1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MichezoUfaransa

China yatamba katika michezo ya Olimpiki kwa walemavu Paris

9 Septemba 2024

China ilimaliza ya kwanza kwenye msimamo wa nishani kwa kuzoa medali 220 kwa ujumla: dhahabu 94, fedha 76 na shaba 50 huku Uingereza ikikamata nafasi ya pili kwa kushinda dhahabu 49, fedha 44 na shaba 31 wakati Marekani ikiridhika katika nafasi ya tatu kwa kushinda dhahabu 36, fedha 42 na shaba 27.

https://p.dw.com/p/4kQy2