1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ushiriki wa wanawake kwenye uchimbaji madini Vihiga Kenya

13 Januari 2023

Katika baadhi ya jamii, baadhi ya kazi zinahusishwa zaidi na makundi fulani ya watu mfano kazi nzito zinahusishwa zaidi na wanaume.Hata hivyo, hali inazidi kubadilika wanawake kadhaa wakijitokeza kuendesha shuguli sawa na wanaume kwenye migodi ya Dhahabu jimboni Vihiga Magharibi mwa Kenya. Makala ya wanawake na maendeleo inamulika harakati zao na mwandaaji ni Musa Naviye

https://p.dw.com/p/4M9IH