1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiAsia

WHO yahofia magonjwa ya mripuko Uturuki na Syria

Daniel Gakuba
13 Februari 2023

Wakati taarifa kutoka maeneo yaliyoathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi nchini Uturuki na Syria zikijikita juu ya vifo, majeruhi na uharibifu wa miji, shirika la afya duniani, WHO linaonya juu ya uwezekano wa kutokea kwa miripuko ya magonjwa ya kuambukiza. Linasema mazingira wanamoishi manusura wa tetemeko hilo ni changamoto kubwa.

https://p.dw.com/p/4NQHy