1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhispania yapania kuzima kelele za RFEF

saumu Njama3 Juni 2024

Timu ya taifa ya Uhispania itawasili Ujerumani wakitaka kujiimarisha tena kama washindani wakuu wa taji huku wakitumai kuzima kelele baada ya miezi kadhaa ya mabishano yanayohusu shirikisho la soka la nchi hiyo (RFEF).

https://p.dw.com/p/4gbBY