazingira wapambana polisi kwenye kijiji cha Lüzerath wakipinga kupanuliwa mgodi wa makaa ya mawe.
Geneva: Ujerumani yaahidi kuipa Pakistan Euro milioni 84
Geneva: Ujerumani yaahidi kuipa Pakistan Euro milioni 84
Umuhimu wa Popobawa visiwani Pemba
Wataalamu humwita Popo bawa wa Pemba. Hii ni aina ya popo ambao wamekuwa na umuhimu mkubwa katika uboreshaji wa mazingira kwa kula matunda na kuhamisha mbegu za miti mbalimbali ambayo imekua na msaada mkubwa kwa ustawi wa binadamu visiwani Pemba.
Makampuni ya Ujerumani yalenga kuwekeza zaidi Afrika
Makampuni ya Ujerumani yalenga kuwekeza zaidi Afrika
Steinmeier kusisitiza 'amani na haki' nchini Ukraine.
Steinmeier amesisitiza kwamba amani ikipatikana basi ni lazima iwanufaishe watu wa Ukraine na sio Urusi.
Uingereza yahalalisha mpango wa kupelekwa wahamiaji Rwanda
Uamuzi huo wa Mahakama Kuu ya Uingereza wakosolewa.
Kutunza 30% ya mazingira asilia duniani si jambo rahisi
Lengo ni kunusuru aina nyingi ya spishi zilizo hatarini kutoweka, lakini linatosha kisayansi kuvilinda viumbe hai?
Mafuriko yaua watu 120 DRC
Matukio kama haya yamekuwa yakishuhudiwa mara kwa mara kutokana na mabadiliko ya tabianchi.
Mabadiliko ya tabianchi, chanzo cha mafuriko DRC
Kinshasa inakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya watu kutoka maeneo mbalimbali na makazi mengi ni ya mabanda.
COP15: Bado hakujafikiwa mafanikio makubwa
Mada muhimu ni: Ufadhili wa mataifa yanayoendelea na ahadi ya kulinda asilimia 30 ya ardhi na bahari duniani kote.
COP15: Kampuni zatakiwa kutangaza madhara yao kwa mazingira
Kampuni na biashara zahimizwa kuweka wazi viwango vyao vya uharibifu na madhara kwa kwa mazingira.
Wanaharakati wataka miito yao kulinda bayoanuwai isikizwe
Mashirika yanahamasisha kuhusu haja ya kulinda bayoanuwai na yanataka miito yao isikizwe katika mkutano wa COP15.
Ujerumani na India kushirikiana kulinda mazingira
India ni taifa la pili kwa idadi ya watu ikitanguliwa na China inashika nafasi ya nne katika uzalishaji wa hewa ya ukaa.
Kutana na wanamazingira wa kesho nchini Rwanda
Ili kuongeza uhamasishaji kuhusuutunzaji mazingira Rwanda, shirika la uhifadhi wa viumbe limeanzisha mradi kwa watoto ambao ndio walinzi wa kesho wa pori katika eneo hilo. Mradi huo unawalenga wanafunzi wa shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu. Vijana Mubashara inaangazia juhudi zao.
UN yaonya kuhusu vyombo vya majini kuharibu mazingira
Umoja wa mataifa watahadharisha kuwa gesi ya Carbon inayochafua mazingira inayotoka kwenye vyombo vya majini inaongezeka
Jitihada ya kuulinda mji wa Bagamoyo
Jitihada ya kuulinda mji wa Bagamoyo
COP27 - Afrika iko peke yake
Tatu Karema
Mazungumzo ya COP27 ni ukumbusho kwamba Afrika iko peke yake linapokuja suala la mabadiliko ya tabianchi.
Je Unajua namna hali ya hewa inavyoathiri afya yako?
Najua wengi mnasikia kuhusu mabadiliko ya tabianchi, lakini je, unajua ni kwa kiasi gani mabadiliko haya yanaathiri afya yako? Msikilize maatalamu wetu akizungumzia hili. #KurunziAfya
Wajumbe wa COP27 wakubaliana kuzisaidia nchi maskini
Wajumbe katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira wa COP27 wamekubaliana kuzisaidia nchi masikini.
Taarifa ya Habari za Asubuhi: 20.11.2022
Makubaliano ya mwisho katika Mkutano wa COP 27 bado hayajafikiwa. Jeshi la Rwanda lamuua mwanajeshi wa Kongo aliyevuka mpaka. Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak afanya ziara mjini Kiev.
COP27: Mkutano wa kilele kuhusu hali ya hewa wamalizika
Nchi za Umoja wa Ulaya zaashiria utayari wa kufikia maelewano kuhusu ufadhili kwa nchi zilizo hatarini.
Mtu na Mazingira
Katika kipindi hiki leo, tunaangazia changamoto katika msitu wa Rondo. Jiunge na Salma Mkalibala akusimulie athari ya mabadiliko ya Tabia nchi.
COP27: Guterres atoa wito wa kufikia makubaliano
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kufikia makubaliano kabla ya kumalizika mkutano huo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 7 wa 20
Ukurasa unaofuatia