You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Vituo vya wagonjwa wa Ebola vinajaa haraka
Shirika la Afya Duniani-WHO, limesema vituo vya afya vilivyofunguliwa kwa ajili ya kuwatibu wagonjwa wa Ebola eneo la Afrika Magharibi, vinajaa haraka na hivyo kuzifanya sekta za afya katika ukanda huo kuzidiwa nguvu.
Nigeria yaomba dawa ya majaribio ya Ebola
Nigeria imeomba kupatiwa dawa ya majaribio ya Ebola ya ZMapp Jumatano, wakati ambapo nchi hiyo ikiripoti kifo cha tatu kutokana na virusi hivyo vinavyozidi kuichachafya kanda ya Afrika Magharibi.
Liberia kupatiwa dawa ya majaribio ya Ebola
Liberia imetangaza kuwa hivi karibuni itapokea dozi za dawa za majaribio ya kutibu ugonjwa wa Ebola kutoka Marekani, ambazo itazitumia kwa madaktari wawili walioambukizwa virusi hivyo.
Tanzania yajizatiti kudhibiti Ebola
Tanzania imeandaa mikakati madhubuti ya kuhakikisha inaudhibiti ugonjwa wa Ebola miongoni mwa wageni wanaoingia nchini humo. Tayari Ugonjwa huo mpaka sasa umeathiri mataifa kadhaa ya Afrika.
Juhudi za kudhibiti Ebola zafanyika
Sierra Leone imewapeleka wanajeshi wake kulinda eneo ambapo waathirika wa Ugonjwa hatari wa ebola wamewekwa, huku kesi ya kwanza ya maambukizi ya ugonjwa huo Saudi Arabia, ikizua wasiwasi wa mripuko wa ebola duniani.
Nigeria yashutumiwa kuuwa Boko Haram kikatili
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa jeshi la Nigeria limehusika katika matukio ya kikatili kwenye mapambano dhidi ya wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Ebola, Boko Haram na Wakimbizi Magazetini
Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wameandika nini wiki hii kuhusu bara la Afrika katika magazeti yao
Shirikisho la Soka Nigeria lamtimua rais wake
Shirikisho la Soka la Nigeria – NFF limemtimua rais wake Aminu Maigari. Hivi karibuni iliingilia kati mgogoro huo na kuipiga marufuku kwa muda Nigeria dhidi ya kushiriki katika soka la kimataifa
Jeshi la kanda kupambana na Boko Haram
Mataifa manne ya Afrika Magharibi yameazimia kuunda kikosi cha pamoja ili kukabiliana na kitisho kinachoongezeka cha kundi la itakadi kali za Kiislamu la Boko Haram, linaloendesha shughuli zake hasa nchini Nigeria.
Rais Goodluck Jonathan akutana na wazazi
Rais wa Naigeria Goodluck Jonathan amekutana kwa mara ya kwanza na wazazi wa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo wa Boko Haram, na wasichana waliofanikiwa kukwepa kutekwa na wanamgambo hao.
Malala akutana na Rais Goodluck Jonathan
Mwanaharakati anayepigania haki ya elimu kwa wasichana Malala Yousafzai anasheherekea siku yake ya kuzaliwa Nigeria kwa kukutana na Rais Goodluck Jonathan na wazazi wa wasichana zaidi ya 200 wanaozuiliwa na Boko Haram
Wanawake na wasichana 60 waliotekwa nyara na Boko Haram watoroka
Zaidi ya wanawake na wasichana 60 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la waasi wenye itikadi kali la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria wamefanikiwa kutoroka huku viongozi wa Chiboka wakitaka ulinzi kutoka umoja wa Mataifa
Ujerumani, Ufaransa zafuzu kwa nusu fainali
Katika mechi za kuwania nafasi kwenye kinyang'anyiro cha robo fainali, mambo hayakuwa mazuri kwa timu zinazoliwakilisha bara la Afrika, Nigeria na Algeria, ambazo zote zimefungishwa virago na kuyaaga mashindano.
Nigeria na Algeria kuibeba Afrika
Wawakilishi waliosalia wa bara la Afrika katika michuano ya kombe la dunia inayoendelea nchini Brazil, Nigeria na Algeria wanatarajia kutupa karata zao muhimu baadae hii leo za kuwania kucheza katika robo fainali
Shambulio la Boko Haram lauwa zaidi ya watu 100
Zaidi ya watu 100 inahofiwa kuwa wameuwawa kaskazini mashariki ya Nigeria kufuatia mashambulizi kwenye vijiji vitatu yanayodaiwa kufanywa na kundi la Waislamu wa itikadi kali la Boko Haram.
Yajuwe makundi ya kigaidi Mashariki ya Kati na Afrika
Wakati dunia zamani ikililia zaidi kwa maradhi, njaa na umasikini, kilio kikubwa zaidi sasa kimekuwa ni wimbi la makundi ya siasa kali ambayo hujihusisha na uhalifu na ugaidi kwa jina la dini.
Bomu lasababisha vifo vya watu zaidi ya 20 Nigeria
Serikali ya Nigeria imemkamata mtuhumiwa mmoja na kumuuwa mwingine baada ya kutokea mripuko wa bomu ambao unadaiwa kuwauwa watu 21 katika jengo moja lenye maduka makubwa mjini Abuja.
Nigeria yatinga 16 bora licha ya kipigo
Nigeria ilifanikiwa kusonga mbele katika raundi ya 16 licha ya kushindwa na Argentina kwa magoli 3-2, shukrani kwa ushindi wa Bosnia wa magoli 3-1 dhidi ya Iran.
Iran na Nigeria zatoka sare tasa
Iran na Nigeria zilitoka sare ya bila kufungana goli katika mchuano wao wa kwanza wa Kombe la Dunia. Iran walionekana kuegesha basi kutoka mwanzo, wakati Nigeria wakishindwa kuona lango la mpinzani.
Nigeria,Libya na Afrika-bara la Matumaini-Magazetini
Nigeria na kuteuliwa Sanusi Lamido Sanusi kuwa amiri mpya wa jiji la kaskazni-Kano ,Libya na mzozo wa kisiasa na suala kwanini makampuni ya Ujerumani yako nyuma barani Afrika ni miongoni mwa mada katika Afrika wiki hii
Mkutano wa London wa kukomesha ghasia za kingono wakamilika leo
Mkutano wa kilele wa siku nne unaonuia kukomesha ghasia za kingono katika nchi zinazokumbwa na vita unakamilika hii leo mjini London kwa hotuba itakayotolewa na waziri wa mambo ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry
Mabingwa wa Afrika Nigeria wako ngangari
Nigeria haikuwa na maandalizi mazuri ya Kombe la Dunia nchini Brazil 2014 na hata meneja Stephen Keshi ni mmoja wa wasiojuwa kinachoweza kutarajiwa kutoka kwa Super Eagles.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Magazeti ya Ujerumani yaandika juu ya madai kwamba Majenerali wa Nigeria wanashirikiana na magaidi wa Boko Haram ,juu ya vijana wa Eritrea na ripoti ya Shirika la misaada la Ujerumani
Makocha wa kiafrika wanuwia kuwapiku wa kigeni
Makocha wa Kiafrika, Mghana Kwesi Appiah na Mnigeria Stephen Keshi wana shauku ya kufika duru ya pili katika Kombe la Dunia, na kuhitimisha miongo kadhaa ya kushindwa kwa makocha wa Kiafrika.
Timu za Afrika zina nafasi ya kutamba mara hii?
Kwa mara nyengine tena timu tano za Afrika zinashiriki mashindanoni ambazo ni Algeria, Cameron, Côte d'Ivoire,Ghana na Nigeria. Tunaangalia uwezekano wa timu hizo kufika angalau katika robo fainali ya kombe hilo
Timu za Afrika zitakazoshuka dimbani Brazil
Timu tano zilizofuzu kuliwakilisha bara la Afrika katika dimba la Kombe la Dunia nchini Brazil - Cote d'Ivoire, Cameroon, Ghana, Nigeria na Algeria, zina matumaini ya kuwashangaza wengi katika tamasha hilo
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Wiki hii magazeti ya Ujerumani yanauzingatia ushindi wa Jenerali Abdel Fattah al-Sisi katika uchaguzi wa nchini Misri. Pia yameandika juu ya Boko Haram na biashara ya Uran baina ya Ufaransa na Niger
Rais Barrack Obama aangazia sera zake za kigeni
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa hotuba inayoshughulikia sera zake za kigeni kwa kuangazia juhudi za kukabiliana na makundi ya misimamo mikali, ugaidi na uwezekano wa Marekani kujihusisha zaidi Syria
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Magazeti ya Ujerumani yameandika juu ya Boko Haram, mkakati mpya wa Ujerumani juu ya Afrika na juu ya madhara yanayoweza kutokea kwa Afrika ikiwa Marekani na Umoja wa Ulaya zitausaini mkataba wa biashara huria
Wabunge wa Ujerumani waulaani ugaidi nchini Nigeria
Wabunge wa vyama vyote vya kisiasa nchini Ujerumani wameulaani ugaidi nchini Nigeria. Wakati nchini Nigeria kwenyewe maandamano makubwa yamefanyika kuonyesha mshikamano na wasichana waliotekwa nyara
Maoni: Jamii ya kimataifa iisaidie Nigeria
Siku mbili tangu nchi tano wa Kiafrika kuamua kushirikiana dhidi ya Boko Haram nchini Nigeria, watu 10 wameuawa mjini Kano na kama anavyosema Thomas Mösch, sasa dunia yaapaswa kutekeleza ahadi yake.
Nigeria na majirani zake watangaza vita dhidi ya Boko Haram
Nigeria na majirani zake wameapa jana Jumamosi(17.05.2014) kuunganisha nguvu zao dhidi ya kundi la Boko Haram katika makubaliano yanayoelezwa kuwa ni tangazo la vita dhidi ya kundi hilo.
Boko Haram tishio Afrika magharibi na kati
Rais Francois Hollande wa Ufaransa amesema kundi la Boko Haram la Nigeria lina mafungamano na Al Qaeda na kuzitaka nchi za kanda hiyo kubuni mkakati wa pamoja kupambana na kundi hilo
Nigeria,Jamhuri ya Afrika Kati na Pistorius magazetini
Kutekwa nyara wasichana zaidi ya 200 na Boko Haram ,mauwaji katika jamhuri ya Afrika kati na Oscar Pistorius kutakiwa akapime kama akili yake inafanya kazi ni miongoni mwa mada za bara la Afrika magazetini wiki hii
Serikali ya Nigeria yayapuuza matakwa ya Boko Haram
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan amepuuzilia mbali uwezekano wa kuwaachia huru wapiganaji wa kundi la waasi wa Boko Haram kama sharti la kuwaachia wasichana wa shule waliotekwa nyara mwezi mmoja uliopita na kundi hilo
Nigeria iko tayari kuzungunza na Boko Haram
Nigeria imesema ipo tayari kufanya mazungumzo na kundi la waasi wa kiislamu wenye itikadi kali Boko Haram ili iwaachie huru wasichana zaidi ya 200 iliyowateka nyara katika kijiji cha Chibok
Amnesty International: Mateso ni tatizo la dunia nzima
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema leo (13.05.2014) zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu.
Juhudi za kimataifa zaongezeka kuwaokoa wasichana wa Nigeria
Juhudi za kimataifa za kuwaokoa wasichana zaidi ya mia mbili waliotekwa nyara Nigeria na kundi la waasi la Boko Haram zimeongezeka huku nchi mbali mbali zikijitolea kusadia katika shughuli ya uokozi
Shambulizi la bomu laua watu 30 Nigeria
Watu 30 wameuwawa katika mlipuko wa bomu uliotokea katika daraja linalounganisha Nigeria na Cameroun. Shambulio hilo linatajwa kufanywa na kundi la wanamgambo wa itikadi kali za kiislamu la Boko Haram.
Rais wa Nigeria aahidi kuwaokoa wasichana waliotekwa nyara
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameahidi kuwakomboa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na Boko Haram huku suala hilo likigubika mkutano wa dunia wa kiuchumi unaopaswa kuangazia fursa za uwekezaji barani Afrika
Boko Haram yauwa watu wengine 300
Kundi la Boko Haram nchini Nigeria limeuwa watu wengine zaidi ya 300 kaskazini mwa nchi, na nchi zaidi zenye nguvu duniani, zikiwemo Marekani na China zimejiunga na juhudi za kuwatafuta wasichana waliochukuliwa mateka.
Maoni:Mapambano dhidi ya Boko Haram nchini NIgeria
Mashambulio na visa vya kutekwa nyara watu vinavyofanywa na Boko Haram vimevuruga juhudi za rais Jonatrhan za kutaka kuitakasa hadhi ya Nigeria.Badala yake ulimwengu unashuhudia kushindwa sera zake
Marekani yatuma timu kuisaidia Nigeria
Rais wa Marekani, Barack Obama, amepeleka timu ya wataalamu watakaosaidia kuwakomboa zaidi ya wasichana 200 wanaoshikiliwa mateka na kundi la wapiganaji wenye itikadi kali za Kiislamu la Boko Haram nchini Nigeria.
Shambulizi la bomu lawaua kiasi ya watu 15 Abuja,Nigeria
Shambulizi la bomu katika kiunga cha mji mkuu wa Nigeria, Abuja limewaua watu wasiopungua19 na kuwajeruhi wengine kadhaa wiki moja kabla ya mji huo kuwa mwenyeji wa kongamano la kiuchumi duniani
Mamia ya wasichana waliotekwa nyara Nigeria bado hawajulikani waliko
Shirika la kutetea wanawake nchini Nigeria limeitisha maandamano ya wanawake milioni moja katika mji mkuu , Abuja kupinga kushindwa kwa serikali kuwaokoa mamia ya wasichana wa shule waliotekwa nyara na Boko Haram
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Wiki hii magazeti ya Ujerumani yanaziangilia sura mbili za Nigeria-ustawi wa uchumi na baa la Boko Haram. Mtafaruku katika nyoyo za Wafaransa juu ya mauaji yaliyotokea nchini Rwanda miaka 20 iliyopita.
Maoni ya wahariri juu ya unyama wa Boko Haram
Wahariri wa magazeti wanazungumzia juu ya ugaidi wa Boko Haram nchini,Nigeria,uchaguzi wa bunge la Ulaya na adhabu aliyopewa aliekuwa Waziri Mkuu wa Italia Silvio Berlusconi.
Mripuko wauwa 71 Abuja
Mripuko wa bomu wakati wa harakati za asubuhi kwenye kituo cha basi katika kiunga cha mji mkuu wa Nigeria Abuja umeuwa takriban watu 71 Jumatatu (14.04.2014) na kuzusha wasi wasi juu ya kuenea kwa uasi wa Boko Haram.
Nigeria yaipita Afrika Kusini kiuchumi
Nigeria imekuwa taifa kubwa zaidi kiuchumi barani Afrika, na kuipiku Afrika Kusini, baada ya takwimu mpya kupandisha pato la jumla la ndani la taifa hilo hadi kufikia dola za marekani zaidi ya bilioni 500
200 wauwawa vijijini Nigeria
Takribani watu 200 wameuwawa na watu wenye silaha katika mashambulizi yaliofanyika kwenye vijiji vitatu katikati ya Nigeria. Mashambulizo ya Jumamosi yamefuatiwa na ya jana katika jimbo la kaskazini mashariki la Taraba.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 14 wa 19
Ukurasa unaofuatia