1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.09.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

V2 / S12S18 Septemba 2024

Kwenye Taarifa ya Habari asubuhi ya leo utasikia juu ya mkasa wa kulipuka vifaa vya mawasiliano huko Lebanon na kusababisha vifo vya watu 9 na maelfu kujeruhiwa. Rais Joe Biden wa Marekani aziomba pande zinazozozana nchini sudan kurejea kwenye mazungumzo ya amani na Venezuela yamkamata raia wa 7 wa kigeni kwa madai ya kula njama za kumuua Rais Nicolas Maduro.

https://p.dw.com/p/4kjse
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)