You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Utafiti: Migogoro ya kivita yauwa watoto milioni 5 Afrika
Kwa mujibu wa utafiti uliotolewa na wanasayansi, migogoro hiyo iliwanyima nafasi ya kupata matibabu ya kimsingi au maji.
Nigeria: Waandishi wa habari na wanaharakati wakamatwa
Hatua za hivi karibuni za kukamatwa kwa wanaharakati na waandishi wa habari nchini Nigeria zimesababisha wasiwasi.
Ekpo: mwanasiasa wa kwanza wa kike Nigeria
Margaret Ekpo alisaidia kubadilisha sura ya siasa za Nigeria katika kipindi ambacho kilikuwa kinatawaliwa na wanaume.
Nigeria: Watu 13 wamekufa kwa moto baada ya basi lao kuwaka
Polisi yasema ajali ilisababishwa na trekta kuteleza
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Magazeti pia yameandika juu ya kurudi nchini Kongo mwanasiasa Jean Pirre Bemba baada ya miaka 10 nje ya nchi.
Macron aitembelea Nigeria
Aliwahi kuitembelea Ghana mwaka jana na Nigeri yenye uchumi mkubwa Afrika ni kituo chake kingine cha kimkakati.
Tishio la ugaidi laongezeka barani Afrika
Viongozi hao wanaangazia muktadha wa kuongezeka kwa hatari inayotokana na makundi yenye itikadi kali barani mwao.
Watu 9 wamekufa Nigeria kutokana na ajali ya lori la mafuta
Watu 9 wafariki Nigeria katika ajali ya malori la mafuta
Nigeria yailaza Iceland 2-0, Ujerumani kuivaa Sweden
Ujerumani ina kibarua kizito
Nigeria yafufua matumaini yake kombe la dunia
Nigeria yafufua matumaini yake kombe la dunia, Uswisi haikubali kufungwa, na Serbia yasalimu, Brazil kidedea
Nigeria yatandikwa mabao 2-0 na Croatia
Kombe la dunia
Hatuhitaji kuwa na Salah Kikosini - Gernot Rohr
Mchezo mzuri wa Nigeria umewafanya mashabik waanze kufikiria kuhusu ushindi wa Kombe la Dunia.
Shirika la WHO laidhibiti Ebola nchini Congo
Wakati huo shirika la WHO lilikaa miezi kadhaa pasipo kuchukua hatua tangu kisa cha kwanza cha ebola kilipogunduliwa.
AI: Jeshi Nigeria liliwabaka wanawake
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limeitaka Nigeria kuyashughulikia madai kwamba wanajeshi na baadhi ya wanamgambo; wamewabaka wanawake na wasichana katika kambi za wakimbizi wa machafuko yanayosababishwa na uasi wa Boko Haram
Kesi ya rushwa dhidi ya kampuni ya Shell na Eni yaanza
Kesi dhidi ya makampuni ya mafuta za Shell na Eni yaanza mjini Milan na Lagos
Mashambulizi pacha yauwa zaidi ya 20 Msikitini Nigeria
Msemaji wa polisi ya Adamawa amesema shambulio hilo lilitokea wakati wa swala na wengi waliuawa wakati wanakimbia.
Wasichana wa "Chibok" watimiza miaka minne
Karibu nusu ya idadi ya wasichana hao wameokolewa huku waliosalia wakiwa hawajulikani waliko, miaka minne baadaye.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Pia magazeti hayo yameandikia kuhusu teknolojia inayowanufaisha akina mama huko nchini Malawi.
UNICEF yasema watoto zaidi ya 1,000 wametekwa nyara
UNICEF yasema watoto zaidi ya 1,000 wametekwa nyara na makundi ya itikadi kali
Mji wa Lagos nchini Nigeria
Lagos ni kati ya miji mikubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla. Mji huu uliojaa shughuli mbalimbali ni kitovu cha uchumi nchini Nigeria. Makala ya "Vijana Mubashara 77-Asilimia" inakupeleka katika mji huo kupitia video hii. Tuandamane basi
Boko Haram yawaachia wasichana iliowateka
Kundi hilo halikutaka malipo ya aina yoyote
Ili kuajiriwa, muhimu ni umjuae au unachojua?
Vijana mjini Lagos Nigeria wanazungumzia suala la ajira, je kupata ajira ni sharti uwe unamfahamu mtu aliye katika ngazi ya uongozi au tajriba yako inatosha kukupa kazi?
Vita dhidi ya usafirishaji haramu wa binadamu
Tangu 2015, wanawake 20,000 wa Nigeria wamekuwa waathiriwa wa usafirishaji haramu wa watu. Mji wa Benin ambao ni makao makuu ya mkoa huo umekuwa kitovu cha uhalifu huo. Sasa maafisa wanataka kuuangamiza mtandao huo wa usafirishaji wa watu. Mwandishi wa habari wa DW katika makala ya Vijana Mubashara Jan-Phillip Scholz aliandamana nao
Hofu ya utekwaji wa wasichana wa Chibok yarejea Nigeria
Zaidi ya wasichana 90 wa shule wanahofiwa kupotea baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi.
Unazungumziaje suala la kujichubua?
Yasikilize maoni ya msanii wa vipodozi kutoka Nigeria kuhusiana na suala la Waafrika kujichubua ngozi. Je, kama Mwafrika analizungumziaje suala hili?
Morocco washinda kombe la CHAN 2018
Morocco iliizidi nguvu Nigeria kwa kuilaza mabao manne kwa sifuri katika fainali ya CHAN 2018
Nigeria: Kundi la Niger Delta kushambulia sekta ya mafuta
Mashambulizi kulenga operesheni za mataifa kadhaa
Watu wasiopungua 12 wauawa katika vurugu za kijamii Nigeria
Vurugu kati ya wakulima wa Bachama na wafugaji wa Fulani zilitokea wilayani Lau jimboni Taraba Ijumaa na Jumamosi.
UNICEF: Watoto walishambuliwa mno 2017
Watoto waliuawa, kujeruhiwa, kutumika kama ngao vitani, kubakwa na washambuliaji wa kujitoa muhanga.
Nigeria: Wanamgambo 14 wa Boko Haram wauawa
Wanajeshi wamewaokoa watu 30
Nigeria: Mripuko waua watu 50 msikitini
Kundi la Boko Haram limehusishwa na shambulizi hilo
Vita dhidi ya Boko Haram vinavyoathiri upatikanaji chakula
Ukikosekana kwenye mashambulizi ya Boko Haram, unajikuta mbele ya jeshi na yakikukosa hayo, kuna njaa inakungojea.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Baadhi ya viongozi wa Afrika pia wamelaumiwa kwa kuwapendelea watoto wao.
Amri ya kutotoka nje Biafra
Waigbo wa Biafra wanataka uhuru wa jimbo lao na nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Nigeria yajiweka vizuri kufuzu kwenda Urusi
Nigeria kuumana na Cameroon katika mchuano wa kufuzu fainali za kombe la dunia
Buhari arejea rasmi Nigeria
Rais wa Nigeria amerejea nyumbani baada ya kuwa nchini Uingereza kwa miezi mitau alikokwenda kutibiwa.
Buhari kurejea nyumbani baada ya matibabu UK
Kurejea kwa Buhari kunatazamiwa kuboresha utekelezaji wa kisera, na kampeni dhidi ya rushwa na ufisadi nchini Nigeria.
Tarehe 07.08.2017:Taarifa ya habari ya asubuhi
Tuliyo nayo ni pamoja na : Israel yapanga kupiga marufuku matangazo ya televisheni ya Al Jazeera// China yaunga mkono vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini// Watu 11 wauawa katika shambulizi Nigeria.
Taarifa ya habari ya asubuhi: 03.08.2017
Kwenye taarifa yetu ya habari leo asubuhi: Rais Temer wa Brazil anusurika kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya rushwa. Uturuki yafanya mabadiliko ya uongozi katika jeshi lake. Raia sita wauliwa na kundi la magaidi wa Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Idadi ya watu duniani kufika bilioni 9.8 mwaka 2050
Bara la Afrika latajwa kuwa na ukuaji wa kasi wa idadi ya watu, asilimia 60 ya Waafrika wako chini ya umri wa miaka 20
Je, Trump akiuka sheria kuzuia mawasilaino na raia Twitter
Rais wa Marekani Donald Trump analaumiwa kwa kuzuia mawasiliano na wananchi wanaothubutu kumpinga misimamo yake katika ukurasa wake wa Twitter. Baadhi ya Wamarekani wanasema kufanya hivyo ni kukiuka sheria ya kulinda uhuru wa kujieleza. Na nchini Nigeria ibada ya nyimbo za injili yashamiri Instagram.
Maradhi ya Buhari yaiyumbisha Nigeria
Ugonjwa wa Muhammadu Buhari waiyumbisha Nigeria, taifa lililotambulika kuwa na nguvu kiuchumi na kijeshi
Nigeria yapitisha sheria kuzuwia utakatishaji fedha
Watakatishaji fedha wanajificha na kushirikiana na wahalifu wa kawaida.
Wasichana wa Chibok waungana na wenzao
Zaidi ya wanafunzi 200 wa kike walitekwa nyara miaka mitatu iliyopita katika shule moja mjini Chibok.
Miaka miwili ya Buhari madarakani
Kuzorota kwa afya yake na kushamiri kwa ughali wa maisha ya Wanigeria kunawakatisha tamaa walio wengi.
Rwanda,Boko Haram na Uchumi wa Afrika Magazetini
Rwanda,Boko Haram na Uchumi wa Afrika Magazetini
AFRICOM yazungumzia ugaidi Afrika
Jenerali Thomas Waldhauser anasema makundi ya kigaidi yanaendelea kutoa changamoto kubwa kwa mataifa ya Afrika.
Boko Haram wapanga kushambulia Abuja
Boko Haram wapanga kushambulia mji mkuu wa Nigeria Abuja
Buhari akutana na wasichana 82 wa Chibok
Wasichana hao waliachiwa huru baada ya serikali ya Nigeria kuwaachia makamanda watano wa Boko Haram
Wasichana 82 wa Chibok waachiwa huru na Boko Haram
Wasichana hao 82 wa Chibok walioachiwa huru Jumamosi ni kati ya wasichana 200 waliokuwa bado wanazuiwa na waasi hao
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 10 wa 19
Ukurasa unaofuatia