1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Yanga waangukia pua, Simba walazimishwa sare Ligi ya Mabingwa

27 Novemba 2023

Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Vilabu Bingwa Afrika Simba na Yanga wameanza kwa mguu mbaya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga akichapwa 3-0 huku Simba akilazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na ASEC Mimosas. Msikilize Mindi Joseph.

https://p.dw.com/p/4ZUcS