1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mifugo yaathirika na Plastiki mjini Marsabit

11 Januari 2023

Makali ya kiangazi yameendelea kuwaathiri wafugaji katika eneo la Marsabit nchini Kenya wanaolazimika kulisha mifugo mifuko ya plastiki na makaratasi kutokana na kukosekana kwa majani. Mwandishi wa DW Michael Kwena ameandaa vidio hii fupi.

https://p.dw.com/p/4M1hu